MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
- Thread starter
- #21
Kaka Mimi ni medical student ktk chuo fulani.Ila haiondoi ukweli kuwa magumu yanawapata ndugu na wadogo zetu.kwahiyo unaamua lipi mkuu. naona malalamiko mengi sana. hebu weka picha ya simu yako unayotumia tuone kama kweli hali ni mbaya.. wanaume wa dar bwana