Serikali futeni elimu ya kidato cha tano na sita, haina faida

Me nadhani nipo tofauti... I wish ingekuwepo kitu kama hiki.

Kwa wale ambao wangependa kupitia kwenye engineering fields ( Mechanical, Civil, Electrical, Computer ) wangeanzia tu diploma... A level kwa maoni yangu binafsi ni total wastage of time kwa watu ambao ni kwa ajili ya engineering fields.


Uje tuelekezane na sio tubishane.
FTC inatengenza wafanyakazi sio wavumbuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu labda hujaelewa, alimaanisha elimu ifumuliwe mitaala iwekwe mipya nyama ziongezewe Sana nadhan 4yrs inatosha mkuu.

Mbna ulaya na China wanafunzi wanagraduate wakiwa na 17yrs kwa Nini tuspend 17yrs shule tunatoka na 23 - 25yrs ndo tunaaanza kusaka ajira bila uzoefu wowote
Nani kakuambia mfumo wetu unafanana na wa england kabisa.tena kwa science tunasoma vitu sasa kabisaa. Same books tunatumia hizi nelkon,Ramsden, roger muncaster,pure math hamna tofauti sijui unazungumzia nini.

Mfumo wa elimu wa Tanzania tukizungumzia upande wa science kwenye issue ya content hamna shida kabisa changamoto ni kujaribu kubadiliaha mentality ya wanafunzi.pia hii tabia ya watu waliofeli ( waliopiga chache ndo wana kuwa walimu ni jau sana) walimu wanatakiwa qachukuliwe best performers kama ambavyo vyuoni wanafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafkiri mtoa post amefanya tathmin ya mambo machache, labda nia yake ilikuwa kuukosoa mfumo wa elimu yetu usivyolenga future ya mwanafunzi! Lakini kiukweli elimu ya A-level hasa upande wa combination za sayansi kama PCM,PCB,CBG,PGM na nyinginezo bado zina umuhimu mkubwa sana katika kututengenezea wahandisi na madaktari bingwa tunaojinia leo na kuwashudia wakipandikiza Figo, Mimba nk. Pia tukifuta A-level hatutaweza kucompete katika soko la ajira hata kwa nchi jirani tu za Afrika Mashariki, So labda tuengelee kuboresha mfumo wa elimu yetu ili iweze kumshape mwanafunzi kukabiliana na hali halisi ya maisha pasipo kutegemea zaidi ajira za serikali.
 
Kenya hamna kitu. Wanajua tu kiingereza!!!
Kuna mdada alikua anasoma University (Egerton University) Alinishangaa nipo F4 nasoma Lambert chemistry (Organic Chemistry) ya O-level. Yeye akasema wanaisoma hiyo topic 1st yr University!!
Fanya utafiti na Tujiamini!!!!
Daah umenikumbusha mbali sana katika mishe mishe huko Kenya, Nakuru niliwahi kupata rafiki wa kike akiwa anasoma hapa Egerton university
 
Mleta mada hajafika Advanced au Hajasoma Science na kama angesoma Science angepata 3, 4, 6, 0 score marks. ( Ni kitu cha kawaida sana huko)
Kwa waliokwisha kukaa nje ya nchi mfano Canada & USA
Elimu yetu ipo vizuri ila kinachotakiwa baada ya Kumaliza university kama Wenzetu wanavyofanya
1. Inatakiwa Companies kutoa Job placements, job orientation, Internship, Field work kwa Fleshers. Wenzetu serikali zao inatilia sana mkazo hili swala. na Flashers wanatakiwa kulipwa some amount of money.
Mfano Japan & canada Makampuni huwachukua vijana na kuwalipa kiasi flani cha pesa+ house allowance, travelling allowance, other employee benefits. NI LAZIMA!!!!
Kuna wakati nilikwenda Japan nukakutana hoteleni ( hoteli VIP) wanachuo wakaniambia wapo intern kwenye makampuni ya petroleum & gas na wengine watapelekwa intern mpaka south Africa.
Hii inawasaidia vijana kupata uzoefu+ kujiamini katika kazi. ( hii sio kazi ya vyuo!!,)
Hawa vijana waliotoka F6 ni very intelligent & Compitent na tunawategemea wakikaa kwenye Industry within 5 yrs wanaweza kuvumbua vitu vikubwa ( R&D) tofauti ni kijana wa F4 ambae ameenda FTC kwa Division III au IV anaesifiwa kwa kufanya *Normal operation work!!!!*
Wapo form Four walioenda FTC kwa Division I
 
