Serikali badilisheni sehemu ya deni la ACACIA kuwa hisa

Kifyatu

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
3,382
3,196
Ni dhahiri hawa jamaa mmewashika pabaya. Lakini hili deni ni kubwa sana na watakuja na kila mbinu ili wapunguziwe.

Nawashauri muwakomalie na kwamba kama hawawezi kulilipa deni lote basi sehemu yake inunue hisa za huo mgodi.

Tulikwishapoteza hisa zetu za 15% hapo nyuma. Ni wakati muafaka sasa kuzirudisha maradufu kwa kutumia sehemu ya hili deni.

Uwezekano wa kubadilisha mkataba wa sasa pengine ni mgumu kidogo. Ikiwezekana sawa, la sivyo hii ndio nafasi yetu ya kujenga hisa za hii migodi kwa kutumia hili deni.

Hawa wazungu wataielewa tu hiyo kitu (Equity Financing of Debt).
 
Wakituuzia hisa na ofisi ziko kwao si tutakuwa tunafanya mchezo wa D9 club wa kupanda mbegu ila anayezipalilia humuoni unasubiria kuvuna? akisema mtandao umecolapse ukapoteza data tutafanyaje?
Hisa zinafanyiwa biashara na London Stock Exchange. Hazikai na mtu chumbani kwake.
 
Thubutu!!!
Wako radhi kuinfreti thamani za hisa ili tupunjwe au kuwithdraw ili tupate hasara.
 
Mkuu deni gani? ACCISIA wamezingatia mikataba na sheria za nchi yetu twendeni mahakamani kuthibitisha deni letu.
Hata ukidharau matokeo ya tume ya kwanza na karibuni yote ya tume ya pili, ni wazi kabisa (tume ya pili) ACACIA walidanganya wanasafirisha makontena mangapi.

Miaka nenda miaka rudi wanatuambia wanasafirisha makontena fulani lakini rekodi za melini zinaonyesha kitu kingine. Hili ni kosa la jinai (wizi). Watu wanakwenda jela kwa kosa kama hili.

Unafikiri kwa nini wanakuwa wanyenyekevu kiasi hiki.
 
Ni dhahiri hawa jamaa mmewashika pabaya. Lakini hili deni ni kubwa sana na watakuja na kila mbinu ili wapunguziwe.

Nawashauri muwakomalie na kwamba kama hawawezi kulilipa deni lote basi sehemu yake inunue hisa za huo mgodi.

Tulikwishapoteza hisa zetu za 15% hapo nyuma. Ni wakati muafaka sasa kuzirudisha maradufu kwa kutumia sehemu ya hili deni.

Uwezekano wa kubadilisha mkataba wa sasa pengine ni mgumu kidogo. Ikiwezekana sawa, la sivyo hii ndio nafasi yetu ya kujenga hisa za hii migodi kwa kutumia hili deni.

Hawa wazungu wataielewa tu hiyo kitu (Equity Financing of Debt).
Hilo deni unamdai nani? Njaa mbaya sana aisee!!
 
Hata ukidharau matokeo ya tume ya kwaza na karibuni yote ya tume ya pili, ni wazi kabisa (tume ya pili) ACACIA walidanganya wanasafirisha makontena mangapi.

Miaka nenda miaka rudi wanatuambia wanasafirisha makontena fulani lakini rekodi za melini zinaonyesha kitu kingine. Hili ni kosa la jinai (wizi). Watu wanakwenda jela kwa kosa kama hili.

Unafikiri kwa nini wanakuwa wanyenyekevu kiasi hiki.
Hakuna jela ya kumfunga mzungu bhana
 
Hata ukidharau matokeo ya tume ya kwaza na karibuni yote ya tume ya pili, ni wazi kabisa (tume ya pili) ACACIA walidanganya wanasafirisha makontena mangapi.

Miaka nenda miaka rudi wanatuambia wanasafirisha makontena fulani lakini rekodi za melini zinaonyesha kitu kingine. Hili ni kosa la jinai (wizi). Watu wanakwenda jela kwa kosa kama hili.

Unafikiri kwa nini wanakuwa wanyenyekevu kiasi hiki.
Bandari hii hii ambayo ambayo tunaambiwa magari kwa maelfu yali vanish?
Ongeza umakini angalau kidogo mkuu!!!
 
Lakini hili deni ni kubwa sana na watakuja na kila mbinu ili wapunguziwe
Hivi deni ambalo wanadaiwa na wamekubali kulipa ni deni gani?ni fedha ambazo zimebainika kuwa ziliibiwa kutokana na mikataba mibovu ambayo ilipitishwa na watuhumiwa wetu?au katika pesa hizohizo chache walizotakiwa kulipa Kuna sehemu hawajalipa?.
 
Naona mnaanza mipango ya kunidhulumu noah langu, watulipe tusepe, hayo mambo ya hisa nisije wakilishwa na joka la makengeza nikaambulia patupu nataka alphad g
 
Hata ukidharau matokeo ya tume ya kwaza na karibuni yote ya tume ya pili, ni wazi kabisa (tume ya pili) ACACIA walidanganya wanasafirisha makontena mangapi.

Miaka nenda miaka rudi wanatuambia wanasafirisha makontena fulani lakini rekodi za melini zinaonyesha kitu kingine. Hili ni kosa la jinai (wizi). Watu wanakwenda jela kwa kosa kama hili.

Unafikiri kwa nini wanakuwa wanyenyekevu kiasi hiki.
Hivi mwizi akikuibia nani wakulaumu ni wewe uliyeibiwa au mwizi?
 
Ina maana kuna Nyumbu wanadhani prof. Mruma na report yake na Prof. Osoro na Tume yake eti walidanganya? Daaah.... kweli, mtu mweusi alikuwa Sokwe aisee
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom