Serikali chungulieni wafanyabiashara wanaotoka nchi jirani kuja kununua vitu Kariakoo

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,796
Ukipita Kariakoo mtaa wa Congo au Sikukuu,Tandamti,Narung'ombe Lindi pamoja na viunga vinavyozunguka soko la Kariakoo kuna wafanyabiashara wanaotoka Comoro na DRC Congo kwa kweli ni wengi sana na wanaingia hapa nchini bila kukaguliwa .

Kwa wingi wa wafanyabiashara na wale wanaoenda kufanya mahitaji yao kama msipokuwa makini tutaangamia maana hawa raia wa kigeni wako wengi mno wengine wanakuja kwa njia ya boti au mashua hivyo uwezekano wa kupita njia bandia ni mkubwa na hawakaguliwi ipasavyo hivyo mamlaka hisika kuweni makini mnaweza dhibiti mipaka ya uwanja wa ndege na mipaka ya beria za getini kumbe upande wa majini hamjafanya kitu.
 
Ukipita k.koo mtaa wa congo au sikukuu,tandamti,narung'ombe lindi pamoja na viunga vinavyozunguka soko la k.koo kuna wafanya biashara wanaotoka comoro na drc congo kwa kweli ni wengi sana na wanaingia hapa nchini bila kukaguliwa .

Kwa wingi wa wafanya biashara na wale wanaoenda kufanya mahitaji yao kama msipokuwa makini tutaangamia maana hawa raia wa kigeni wako wengi mno wengine wanakuja kwa njia ya boti au mashua hivyo uwezekano wa kupita njia bandia ni mkubwa na hawakaguliwi ipasavyo hivyo mamlaka hisika kuweni makini mnaweza dhibiti mipaka ya uwanja wa ndege na mipaka ya beria za getini kumbe upande wa majini hamjafanya kitu.
Wewe endelea kukaa huko stendi kwako tu mambo ya Bandarini waachie Mabaharia. Yaani serikali izuie Wacomoro, Wacongo na Wazambia Kariakooo??? Unaumwa wewe, hivi unajua mchango wao Kiuchumi mkuuu? Punguza maskhara wakat mwingine.
 
Wewe endelea kukaa huko stendi kwako tu mambo ya Bandarini waachie Mabaharia. Yaani serikali izuie Wacomoro, Wacongo na Wazambia Kariakooo??? Unaumwa wewe, hivi unajua mchango wao Kiuchumi mkuuu? Punguza maskhara wakat mwingine.
Sio kuzuia wapitie njia ya upimaji kabla kabla ya kuingia kimazoea
 
Back
Top Bottom