Kwani kuna kiwanda cha kuyachakata hayo? Na mbegu wanazotumia ni zinazotumiwa duniani?Na yale mawese ya kigoma, alizeti ya singida, ufuta wa morogoro
Yaan Vyote hivyo vimepanda Kwenye soko la Dunia?
Au sikU hizi soko la Dunia limehamia kigoma, singida na morogoro?