MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
Habarini wanaJF.
Mimi leo imekuwa siku yangu nzito na ngumu imeyonifanya niwaze na kuwaza bila kupata majibu .
Wote tunakumbuka tukio la vijana waliokuwa wanasoma special program ya sayansi ktk chuo cha Udom,Dodoma kufukuzwa ktk hali isiyo ya kibiinadamu na kuwaacha na taharuki na sintofahamu.!
Mbaya zaidi ni ilipofikia kuitwa majina mabaya na viongozi wakubwa wa serikali kama vile "vilaza" na "Vihiyo" kuonesha zarau,kejeri na Istazai kwa vijana wale.
Tunashukuru Mungu lilitoka tamko la baadhi yao kurudi Udom na wengine kupangiwa vyuo mbalimbali nchini.Hili sina tatizo nalo!!!!!!!
Leo nimepigiwa simu na mdogo wangu anayesoma chuo mbeya(naye alitokea Udom) akiniambia kuwa serikali iliamrisha vijana hao kufanya kazi ya kusahihisha mitihani ya darasa la nne kwa kipindi cha mwezi mzima na kuahidiwa kulipwa 50000/= huku wakilishwa chakula cha kawaida.Wakati kazi ingegharimu pesa nyingi kma wangewatumia walimu waajiriwa takribani 700000/= kwa mwezi.
Kikubwa na cha kushangaza vijana wale wameambiwa kufikia kesho trh 24 dec wawe wamemaliza kazi na isipokamilika wataifanya trh 25 dec siku ya X-mass.Nakuambiwa kuwa soon wanapomaliza kukabidhi waondoke chuoni kwa wiki moja bila kufikiria umbali Wa mahali watokapo wanachuo hao mfano:Kigoma n.k na hakuna atayeruhusiwa kubakia chuoni hata mmoja.
Kwa uchungu alikika akisema "Kaka usione watu wanakuwa magaidi,watu kuwa magaidi ni kitu kidogo hasa mtu anapodhurumiwa au kunyanyaswa".
Nafikiri serikali inajua inachokifanya si sahihi na unyanyasaji pia,watoto na wadogo zetu wanalia!
Je,Serikali hamuwaoni!?????
Nawaombeni radhi kwa maneno,japo si Mimi ni hasira zimenifanya niandike Mengi!!
[Hash]Tunaisoma[Hash]
Mimi leo imekuwa siku yangu nzito na ngumu imeyonifanya niwaze na kuwaza bila kupata majibu .
Wote tunakumbuka tukio la vijana waliokuwa wanasoma special program ya sayansi ktk chuo cha Udom,Dodoma kufukuzwa ktk hali isiyo ya kibiinadamu na kuwaacha na taharuki na sintofahamu.!
Mbaya zaidi ni ilipofikia kuitwa majina mabaya na viongozi wakubwa wa serikali kama vile "vilaza" na "Vihiyo" kuonesha zarau,kejeri na Istazai kwa vijana wale.
Tunashukuru Mungu lilitoka tamko la baadhi yao kurudi Udom na wengine kupangiwa vyuo mbalimbali nchini.Hili sina tatizo nalo!!!!!!!
Leo nimepigiwa simu na mdogo wangu anayesoma chuo mbeya(naye alitokea Udom) akiniambia kuwa serikali iliamrisha vijana hao kufanya kazi ya kusahihisha mitihani ya darasa la nne kwa kipindi cha mwezi mzima na kuahidiwa kulipwa 50000/= huku wakilishwa chakula cha kawaida.Wakati kazi ingegharimu pesa nyingi kma wangewatumia walimu waajiriwa takribani 700000/= kwa mwezi.
Kikubwa na cha kushangaza vijana wale wameambiwa kufikia kesho trh 24 dec wawe wamemaliza kazi na isipokamilika wataifanya trh 25 dec siku ya X-mass.Nakuambiwa kuwa soon wanapomaliza kukabidhi waondoke chuoni kwa wiki moja bila kufikiria umbali Wa mahali watokapo wanachuo hao mfano:Kigoma n.k na hakuna atayeruhusiwa kubakia chuoni hata mmoja.
Kwa uchungu alikika akisema "Kaka usione watu wanakuwa magaidi,watu kuwa magaidi ni kitu kidogo hasa mtu anapodhurumiwa au kunyanyaswa".
Nafikiri serikali inajua inachokifanya si sahihi na unyanyasaji pia,watoto na wadogo zetu wanalia!
Je,Serikali hamuwaoni!?????
Nawaombeni radhi kwa maneno,japo si Mimi ni hasira zimenifanya niandike Mengi!!
[Hash]Tunaisoma[Hash]