Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,948
- 18,648
Hata wakisema biashara zimefunguliwa trilion 2 hatuwezi bisha sababu hizi data wanapika wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clueless Hutus, mxieeew!
Kwa hiyo wewe Mzee Mwanakijiji Shoprite na Nakumatt wakifunga maduka yao, Fastjet ikafa, Bakhresa akapitisha mizigo yake Bandari ya Mombasa badala ya Dar Port na wafanyabiashara wa Kariakoo wakafuata mizigo Kampala badala mzigo uwakute hapo Kariakoo....
halaf nyinyi kwa akili zenu za Kihutu mkatoa vitambulisho vya wamachinga 165,000 na kufungua vibanda vya chips na Mpesa kila kona ya mtaa ndo akili yako inakutuma kuwa biashara zilizokufa/kufungwa ama kuhamishwa ni pungufu kwa thamani na idadi ya hivyo vitambulisho vya wamachinga mlivotoa?
Kuna nini cha kujibu hapo; anafanya kosa lilelile la ChegeniNjoo ujibu Mzee Mwanakijiji
Purchasing power imepungua umejuaje?
Haoni aibu kudanganya mwez mtukufu na ijabu lake......such a shameless womanNaibu Waziri wa Fedha, Dk Ashatu Kijaji amesema biashara zilizofungwa katika kipindi cha kuanzia Julai 2018 hadi Aprili 2019 ni 16,252 lakini zimefunguliwa 147,818.
Dk Kijaji ameyasema hayo leo Jumatano Mei 15, 2019 wakati akijibu hoja zilizotolewa na wabunge wakati wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya mbunge wa Busega (CCM), Dk Raphael Chegeni wakati akichangia mjadala wa bajeti ya Viwanda na Biashara mwaka 2019/2020 kudai Dk Kijaji alidanganya Bunge kuhusu takwimu za biashara ambazo zinafungwa.
Pia, Dk Chegeni amesema kuwa mapato yanayokusanywa nchini yameshuka.
Akijibu jambo hilo leo Dk Kijaji amesema huo ndio ukweli na uhalisia na kuhoji kama biashara zingefungwa wasingeweza kukusanya mapato.
Amesema kama biashara zinafungwa maana yake uchumi unasinzia na kubainisha kuwa Tanzania haijafika hapo.
“Watanzania halali wamemwelewa Rais John Magufuli na wanaendelea kufanya biashara halali. Uchumi uko imara na makini. Tunaendelea kutenda kwa ajili ya wananchi,” amesema.
Amesema tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hawajawahi kukusanya mapato ya chini ya Sh1trilioni kwa mwezi.
Mkuu, ningefurahi kusikia haya, mtaji wa biashara zilizofungwa ni x tsh na mpya zilizofunguliwa ni y tsh. Ningepata hiyo figure, ningeweza kujuanani mkweli!Ndiyooo niliyasema juzi..mtu anasema "biashara zinafungwa" tunamuuliza kulinganisha na nini na lini? Chegeni (au mwingine) anachoweza Ni kuoneshwa takwimu zinazopingana na hizi za serikali
Machinga nao wamejumlishwa kwenye hizo biashara?Ndiyooo niliyasema juzi..mtu anasema "biashara zinafungwa" tunamuuliza kulinganisha na nini na lini? Chegeni (au mwingine) anachoweza Ni kuoneshwa takwimu zinazopingana na hizi za serikali
Binafsi nilikuwa naweza kununua nguo kila mwezi lakin sasa bada ya miez 3 au 4 japo m sio mpiga dili inamaana kuna watu wamepungukiwa kitu hapa
Jitu pumbavu likikudanganya wewe unayedanganywa unaonekana mpumbavu zaidi huyo ni mpuuzi kama anayempa kulaNaibu Waziri wa Fedha, Dk Ashatu Kijaji amesema biashara zilizofungwa katika kipindi cha kuanzia Julai 2018 hadi Aprili 2019 ni 16,252 lakini zimefunguliwa 147,818.
Dk Kijaji ameyasema hayo leo Jumatano Mei 15, 2019 wakati akijibu hoja zilizotolewa na wabunge wakati wakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya mbunge wa Busega (CCM), Dk Raphael Chegeni wakati akichangia mjadala wa bajeti ya Viwanda na Biashara mwaka 2019/2020 kudai Dk Kijaji alidanganya Bunge kuhusu takwimu za biashara ambazo zinafungwa.
Pia, Dk Chegeni amesema kuwa mapato yanayokusanywa nchini yameshuka.
Akijibu jambo hilo leo Dk Kijaji amesema huo ndio ukweli na uhalisia na kuhoji kama biashara zingefungwa wasingeweza kukusanya mapato.
Amesema kama biashara zinafungwa maana yake uchumi unasinzia na kubainisha kuwa Tanzania haijafika hapo.
“Watanzania halali wamemwelewa Rais John Magufuli na wanaendelea kufanya biashara halali. Uchumi uko imara na makini. Tunaendelea kutenda kwa ajili ya wananchi,” amesema.
Amesema tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani hawajawahi kukusanya mapato ya chini ya Sh1trilioni kwa mwezi.
tunashukuru kwa takwimu, najua amezitoa akijua wazi hakuna mtu anayeweza ku 'fact check' hiyo taarifa, all in all kama ni za uongo basi serikali inajiongopea yenyewe.
ikifungwa super market moja na vikafunguliwa vibanda vya mpesa vitatu bila shaka serikali itasema "zimefunguliwa biashara nyingi"!
Reasoning ya namna gani hii
Takwimu za serikali ni rasmi. Ila si lazima zihusiane na ukweli. Ukweli uko uwanjani. Nenda kwanza pale business/financial district, Kariakoo.Ndiyooo niliyasema juzi..mtu anasema "biashara zinafungwa" tunamuuliza kulinganisha na nini na lini? Chegeni (au mwingine) anachoweza Ni kuoneshwa takwimu zinazopingana na hizi za serikali
Watu wanaotoka mkoa wa akina matonya wana la maana la kutuambia? Kazi yao kuimba sifa za mfalme. Kuna yule wa kongwa, halafu wa mtera; na huyu sasa wa kondoa. Wote wanamwaga mashudu tu.Haoni aibu kudanganya mwez mtukufu na ijabu lake......such a shameless woman
Mficha maradhi,kifo kitamuumbuaHizo biashara labda ni zile za vitambulisho vya Tsh 20,000/- Ila tunaona biashara zimefungwa maduka hayafanyi vizuri hata uchangamfu wa miji, watu haupo kama zamani. Kungekuwa na ufunguzi mkubwa wa biashara kama N. Waziri alivyosema basi TRA isingesisitiza watu wasifunge biashara.