Serikali futeni elimu ya kidato cha tano na sita, haina faida

yn mtoto wa primary kenya ana upeo kuliko mtz wa second year
Ndugu Mbona Umekazania Kenya, Wapi kwenye thread Yangu nimesema Kenya? Soma vizuri uniambie wapi nimezungumzia kuhusu Kenya? Mimi sifahamu Elimu ya Kenya; Sasa sijui Kenya wewe unaitolea wapi Ndugu yangu; Mimi nimesema as per experience ya huku nilipo,na nilipopita;
Na Nilichozungumzia ni kwamba Kijana wa Key Stage 4, Ana uwezo wa Kudeliver Specific category ( Hapa nimemaanisha kwamba Wao wanaanza Specialization ya career Mapema, Between hiyo 14 and 16 years wengi wanaweza Kudeliver kitu kinachoonekana(Paana at the End of Stage four kuna Study Project(Unachagua kitu cha kufanya); Compared to Tz Mtu wa Form four hata kama atakuwa na Upeo Mkubwa wengi wanakuwa bado hawajajikita kwenye career husika (Si wote ila wengi), Huku Hiyo Key Stage four Computer wanasoma Basics Of Programming, of which kwa elimu ya Tz, hayo mambo ni Mwaka wa Pili kwa mtu wa IT na CS; Maana form 4 and 6 wanasoma tu Basic Subject, kama wakisoma Computer basi ni Office packages tu.
Hicho ndicho nilichokiona, Mimi nilipokuja Huku TAD(Technology Architecture and Design) ilikuwa inanipa shida, japo baadae nilikuja Ku-master Vizuri; Ila ni kwasababu hawa vijana wao wamesoma Basics of it tayari on their 16's(Nami Umri wangu ulikuwa umeenda by then)
Sasa Kijana wa Second Year Tz, ndio anaanza Specialization kujikita kwenye fani husika aipendayo; Wachache sana Tz wanaweza kujikita kwenye Fani aipendayo akiwa form 4 au form 6, Labda mzazi atengeneze mazingira Nyumbani, of which hiyo labda ni kwa wazazi wenye vipato vikubwa. Lakini pia lazima Ughaibuni Masomo yako ni Key Element za Skills kuliko Kukariri mambo, na huu ni Ukweli ( Kumbuka kuna Kukariri na Kuhariri)

Hivyo ndugu yangu mimi nimezungumzia kwa kona hiyo; Niwie radhi kama nimekukwaza, lakini JF ni sehemeu ya Kueleza Mtazamo, na Mtazamo wa Mtu sio Sheria.
Kinachotofautisha Mtu na Mtu ni Mtazamo alionao juu ya Kitu fulani; Kichatofautisha Mpagani ma Mkristo na Muislamu ni Perspective waliyonayo juu ya MUNGU; Kinachomtofautisha tajiri na Maskini pia ni Mtazamo; Hata Muslim kwa muslim wanaweza wakapishana mtazamo kwenye baadhi ya mambo.
Kila Mtu yuko sawa kwa kadiri ya Mtazamo na usawa wake;

Hata wewe Upo sawa kabisa kwa kadiri ya usawa na Mtazamo wako; Ijapokuwa Haukuwa na haja ya Kutoa Matusi kwa kujibu nilichosema, hiyo sio ustaarabu ndugu.
 
Ndugu Mbona Umekazania Kenya, Wapi kwenye thread Yangu nimesema Kenya? Soma vizuri uniambie wapi nimezungumzia kuhusu Kenya? Mimi sifahamu Elimu ya Kenya; Sasa sijui Kenya wewe unaitolea wapi Ndugu yangu; Mimi nimesema as per experience ya huku nilipo,na nilipopita;
Na Nilichozungumzia ni kwamba Kijana wa Key Stage 4, Ana uwezo wa Kudeliver Specific category ( Hapa nimemaanisha kwamba Wao wanaanza Specialization ya career Mapema, Between hiyo 14 and 16 years wengi wanaweza Kudeliver kitu kinachoonekana(Paana at the End of Stage four kuna Study Project(Unachagua kitu cha kufanya); Compared to Tz Mtu wa Form four hata kama atakuwa na Upeo Mkubwa wengi wanakuwa bado hawajajikita kwenye career husika (Si wote ila wengi), Huku Hiyo Key Stage four Computer wanasoma Basics Of Programming, of which kwa elimu ya Tz, hayo mambo ni Mwaka wa Pili kwa mtu wa IT na CS; Maana form 4 and 6 wanasoma tu Basic Subject, kama wakisoma Computer basi ni Office packages tu.
Hicho ndicho nilichokiona, Mimi nilipokuja Huku TAD(Technology Architecture and Design) ilikuwa inanipa shida, japo baadae nilikuja Ku-master Vizuri; Ila ni kwasababu hawa vijana wao wamesoma Basics of it tayari on their 16's(Nami Umri wangu ulikuwa umeenda by then)
Sasa Kijana wa Second Year Tz, ndio anaanza Specialization kujikita kwenye fani husika aipendayo; Wachache sana Tz wanaweza kujikita kwenye Fani aipendayo akiwa form 4 au form 6, Labda mzazi atengeneze mazingira Nyumbani, of which hiyo labda ni kwa wazazi wenye vipato vikubwa. Lakini pia lazima Ughaibuni Masomo yako ni Key Element za Skills kuliko Kukariri mambo, na huu ni Ukweli ( Kumbuka kuna Kukariri na Kuhariri)