Kama umesoma HKL sijui HGL A level haina maana kwako ulikuwa unapoteza mudaa tuu na ifutwe.. Ila kama Umesoma PCM..PCB mzee baba Bila A level speed na vitu wanayofundisha malecture chuo tungeishia kupata Zero....
Tanzania tungekuwa na kipimo cha kubaini ubora wa ma-lecturers ungejuta kwa nini tuna matokeo haya ya wataalamu wetu wa madesa. Hii nchi bado sana. Nenda vyuoni hudhuria mijadala uone vituko. Wanaokariri kama chiriku na kutapika kama bata ndiyo wanafundisha wengine. Nenda wauluize application ya wanachofundisha utashangaa ni sawa na primary schools tu kumwuliza mwalimu nini application ya GCF na LCM mathalani katika maisha. Utashangaa pia. Anyhow
 
Tunaheshimu mawazo yako mkuu, binafsi naona ingekuwa vyema elimu ya msingi ndiyo ipunguzwe miaka kwa sababu ukiingia O level vitu vingi ni marudio sema kinachobadirika ni lugha. Ila kwa upande wa A level hasa michepuo ya science ina mambo mengi mapya. Kwa upande wangu nimesoma PCB, huwezi amini, O- Level tulisoma topic moja ya Chemistry inaitwa Organic Chemistry na Advance nikakuta topic kwa jina lile lile la Organic Chemistry, my friend yaani content ya O-Level hata kwenye introduction haitoshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakuambia mfumo wetu unafanana na wa england kabisa.tena kwa science tunasoma vitu sasa kabisaa. Same books tunatumia hizi nelkon,Ramsden, roger muncaster,pure math hamna tofauti sijui unazungumzia nini.
Mkuu hii Kitu sio kweli, Sisi tumeshikilia Mfumo wa waingereza kwa sehemu ndogo tu maana sisi tumejikita kwenye kitengo cha Nadharia au Elimu ya Kukariri, Wakati wenzetu wao wapo Kwenye kitengo cha Vitendo au Elimu ya Kuhariri.

Mkuu Dogo wa Key Stage 4 ambaye ana umri kati ya 12 na 14 ana Uwezo wa Kudeliver specific category kwa Kiasi kikubwa kuliko dogo mwenye the same age huko Tz kwani wengi wao wanakuwa wameshafahamu Foundation ya Career na uelekeo wa maisha yao au Kwa kupenda yeye mwenyewe, au kwa Influence na Kazi ya baba/Mama nyumbani
Wengi wanasoma Shule zenye Mlengo huo especially kwenye hiyo Key stage 3 and 4, Hivyo specialization inaanza mapema.

Na masomo ni Direct focused to uwezo wa Kuhariri na si Kukariri kama huko Tz
Masomo ni core subject English, Mathematics,Science Design and Technology. Yaan Dogo mdogo utakuta yuko competent mnoo. Wakati Tz, mtu wa Second year bado hajajielewa uelekeo wake wa career.

Elimu yao Ina hit direct to the required Technical Skills.

Msingi Ukiharibika Mwenye Haki atafanya nini?

Nawasilisha
 
Mwanangu hataniambia eti aishie form aende chuo bila kupita A-level, nitamvunjavunja siku hiyo! Mleta Nada ni popoma la kijijini!
 
