Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Ni sawa wamevunja Sheria zetu kuingia kwenye nchini bila ya kibali lakini tusiwafunge na kuwatoza mafaini makubwa aidha tuwaache wapite au tuwarudishe.
95% ya Wasomali/Waethiopia wanaoingia nchini bila ya kibali wanapita tu wanakwenda AK kutafuta maisha, wana-hustle tu kama Wabongo wengi waliotapakaa Duniani kote, wanahustle. Hivyo tuwaachieni, hawachukui kazi wala kuhatarisha maisha ya Mtanzania yoyote. Hawa ni ndugu zetu.
Waasia wamejaa viwandani na mahoteli makubwa wanafanya kazi bila ya vibali hao ndiyo wa kukamata na kudhalilisha.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.
95% ya Wasomali/Waethiopia wanaoingia nchini bila ya kibali wanapita tu wanakwenda AK kutafuta maisha, wana-hustle tu kama Wabongo wengi waliotapakaa Duniani kote, wanahustle. Hivyo tuwaachieni, hawachukui kazi wala kuhatarisha maisha ya Mtanzania yoyote. Hawa ni ndugu zetu.
Waasia wamejaa viwandani na mahoteli makubwa wanafanya kazi bila ya vibali hao ndiyo wa kukamata na kudhalilisha.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.