Hivyo ndugu yangu mimi nimezungumzia kwa kona hiyo; Niwie radhi kama nimekukwaza, lakini JF ni sehemeu ya Kueleza Mtazamo, na Mtazamo wa Mtu sio Sheria.
Kinachotofautisha Mtu na Mtu ni Mtazamo alionao juu ya Kitu fulani; Kichatofautisha Mpagani ma Mkristo na Muislamu ni Perspective waliyonayo juu ya MUNGU; Kinachomtofautisha tajiri na Maskini pia ni Mtazamo; Hata Muslim kwa muslim wanaweza wakapishana mtazamo kwenye baadhi ya mambo.
Kila Mtu yuko sawa kwa kadiri ya Mtazamo na usawa wake;

Hata wewe Upo sawa kabisa kwa kadiri ya usawa na Mtazamo wako; Ijapokuwa Haukuwa na haja ya Kutoa Matusi kwa kujibu nilichosema, hiyo sio ustaarabu ndugu.
Suala la elimu huku Afrika (nchi nyingi za Afrika) huwezi kufananisha na developed au nchi za wenzetu ughaibuni kule wao ni practice zaidi ikiendana na theories, hilo liko wazi huwezi kabisa kulinganisha utakuwa unafanya first class mistake wametuzd mno huo ndiyo ukweli, huwezi kufananisha cz utakuwa unajaribu kuchanganya mafuta na maji
 
huwezi kufananisha na developed au nchi za wenzetu ughaibuni kule wao ni practice zaidi ikiendana na theories
Yes, sasa hapo Ndio umesema vyema;
Sasa mimi ndio nikakwambia kwamba Kama Mtu anaanza Basics of Practical let say za Mechanical au IT on Early 16's or 17's, Unahisi wanaweza kulingana na Mtu hata wa Mwaka wa Kwanza au Wapili? ambaye hakusoma huko Form 4 and Six?
yeye atahitaji Muda Kidogo Ku-corp. ndio maana nikakwambia kwamba Kutakuwa na gap. Ndio maana wagunduzi wengi wa kwao waligundua wakiwa in their Early 20's; Kwasababu Misingi inakuwa iko vizuri; of which Huko tz unakuta kwenye the same age 20's Bado career basics hajazipata; Of which sio Kitu kibaya as long as mtu ana nia ya Kuweka Jitihada.

Asante Ndugu,
 
Yes, sasa hapo Ndio umesema vyema;
Sasa mimi ndio nikakwambia kwamba Kama Mtu anaanza Basics of Practical let say za Mechanical au IT on Early 16's or 17's, Unahisi wanaweza kulingana na Mtu hata wa Mwaka wa Kwanza au Wapili? ambaye hakusoma huko Form 4 and Six?
yeye atahitaji Muda Kidogo Ku-corp. ndio maana nikakwambia kwamba Kutakuwa na gap. Ndio maana wagunduzi wengi wa kwao waligundua wakiwa in their Early 20's; Kwasababu Misingi inakuwa iko vizuri; of which Huko tz unakuta kwenye the same age 20's Bado career basics hajazipata; Of which sio Kitu kibaya as long as mtu ana nia ya Kuweka Jitihada.