Mwanangu hataniambia eti aishie form aende chuo bila kupita A-level, nitamvunjavunja siku hiyo! Mleta Nada ni popoma la kijijini!
usiseme ni popoma anapaswa kuelimishwa, unajua nimekuja kugundua watu wengi ambao hawakupita advance wamekuwa km wana inferiority complex dhidi ya watu waliopitia advance, hili nilikuja kuliona wakati nipo chuo, wanafunzi wengi waliotoka diploma walikuwa km wanawachukia wenzao waliotoka form 5&6 cjajua ni kwnn, kuhusu suala la umuhimu wa elimu ya 5&6 upo hv;

Km umesoma kwa mfano ECA basi ukifika chuo ukasomea mambo ya Accounting hakuna kitakachokusumbua na utakuwa nondo kuliko hata mwanafunzi aliyetoka diploma ya Accounting, pia km umesoma kwa mfano PCM basi ukifika chuo ukachukua Bachelor of education with Mathematics utakuwa bora kuliko aliyetoka diploma ya course hyo, lkn pia utofauti wa anaepitia advance na yule anaepitia diploma unakuja pale ambapo wa advance anakuwa na uwanda mpana wa kuselect course tofauti na anaetokea diploma ambapo yy anakuwa Limited ktk kile alichokisomea japo ni ukweli kwamba linapokuja suala la ajira km mtu ameishia advance na Mwingine ameishia diploma bac yule wa diploma anakuwa na nafasi ya kuajiriwa zaidi ya yule aliyeishia advance though it's not the case because the issue here is just to make a comparison concerning academic advantages btn advanced education and the one who didn't attend that education, why I said that's not the case, it's because there are a lot of people who have form four education but have been hired to work on those white collar jobs, but also there are a lot of graduates who don't have jobs and vice versa, get it? Pia watu wanahimiza cjui elimu ya veta cjui nininini, kwn kuna mafundi wangapi mtaani na hawana kazi, eti ooh serikali ijikite katika kuwapa watu elimu ya ujuzi ili waje kujiajiri, aliyekuambia kujiajiri mpk uende darasani ni nani? Tusijaribu kumix mambo, elimu ni elimu na ajira ni ajira km tunazungumzia elimu basi tujikite katika kushauri kipi kifanyike ili kuinusuru elimu yetu, kuhusu advance mm naona bado ina tija kwn tuna maprofesa kibao na wataalamu kibao hapa Tz wametokea advance tena ni wengi mno kuliko hata ambao hawajapita advance, Cha msingi ni kweli kuna baadhi ya sehemu sehemu tunapaswa kufanya marekebisho ya mtaala wetu na hii mada ntaifungulia uzi.
 
Mkuu hii Kitu sio kweli, Sisi tumeshikilia Mfumo wa waingereza kwa sehemu ndogo tu maana sisi tumejikita kwenye kitengo cha Nadharia au Elimu ya Kukariri, Wakati wenzetu wao wapo Kwenye kitengo cha Vitendo au Elimu ya Kuhariri.

Mkuu Dogo wa Key Stage 4 ambaye ana umri kati ya 12 na 14 ana Uwezo wa Kudeliver specific category kwa Kiasi kikubwa kuliko dogo mwenye the same age huko Tz kwani wengi wao wanakuwa wameshafahamu Foundation ya Career na uelekeo wa maisha yao au Kwa kupenda yeye mwenyewe, au kwa Influence na Kazi ya baba/Mama nyumbani
Wengi wanasoma Shule zenye Mlengo huo especially kwenye hiyo Key stage 3 and 4, Hivyo specialization inaanza mapema.

Na masomo ni Direct focused to uwezo wa Kuhariri na si Kukariri kama huko Tz
Masomo ni core subject English, Mathematics,Science Design and Technology. Yaan Dogo mdogo utakuta yuko competent mnoo. Wakati Tz, mtu wa Second year bado hajajielewa uelekeo wake wa career.

Elimu yao Ina hit direct to the required Technical Skills.

Msingi Ukiharibika Mwenye Haki atafanya nini?

