Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Tokea serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani tumeshuhudia mabadiliko makubwa katiki nyanja mbali mbali ikiwemo kuongezeka kwa uwajibikaji wa viongozi na watumishi wa umma, kupigwa vita vya dhati kwa vitendo vya rushwa, ubadhirifu na ufujaji wa Mali za umma, kuanzishwa na kutekelezwa kwa vita ya kiuchumi yenye lengo la kuhakikisha kuwa uporaji wa maliasili zetu bila kutunufaisha kiuchumi kunakomeshwa.
Takribani masuala yote yaliyokuwa yakipigiwa kelele na wapinzani siku za nyuma ikiwemo kushamiri kwa rushwa, ubadhirifu, uporaji wa maliasili zetu n.k vinafanyiwa kazi kwa hatua mbali mbali kuchukuliwa ili kuhakikisha kuwa kero hizo zinatatuliwa.
Cha kushangaza wapinzani wameendelea kulalamika lalamika kama ilivyokuwa mwanzo. badala ya kushiriki katika utatuzi wa matatizo waliyokuwa wakilalamikia siku zilizopita.
Wakati uongozi wa nchi ukichukua hatua kuboresha maadili,utendaji, na uzalishaji wenye tija. Wapinzani hawaonekani kutambua kuwa nchi inapitia katika mabadiliko makubwa ya kifikra kwa lengo la kuhakikisha kuwa maadili mema ndio yatakuwa nguzo kuu ndani ya Utumishi wa umma iwe ni wabunge, madiwani, wenyeviti wa mitaa/vijiji au watumishi wa umma.
Ni mategemeo yangu kuwa kama ambavyo wapinzani waliweza kuongoza mijadala ya matatizo yaliyokuwa yakilibkabili taifa siku za nyuma. Hats sasa badala ya kulalamika lalamika wataendelea kuibua hoja Mpya zinazohitaji kufanyiwa Kazi. Niwashauri waache undumilakuwilu. Mathalani siku za nyuma walikuwa wakidai nfege kununuliwa, Leo zinanunuliwa wanazibeza.
Japo Jerry Muro anachukuliwa kama mropokaji. Lakini ukisikiliza kwa makini kauli zake anakosoa vitendo vya ukosefu wa maadili, ambavyo kwa mwendo wa zama hii havikubaliki. Mathalani alidai mmoja wa kiongozi mwandamizi wa chama fulani aliye Mwenyekiti wa chama husika Na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni ana mahusiano ya kimapenzi hadi kumzalisha watoto wawili mmoja wa wabunge wa viti maalum wa chama husika
Kama tuhuma hizi ni za kweli basis ndani ya chama husika yapo matatizo makubwa ya kimaadili.
Ikiwa tuhuma hizo ni za kweli maana ta utovu huu wa kimaadili ni:-
a) Kiongozi wa chama alihonga nafasi ya ubunge wa viti maalum kwa hawara yake.
b) Kiongozi wa chama ametumia nafasi yake ya uongozi kumrubuni binti.
Kama tuhuma hizi ni za kweli. Na uongozi mzima wa chama ukakaa kimya. Ni dhahiri kuwa kitendo hiki cha uongozi mzima wa chama kukaa kimya ni kukubali kupoteza legitimacy ya kukemea vitendo vingine vya ukosefu wa maadili. Chama hiki kikiwa ndio kikuu cha upinzani, ni sawa Na site tukubali kuwa hatuna upinzani hapa nchini kutokana Na kupoteza uhalali wa kukosoa kutokana Na wao kukosa maadili
Takribani masuala yote yaliyokuwa yakipigiwa kelele na wapinzani siku za nyuma ikiwemo kushamiri kwa rushwa, ubadhirifu, uporaji wa maliasili zetu n.k vinafanyiwa kazi kwa hatua mbali mbali kuchukuliwa ili kuhakikisha kuwa kero hizo zinatatuliwa.
Cha kushangaza wapinzani wameendelea kulalamika lalamika kama ilivyokuwa mwanzo. badala ya kushiriki katika utatuzi wa matatizo waliyokuwa wakilalamikia siku zilizopita.
Wakati uongozi wa nchi ukichukua hatua kuboresha maadili,utendaji, na uzalishaji wenye tija. Wapinzani hawaonekani kutambua kuwa nchi inapitia katika mabadiliko makubwa ya kifikra kwa lengo la kuhakikisha kuwa maadili mema ndio yatakuwa nguzo kuu ndani ya Utumishi wa umma iwe ni wabunge, madiwani, wenyeviti wa mitaa/vijiji au watumishi wa umma.
Ni mategemeo yangu kuwa kama ambavyo wapinzani waliweza kuongoza mijadala ya matatizo yaliyokuwa yakilibkabili taifa siku za nyuma. Hats sasa badala ya kulalamika lalamika wataendelea kuibua hoja Mpya zinazohitaji kufanyiwa Kazi. Niwashauri waache undumilakuwilu. Mathalani siku za nyuma walikuwa wakidai nfege kununuliwa, Leo zinanunuliwa wanazibeza.
Japo Jerry Muro anachukuliwa kama mropokaji. Lakini ukisikiliza kwa makini kauli zake anakosoa vitendo vya ukosefu wa maadili, ambavyo kwa mwendo wa zama hii havikubaliki. Mathalani alidai mmoja wa kiongozi mwandamizi wa chama fulani aliye Mwenyekiti wa chama husika Na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni ana mahusiano ya kimapenzi hadi kumzalisha watoto wawili mmoja wa wabunge wa viti maalum wa chama husika
Kama tuhuma hizi ni za kweli basis ndani ya chama husika yapo matatizo makubwa ya kimaadili.
Ikiwa tuhuma hizo ni za kweli maana ta utovu huu wa kimaadili ni:-
a) Kiongozi wa chama alihonga nafasi ya ubunge wa viti maalum kwa hawara yake.
b) Kiongozi wa chama ametumia nafasi yake ya uongozi kumrubuni binti.
Kama tuhuma hizi ni za kweli. Na uongozi mzima wa chama ukakaa kimya. Ni dhahiri kuwa kitendo hiki cha uongozi mzima wa chama kukaa kimya ni kukubali kupoteza legitimacy ya kukemea vitendo vingine vya ukosefu wa maadili. Chama hiki kikiwa ndio kikuu cha upinzani, ni sawa Na site tukubali kuwa hatuna upinzani hapa nchini kutokana Na kupoteza uhalali wa kukosoa kutokana Na wao kukosa maadili