Serikali bado inaendelea na uhakiki wa watumishi hewa?

Bado mkuu linaendelea! Yaani ni kero juu ya kero! Chief nkanga alisema ajira ni Feb 2017 wakatoa povu lakn huo ndo ukweli uliopo!

January 2017 kesho kutwa, bado matamko yanaendelea kama kawaida yao!
 
Bado mkuu linaendelea! Yaani ni kero juu ya kero! Chief nkanga alisema ajira ni Feb 2017 wakatoa povu lakn huo ndo ukweli uliopo!

January 2017 kesho kutwa, bado matamko yanaendelea kama kawaida yao!
Ikifika hiyo feb 2017 msishangae kusikia uhakiki wa uraia ukianza..
 
Kama mnasubiria ajira kama Mimi jazba ipungue tu maana kuna uhakiki Wa akili endapo wewe ni kichaa no ajira kama ujuavyo mmoja kati ya wanne! Kama unavuta bange au kilevi kinachozidi bora ujiajiri ujuapo.. Na ngoma pia zitapimwa...
 
Kama mnasubiria ajira kama Mimi jazba ipungue tu maana kuna uhakiki Wa akili endapo wewe ni kichaa no ajira kama ujuavyo mmoja kati ya wanne! Kama unavuta bange au kilevi kinachozidi bora ujiajiri ujuapo.. Na ngoma pia zitapimwa...
Hii silikali inatisha kama ukoma
 
Hivi mpaka sasa bado serikali ya mkuu inaendelea na uhakiki wa watumishi hewa? Mwaka unaisha na bado stahiki za watu hazilipwi.

Tujuze wenye ufahamu na hili.

kwani baba anapokwepa majukumu yake nyumbani ni lazima aitangazie familia yake kuwa sasa ninakwepa kuwajibika? hata kutafuta sababu za uongo ni njia nzuri ya kukwepa majukumu yako kiustaarabu zaidi


ukistaajabu ya watumishi hewa utayaona ya utumbuaji hewa
 
kwani baba anapokwepa majukumu yake nyumbani ni lazima aitangazie familia yake kuwa sasa ninakwepa kuwajibika? hata kutafuta sababu za uongo ni njia nzuri ya kukwepa majukumu yako kiustaarabu zaidi


ukistaajabu ya watumishi hewa utayaona ya utumbuaji hewa
Namba zinasomeka haswa
 
Kwa style hii, tutahakiki mpaka michepuko!
Ukweli Mkuu maana kuna rafiki yangu mwalimu anadai nauli ya likizo tangu disemba mwaka Jana,ni mwaka huu sasa,mpaka imefikia mahala najarbu kuiona kazi ya ualimu kama ni ya kuumiza sana tu
 
Watumishi banah, mara wezi, wazembe, wavivu, hawana akili hata boss mhindi anathamini kibarua wake
 
kutoka "mchakato na upembuzi" hadi "utumbuaji na uhakiki " !!!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom