jakomala
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 514
- 367
Uko hospital unaumwa huku nyimbani baba anasakamwa na kesi kila siku na hatimaye kafungwa jela.Nani atakuja kukuona?Lini Chadema itamuomba radhi Lissu kwa kumtekekeza ?
Sent using Jamii Forums mobile app