Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 474
TANESCO hili shirika limekuwa likilalamikiwa na watu katika changamoto mbalimbali
1) Kufunga nguzo Bila kuunganisha
2) Rushwa kwa surveyor ili watembelee eneo husika
3)USambazaji wa Nguzo umeanza kudolola
4)Customer care Mbovu mfano mzuri Nyakato Mwanza wanamajibu ya ovyo kweli kuanzia Manager mpaka surveyor
5) Kama nguzo iko kwa jirani unaweza ukaenda tanesco mpaka Miguu ikaota vigimbi
6)Waziri tembelea miradi ujue changamoto
7)Form za wateja zinapotea na kupuuzwa
MAJI
Katika changamoto 70% Ya watanzania wanayokabiliana nayo ni swala la maji, Hili limekuwa kilio kwa wananchi hawaoni mikakati yoyote wala kipaumbele,tukijua maji yame!aba asilimia kubwa ya maisha ya Mwanadamu
Suala Airtime kwenye simu na miamala Hizi akili sijui nani kazitoa , watu wanavuta bange,na kulewa ndio wanatuletea mawazo Machafu namna hii ,Hivi hi Tz kuna watu hawajui kuna watu wanashinda njaa,watu wanahangaika hata kupata 10,000
ushauri wangu kwa serikali Angalieni Mambo yanayowagusa wananchi wengi achaneni na siasa za ugoro
1) Kufunga nguzo Bila kuunganisha
2) Rushwa kwa surveyor ili watembelee eneo husika
3)USambazaji wa Nguzo umeanza kudolola
4)Customer care Mbovu mfano mzuri Nyakato Mwanza wanamajibu ya ovyo kweli kuanzia Manager mpaka surveyor
5) Kama nguzo iko kwa jirani unaweza ukaenda tanesco mpaka Miguu ikaota vigimbi
6)Waziri tembelea miradi ujue changamoto
7)Form za wateja zinapotea na kupuuzwa
MAJI
Katika changamoto 70% Ya watanzania wanayokabiliana nayo ni swala la maji, Hili limekuwa kilio kwa wananchi hawaoni mikakati yoyote wala kipaumbele,tukijua maji yame!aba asilimia kubwa ya maisha ya Mwanadamu
Suala Airtime kwenye simu na miamala Hizi akili sijui nani kazitoa , watu wanavuta bange,na kulewa ndio wanatuletea mawazo Machafu namna hii ,Hivi hi Tz kuna watu hawajui kuna watu wanashinda njaa,watu wanahangaika hata kupata 10,000
ushauri wangu kwa serikali Angalieni Mambo yanayowagusa wananchi wengi achaneni na siasa za ugoro