TEK
Senior Member
- Jul 13, 2015
- 184
- 34
Leo nimebahatika kufika Musoma kwa Mara ya kwanza. Kilichoniumiza nipale nilipofika bandarini nikakuta kwqnza bandari haifanyi kazi ilasasa nilichoka nilipomuuliza muhudumu kuwa ni meli za kutoka wapi hufika katika bandari ikiwainafanya kazi?
Jibu ni kuwa zinazotoka Mwanza, Bukoba na Dar es Salaam.
Serikali yangu ajilini watu wenye weledi na kazi mnazotoa
Jibu ni kuwa zinazotoka Mwanza, Bukoba na Dar es Salaam.
Serikali yangu ajilini watu wenye weledi na kazi mnazotoa