johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,530
- 141,326
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema bei ya mafuta ya kula imepanda kutoka dola za Kimarekani 500 hadi zaidi ya 1000 katika soko la dunia.
Hii ndio sababu bei za mafuta hapa nyumbani zimabaki vile vile hazijashuka.
Hii ndio sababu bei za mafuta hapa nyumbani zimabaki vile vile hazijashuka.