gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Wizara husika angelieni upya maamuzi yenu ya vibali vya biashara ya uuzaji wa mahindi ambayo imezidi kushamiri kutokana na njaa iliopo Somalia pamoja na Kenya.
Gunia la plastiki sita kwa hapa Kiteto Manyara kwasasa limefikia 46,000 kipindi hiki cha mavuno ukilinganisha na mwaka jana ambapo kipindi cha mavuno lilikua 20,000. Mfumuko wa bei (inflation) umesababishwa na kuongezeka kwa uhitaji kutokana na usafirishwaji nje pamoja na uhaba kwani mavuno sio mazuri mwaka huu.
Msipochukua hatua watanzania watakufa njaa kwa kuokoa maisha ya wasomali.
Gunia la plastiki sita kwa hapa Kiteto Manyara kwasasa limefikia 46,000 kipindi hiki cha mavuno ukilinganisha na mwaka jana ambapo kipindi cha mavuno lilikua 20,000. Mfumuko wa bei (inflation) umesababishwa na kuongezeka kwa uhitaji kutokana na usafirishwaji nje pamoja na uhaba kwani mavuno sio mazuri mwaka huu.
Msipochukua hatua watanzania watakufa njaa kwa kuokoa maisha ya wasomali.