Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,129
- 12,167
Wasibadilike kusapoti sisiem. Mantiki ya mtoa mada ni kuwa, yale waliyoyakemea mwanzo kama ni kero kisha yakafanyiwa kazi, basi wasiendelee nayo tena, bali wajikite kuibua mambo mapya ya kihujuma yafanywayo na watawala, ambayo hayajachosha masikio ya watu.Wabadilike wawe wanaisapoti serikali na ccm au?
Halafu uthamani wa upinzani unazidi kuporomoka kutokana na viongozi kushindwa kubuni mambo yanakayokwenda na wakati yanayolenga kutatua kero za raia.