Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 761
Kesho huu mzigo ndio unatoka season 3....Too bad ndio utakuwa mwisho wa hii series na haitoendelea tena
Hii kwangu mimi iliisha season 2 tena yenyew walikua wanaunga story tuuKesho huu mzigo ndio unatoka season 3....Too bad ndio utakuwa mwisho wa hii series na haitoendelea tena
View attachment 2020615
Ina story nzuri sana...inakufanya uendelee kuiangalia kila baada ya episodes moja inapoisha
Wahuni wa Napoli wamerudi tena mzee...Kitu kizuri ni kuwa Ciro anaonekana ali survive baada ya lile tukio la kupigwa risasi na kutupwa katikati ya bahari kwenye season 3..Kesho huu mzigo ndio unatoka season 3....Too bad ndio utakuwa mwisho wa hii series na haitoendelea tena
View attachment 2020615
Niliugademshit S01E03Kesho huu mzigo ndio unatoka season 3....Too bad ndio utakuwa mwisho wa hii series na haitoendelea tena
View attachment 2020615
Duuuh! Kama huyo mwehu karudi basi hapatoshi Aisee...Ngoja niisubirie yote imalizike ili niushushe wote maana sitaki kusubiria week baada ya week mimi.Wahuni wa Napoli wamerudi tena mzee...Kitu kizuri ni kuwa Ciro anaonekana ali survive baada ya lile tukio la kupigwa risasi na kutupwa katikati ya bahari kwenye season 3..
Niliwahi kukuambia kuwa baada ya Gomorrah kutoa hadi season 4,jamaa walitoa movie mwaka jana inayoitwa The Immortal,humu ndani hasa hasa wanamzungumzia Ciro,kama unakumbuka toka Gomorrah inaanza Ciro walikuwa wanamuita "The Immortal "kama a.k.a...sasa kwenye ile movie ya The Immortal wametuonyesha Ciro alianzia wapi toka anazaliwa anakuwa majanga aliyopitia hadi kuitwa The Immortal..na wakati inaisha ile movie mwishoni kabsa Ciro alionekana anakutana na Gennaro..
Sasa kwenye hii season ya tano ambayo ni final season Ciro karudi...wote tunajua mabalaa ya Ciro
Huwa ni mgumu sana kufatilia ongoing series,ila kwa hii naenda mdogo mdogoView attachment 2022430View attachment 2022432View attachment 2022433View attachment 2022434
Poa poa mzeeDuuuh! Kama huyo mwehu karudi basi hapatoshi Aisee...Ngoja niisubirie yote imalizike ili niushushe wote maana sitaki kusubiria week baada ya week mimi.
Hii ni series gani kiongoziWahuni wa Napoli wamerudi tena mzee...Kitu kizuri ni kuwa Ciro anaonekana ali survive baada ya lile tukio la kupigwa risasi na kutupwa katikati ya bahari kwenye season 3..
Niliwahi kukuambia kuwa baada ya Gomorrah kutoa hadi season 4,jamaa walitoa movie mwaka jana inayoitwa The Immortal,humu ndani hasa hasa wanamzungumzia Ciro,kama unakumbuka toka Gomorrah inaanza Ciro walikuwa wanamuita "The Immortal "kama a.k.a...sasa kwenye ile movie ya The Immortal wametuonyesha Ciro alianzia wapi toka anazaliwa anakuwa majanga aliyopitia hadi kuitwa The Immortal..na wakati inaisha ile movie mwishoni kabsa Ciro alionekana anakutana na Gennaro..
Sasa kwenye hii season ya tano ambayo ni final season Ciro karudi...wote tunajua mabalaa ya Ciro
Huwa ni mgumu sana kufatilia ongoing series,ila kwa hii naenda mdogo mdogoView attachment 2022430View attachment 2022432View attachment 2022433View attachment 2022434
Umeipakua wap net naija siioni ?Kuna mzigo mwingine huu hapo...Duniani kunatokea sitofahamu na wanakufa watu wote ila wanao survive ni wale tu wenye Y Chromosome...kaseries kazuri sana haka
Kuna mwamba mmoja atabaki sasa kuna sehem alijichanganya akakutana na watoto wa kike kama wote
Ina season one na iko na episodes 10!!
Itafutane hiiView attachment 2021100View attachment 2021101
Gomorrah..ni mzigo wa Kiitaliano kutoka kwenye mji wa Napol...its all about drugs,ina season 4 complete,ya tano ambayo ndio final season imeanza kutoka tarehe 19Hii ni series gani kiongozi
Mimi natumia hii 13377x.cyouUmeipakua wap net naija siioni ?
Endelea nayo mkuu,Peaky Blinders mbona Kama najiforce kuikubali hiviii... Season one siona maajabu yani au zinazofata ndo zipo moto
Tuliza kichwa utaielewaPeaky Blinders mbona Kama najiforce kuikubali hiviii... Season one siona maajabu yani au zinazofata ndo zipo moto
Shida sio kuielewa shida ni haina maajabu yanii....Tuliza kichwa utaielewa
DahShida sio kuielewa shida ni haina maajabu yanii....