Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Ndugu watanzania nafikiri tumechoka sasa kwa hizi story za mwakalebela na wenzake za kutaja kiasi cha ajabu tofauti na uwanja ulivyojaa;hakuna ambae alifikiri hata siku moja kwamba ule mchezo wa mechi za taifa stars na mapato yake watu wakaa kimya;wakajua wanaweza kuendelea kuiba
serikali leo imetangaza kushangazwa na mapato yanayoonekana baada ya mechi tofautishwa na watu walivyojaa uwanjani..LEO HII MAPATO YA YANGA NA SIMBA YAMEPATIKANA MILLION 230...LOH SHAME TENGA SHME MWAKALEBELA NA WENZAKO....HAKUNA CHA UONGOZI WALA NINI WIZI MTUPU MMEBAKI KUWAHADAA SERIKALI LAKINI SASA HIVI WAMESHTUKA POLEN NA MECHI ZIJAZO....
Je huu wizi wa mwakalebele,Tenga na TFF pamoja na viongozi wa Timu UTAISHA LINI...TUENDELEE KUWAVUMILIA...KWA MAONI YANGU BORA SERIKALI UUFUNGE UWANJA KWA MUDA;maana pesa zinazopatikana ndizo zinatarajia kutunza uwanja ,sasa iweeje kila uwanja ukijaa mapato yanatajwa tofauti...
Waziri wa michezo tunaomba kama wameiba sera ya CCM sasa KAMA UJAIBA UIIBI TENA,then kama hawaakuiba vya kutosha embu tuwaachie waendelee kula na uwanja wao wa UHURU......
serikali leo imetangaza kushangazwa na mapato yanayoonekana baada ya mechi tofautishwa na watu walivyojaa uwanjani..LEO HII MAPATO YA YANGA NA SIMBA YAMEPATIKANA MILLION 230...LOH SHAME TENGA SHME MWAKALEBELA NA WENZAKO....HAKUNA CHA UONGOZI WALA NINI WIZI MTUPU MMEBAKI KUWAHADAA SERIKALI LAKINI SASA HIVI WAMESHTUKA POLEN NA MECHI ZIJAZO....
Je huu wizi wa mwakalebele,Tenga na TFF pamoja na viongozi wa Timu UTAISHA LINI...TUENDELEE KUWAVUMILIA...KWA MAONI YANGU BORA SERIKALI UUFUNGE UWANJA KWA MUDA;maana pesa zinazopatikana ndizo zinatarajia kutunza uwanja ,sasa iweeje kila uwanja ukijaa mapato yanatajwa tofauti...
Waziri wa michezo tunaomba kama wameiba sera ya CCM sasa KAMA UJAIBA UIIBI TENA,then kama hawaakuiba vya kutosha embu tuwaachie waendelee kula na uwanja wao wa UHURU......