mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,753
- 7,075
Wana JF,
Baada ya Serikali kutoa tamko la kukata ticket kieletroniki sasa wafanyabiashara wa Mabus kwa kushirikiana na brokers au madalalie wa ticket. Kibaya zaidi hupewi ticket baada ya kutoa fedha.
Leo nimejifunza kitu gari no. T 195DAV KVC Safari karibu abaria wote hawana ticket. Jambo ambalo ni hatari, akitokea la kutokea hatujui hatima yetu.
Leo gari la Harambee limeharibika njiani baada ya kumaliza mto wami abiria tukafaulishwa. Baadaye tuko njiani tukadaiwa upya, tumebishana hadi mwisho sisi tukawa na hatia ya kutopewa ticket ikala kwetu.
Nimejaribu kushitaki kwa traffic mombo bila mafanikio traffic akaniambia niende nishitaki mwisho wa gari kwani safari bado ndefu. Mtindo Huu tutaumia wengi, bora traffic wawe wanaingia ndani kukagua ticket vinginevyo serikali itapoteza mapato na akitokea ajari kunakupoteza insurance.
Kampuni za kuanzia njia ya Boko - Bunju hawakati electronic.
Baada ya Serikali kutoa tamko la kukata ticket kieletroniki sasa wafanyabiashara wa Mabus kwa kushirikiana na brokers au madalalie wa ticket. Kibaya zaidi hupewi ticket baada ya kutoa fedha.
Leo nimejifunza kitu gari no. T 195DAV KVC Safari karibu abaria wote hawana ticket. Jambo ambalo ni hatari, akitokea la kutokea hatujui hatima yetu.
Leo gari la Harambee limeharibika njiani baada ya kumaliza mto wami abiria tukafaulishwa. Baadaye tuko njiani tukadaiwa upya, tumebishana hadi mwisho sisi tukawa na hatia ya kutopewa ticket ikala kwetu.
Nimejaribu kushitaki kwa traffic mombo bila mafanikio traffic akaniambia niende nishitaki mwisho wa gari kwani safari bado ndefu. Mtindo Huu tutaumia wengi, bora traffic wawe wanaingia ndani kukagua ticket vinginevyo serikali itapoteza mapato na akitokea ajari kunakupoteza insurance.
Kampuni za kuanzia njia ya Boko - Bunju hawakati electronic.