Nawasilisha
Mkenya ni mkenya tu cku zote ni mpumbavu km ulivyo mkenya ww, unatumia vigezo gani kusema kwamba mtoto wa kenya anajitambua mapema kuliko mwanachuo wa second year wa Tz? Ww ni mpumbavu km walivyo wakenya wenzio kuamini kwamba kenya ni sawa na middle Income country smh
 
Mkenya ni mkenya tu cku zote ni mpumbavu km ulivyo mkenya ww, unatumia vigezo gani kusema kwamba mtoto wa kenya anajitambua mapema kuliko mwanachuo wa second year wa Tz? Ww ni mpumbavu km walivyo wakenya wenzio kuamini kwamba kenya ni sawa na middle Income country smh
Brother naona Umenishambulia kwa matusi; But its Ok; Maana mimi sijamshambulia Mtu, Nimesema kwa Kadiri ya Experience yangu tu; Na experience yangu sio Sheria.
Ni kwa Vile tu haujui, Ila Mimi ni Mtanzania Nimesoma Primary Tanzania, Bunge na Baadae nikahamia Vituka Primary; Nikasoma Secondary Tz pia;
After Form Four Nimekuja Ughaibuni na Kusoma Elimu yangu ya Juu Huku; Ndiyo nikaanza ku-experience hayo niliyoyasema hapo juu; Kama kuna walioko Ughaibuni Humu watakuwa wamenielewa; Hivyo Kunishambulia kwa Kunitusi sio Ustaarabu Ndugu yangu; JF ni Sehemu ya Kuelezea Mtazamo na Mtazamo unaruhusiwa Kuwa Challenged, Ila Sio kumshambulia Mtu moja kwa moja, SIo ustaarabu wa Kiafrika.

Ila nashukuru kwa yote, Brother, Mimi naamini ajionavyo Mtu nafsini mwake ndivyo alivyo, Sio wewe unavyoniona; Kama wewe unaniona mimi Mpumbavu its Ok, ila Mimi sijioni hivyo.

Asante
 
Brother naona Umenishambulia kwa matusi; But its Ok; Maana mimi sijamshambulia Mtu, Nimesema kwa Kadiri ya Experience yangu tu; Na experience yangu sio Sheria.
Ni kwa Vile tu haujui, Ila Mimi ni Mtanzania Nimesoma Primary Tanzania, Bunge na Baadae nikahamia Vituka Primary; Nikasoma Secondary Tz pia;
After Form Four Nimekuja Ughaibuni na Kusoma Elimu yangu ya Juu Huku; Ndiyo nikaanza ku-experience hayo niliyoyasema hapo juu; Kama kuna walioko Ughaibuni Humu watakuwa wamenielewa; Hivyo Kunishambulia kwa Kunitusi sio Ustaarabu Ndugu yangu; JF ni Sehemu ya Kuelezea Mtazamo na Mtazamo unaruhusiwa Kuwa Challenged, Ila Sio kumshambulia Mtu moja kwa moja, SIo ustaarabu wa Kiafrika.

Ila nashukuru kwa yote, Brother, Mimi naamini ajionavyo Mtu nafsini mwake ndivyo alivyo, Sio wewe unavyoniona; Kama wewe unaniona mimi Mpumbavu its Ok, ila Mimi sijioni hivyo.

Asante
Kusoma ughaibuni co shida inategemea unasoma nn cz upeo wako umenishangaza sn yn mtoto wa primary kenya ana upeo kuliko mtz wa second year hv huoni km umeitusi elimu ya Tz na WaTz wote, yn hata mtoto anaesoma elimu ya awali Europe hawezi kuthubutu kusema kuwa ana upeo kuliko mtz wa second year, unazungumzia kenya ambapo hakuna hata wagunduzi, kitu ambacho kinawafanya WaTz wadhani kenya ipo mbele kielimu kuliko Tz ni English tu ambapo pia ntafungulia uzi
 
Back
Top Bottom