Wakuu.
nawasalimu sana sana.
Baada ya salamu naomba nieleze kua serikali haichangii chochote kwenye uzalishaji wa kahawa na hakuna msaada wenu.
Bado mnanunua kwa bei za chini yaani nipate hasara eti kisa nina uzalendo hiyo haijawahi kutokea hata siku moja.
Kahawa ina bei nzuri Rwanda , Uganda, Burundi Na kenya msitulazimishe tuwauzie ninyi kwa hasara mlivoua bei za mahindi na mbaazi muishie hapo hapo tuachieni kahawa tusomeshe watoto kwenye shule bora baada ya faida tutayopata.
Sent using Jamii Forums mobile app
nawasalimu sana sana.
Baada ya salamu naomba nieleze kua serikali haichangii chochote kwenye uzalishaji wa kahawa na hakuna msaada wenu.
Bado mnanunua kwa bei za chini yaani nipate hasara eti kisa nina uzalendo hiyo haijawahi kutokea hata siku moja.
Kahawa ina bei nzuri Rwanda , Uganda, Burundi Na kenya msitulazimishe tuwauzie ninyi kwa hasara mlivoua bei za mahindi na mbaazi muishie hapo hapo tuachieni kahawa tusomeshe watoto kwenye shule bora baada ya faida tutayopata.
Sent using Jamii Forums mobile app