Asante Ndugu,
Yah huo ni ukweli mtupu na ndiyo maana mm huwa nasema haya mambo mengine wala co lazima muwe developed country ndio muyafanye, kwa mfano course km ya computer ambayo ndiyo dunia yetu tunayoenda hii, kulikuwa na ugumu gani kuweka hyo course iwe compulsory kuanzia shule za msingi? Kuna ugumu gani kuajiri walimu wa computer from primary na ku establish miundombinu mbinu ambapo wala co gharama kivile kwa mfano kuna ugumu gani govt kuweka desk top shuleni watoto wakaanza kujifunza computer tng primary huoni km tutakuwa na experties wa kutosha tena co wa kuunga unga, hili ni tatizo la cc waafrika kujiweka nyuma nyuma hata kwa vitu ambavyo tunaweza ku afford
 
Kama umesoma HKL sijui HGL A level haina maana kwako ulikuwa unapoteza mudaa tuu na ifutwe.. Ila kama Umesoma PCM..PCB mzee baba Bila A level speed na vitu wanayofundisha malecture chuo tungeishia kupata Zero....
Hapa kijana imezingua form six inashushwa hadhi na serikali yetu na system yetu ya ajira. Ndo Mana six tunaonekana vilaza kumbe hamna. Wako so deep sana Yani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimsikia Mbunge wa CCM akitaka mtu asome madarasa 4 kwa miaka 2. Jumanne Kishimba ameishia darasa 7.
Unasema umekagua F4 ni sawa na F6???
1. Dogo anaweza ku-Derive Schrondiger's Equation??
2. Dogo anaweza ku calculate electric current by using Kirchoff's law??
3. Dogo anaweza kueleza mtu anapopita karibu na Treni yenye speed anavutwa kama sumaku ( Refer Bernelleous equation
4. Dogo anaweza kutafuta speed ya kutoka kwenye uso wa dunia?? ( Escaping velocity)
ACHA DHARAU NA WATU WALIOKAA MIAKA 2 F6 DARASANI!!!!
Kwa Tanzania hii pcb na pcm ziheshimiwe, ambao hawakusoma hizi mambo watuache, they know nothing
 
Kwangu mimi naona A- level kwa wanafunzi wa masomo ya sayansi ni muhimu sana,sijajua kwa upande wa masomo ya biashara au sanaa.

Ila gogoro na shida kubwa nayo iona mimi ni latika mitaala ya chuo kikuu hasa fani za uhandisi. Huku ndiko kuna kucheleweshana na kupotezeana muda kwa ule muundo wa mtaala ulivyo.

Mamaee Eti UP ufananishe na Archimedes principle... kitu cha Mechanics mamaeeee.. Electrochemistry aiseeee sema jamaa alisoma H kunaniii..
Electromagnetism asubuhi, mchana unapigwa organic carbonyl compound akina cannizaro, jioni unajikumbushia coordination mechanism ya movement of impulse across synapse, ma neurotransmitters acetylcholine nk mamaee, kwanza nimeona kuna jamaa anasema elimu ya advance ishushwe o level, hivii dogo wa o level unamwelekeza biot-savart law na integration ya pure hajasoma unataka wapasuke 😅, nyie kuna watu wanaongea pumba 😹😹, Moto wa advance pcb mwingine....kama mtu hajapita advance Bora akae kimya tu
 
Nakumbuka Tulikuwa tinakesha Roger mancast topic moja tunaisovu usiku kucha tunakesha..... mamamame na hapo ukiamka kesho yake unaletewa swali na linakugonga hadi unaanza kuliaa yaani taabu yoote ile bado nipo empty kichwani....

Halafu uje useme physics ya A level ni sawa na vi pamphlets vya O level..... kwa kifupi O level hakuna kitu.
Oya umeongea point kichizi..o level nothing pale kila topic mnasoma intro
 
Waambie hao waduanzi eti analinganisha mziki wa physics ya advance na ki-physics Cha o'level.
O level hamna kitu pale, advance kila topic na kitabu chake, o level unakuta et kitabu kimoja topic zote, waje advance ***** electronics Ina Palm lake, tism Pam lake, organic kitabu chake weee 🙌🙌
 
Dunia ya leo elimu ya kidato cha 4 inatosha kumfanya kijana kusoma chuo.

Nimejaribu kukagua daftari za ndugu yangu yuko kidato cha 5, mambo wanayosoma sioni kama yana tija. Sijaona utofauti wa Mwanafunzi wa kidato cha nne na tano kitaaluma.

Vijana wengi wanapoteza muda sana kusoma kidato cha tano na sita ni vema wasome moja kwa chuo wakimaliza kidato cha nne

Au nyie mliosoma kidato cha tano na sita tuambiane imekusaidia nini? Mfano usingeenda chuo ingekunufaishaje?
images (8).jpeg

Haya madude uliyaona kwa dogo wa form4?
 
Back
Top Bottom