Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,291
- 17,736
Ninahisi matumizi holela ya kemikali kama zebaki na nyinginezo zile za kusafishia madini migodini au zinazo tumiwa na wachimbaji wadogo wadogo wa madini, inawezekana hizo ndiyo huchafua mazingira mashambani, mitoni na ziwani.
Ningeshauri serikali ifanyie tafiti juu ya samaki toka ziwa Victoria, mito yote kanda hiyo unaweza kukuta jambo la kushitua.
Tafiti iende mbali na kuchunguza pia mazao toka mashambani mikoa yote ya kanda ya ziwa.
Kama chanzo kinaweza kuwa hicho nilichohisi basi tatizo linaweza kusambaa miji mikubwa kama Dar es Salaam, Dodoma, na mikoa mingine wanayo tumia samaki toka ziwa Victoria kama Sato, Sangara na Dagaa.
Sio vibaya wakichunguza na dawa za mifugo pia.
Serikali ichukue hatua tusisubiri janga kubwa.
Angalizo: Sijasema samaki wa ziwa Victoria wana tatizo.
Bandiko hili limechochewa na hoja hiyo hapo chini kama alivyochangia mjadala flani ndugu Subisubi humu jukwaani JamiiForums.
CC: Mh. Rais John Pombe Magufuli, Makamu wa Raisi Bi SSS, Waziri Mkuu MKM, Waziri wa Afya, Waziri wa Kilimo, Waziri wa Uvuvi,..., .., NEMC, .. et al.
UPDATES:
Kuna baadhi ya hoja za kisiasa kama hiyo hapo chini tuziepuke zitatupotosha
Ubaguzi na siasa zitatumaliza ...
Walaji wa mchemsho wa samaki(sato) hapa DSM na mikoa mingine wengi ni wa kabila tofauti na wasukuma.
Ningeshauri serikali ifanyie tafiti juu ya samaki toka ziwa Victoria, mito yote kanda hiyo unaweza kukuta jambo la kushitua.
Tafiti iende mbali na kuchunguza pia mazao toka mashambani mikoa yote ya kanda ya ziwa.
Kama chanzo kinaweza kuwa hicho nilichohisi basi tatizo linaweza kusambaa miji mikubwa kama Dar es Salaam, Dodoma, na mikoa mingine wanayo tumia samaki toka ziwa Victoria kama Sato, Sangara na Dagaa.
Sio vibaya wakichunguza na dawa za mifugo pia.
Serikali ichukue hatua tusisubiri janga kubwa.
Angalizo: Sijasema samaki wa ziwa Victoria wana tatizo.
Bandiko hili limechochewa na hoja hiyo hapo chini kama alivyochangia mjadala flani ndugu Subisubi humu jukwaani JamiiForums.
Hapo kwenye kansa inabidi watu wa mwanza washauriwe kutumia,maana idadi ya watu wanaopata kansa kutoka kanda ya ziwa inazidi kuongezeka.
CC: Mh. Rais John Pombe Magufuli, Makamu wa Raisi Bi SSS, Waziri Mkuu MKM, Waziri wa Afya, Waziri wa Kilimo, Waziri wa Uvuvi,..., .., NEMC, .. et al.
UPDATES:
Kuna baadhi ya hoja za kisiasa kama hiyo hapo chini tuziepuke zitatupotosha
Tukianza kulipa sura ya ukabila au ukanda jambo hili tutakosea sana.kwa wasukuma huko
- Sisi wengine wa kanda mbali mbali tunakula samaki wanaotoka maeneo ya kanda ya ziwa.
- Madukani tunanunua mchele toka mkoa wa Shinyanga kama ule mchele wa Kahama.
- Tunakula ndizi toka kanda ziwa kama zile za Bukoba.
- Tunakula nyama ya ng'ombe toka kanda hiyo.
- Tunakula viazi vitamu toka kanda hiyo.
- Tunatumia asali toka kanda hiyo.
- Tuna ndugu zetu wanafanya kazi na kusoma kanda hiyo.
- Tuna ndugu zetu wanaishi na kufanya biashara kanda hiyo.
- Chakula cha kuku kinawekwa dagaa wanaotoka kanda hiyo, na baadae sisi tunakula hao kuku au mayai yao, kama unajua ABC za sayansi basi utajua hatupo salama wote tuliopo ktk huo mnyororo wa chakula(food chain).
Ubaguzi na siasa zitatumaliza ...
Walaji wa mchemsho wa samaki(sato) hapa DSM na mikoa mingine wengi ni wa kabila tofauti na wasukuma.