Natafakari sana haya makampuni ya simu kuigomea serikali kupunguza bei ya vifurushi. Katika awamu ya tano tulijionea, serikali ilikuwa ikiamua jambo lake, watendaji waliwajibika kwa wakat na kwa speed mujarabu.
Tunajionea kwa macho na kwa vitendo awamu hii ya Sita ipo slow sana inaenda sawia na sauti ya upole na ya taratibu ya rais mama yetu Samia.
Takiriban miezi miwili sasa Wananchi tunapigwa punch za uso na makampuni ya simu kwenye bei ya vifurushi kuwa juu, hatimaye Wwnanchi wameanza kuizoea hali hii.
Huko mbele Kuna hatari tutakuja kujionea kila taasis za binafs zitoazo huduma kujipandishia bei watakavyo, mfano shule binafsi zitapandisha ada na kuongeza michango na kwani serikali ni butu, hii ni mfano Michache. Mapovu ruksa.
Tunajionea kwa macho na kwa vitendo awamu hii ya Sita ipo slow sana inaenda sawia na sauti ya upole na ya taratibu ya rais mama yetu Samia.
Takiriban miezi miwili sasa Wananchi tunapigwa punch za uso na makampuni ya simu kwenye bei ya vifurushi kuwa juu, hatimaye Wwnanchi wameanza kuizoea hali hii.
Huko mbele Kuna hatari tutakuja kujionea kila taasis za binafs zitoazo huduma kujipandishia bei watakavyo, mfano shule binafsi zitapandisha ada na kuongeza michango na kwani serikali ni butu, hii ni mfano Michache. Mapovu ruksa.