Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The wire ina s5 tu.. ya sita sina hakika.. season finale ni season 5.Hata mimi pia haijanivutia alafu nilishusha season zote 6
Ulivyoipamba humu nikajua bonge la kitu kumbe kawaida!Imepoa,sio siries ya kukufanya usingizi upotee!The wire ina s5 tu.. ya sita sina hakika.. season finale ni season 5.
Kwa wengi ni Series Nzuri Sana.. but there are also exceptions...
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni nadra sana kupata negative remarks ... Inanishangaza TBHUlivyoipamba humu nikajua bonge la kitu kumbe kawaida!Imepoa,sio siries ya kukufanya usingizi upotee!
Nimekuwa dissapointed sana!Ni nadra sana kupata negative remarks ... Inanishangaza TBH
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ntumiaga index!unatumia website gani mzee
Kwangu Mimi katika series Bora za Netflix zenye story nzuri, za muda wote tangu niangalie series zao na kukufanya ushangae na kujiuliza mda wote Basi ni MONEY HEIST & DARK....Hii kwangu ndio series bora kabisa iliyowahi kutoka katika "kapu" la Netflix. Naisubiri season 3 kwa hamu.
Ichambue kidogo hiyo Dark tuone tunafanyajeKwangu Mimi katika series Bora za Netflix zenye story nzuri, za muda wote tangu niangalie series zao na kukufanya ushangae na kujiuliza mda wote Basi ni MONEY HEIST & DARK....
Hii Dark nilidownload season zote 3 nikaweka kiporo nikaanza nayo kuanzia alhamisi ya wiki iliyopita hadi leo nipo S03e07 si mchezo mzee hadi unasema hii ndo series sasa ya mtu mzima kukaa na kuangalia sio series hata mtoto mdogo akikaa unajua mwisho wa siku itaishia wapi.... Hapa netflix na wajerumani wamecheza Sana naipa 9/10 kwa upande wangu.
Minyanduano ipo?I recommend outer banks!
Ni series inayomuhusu kijana John B anayeamua kuingia mzigoni kutafuta dhahabu ambazo zilizama na meli ya matajiri (royal merchant) miaka 150 nyuma na kipnd chote hcho watu mbali mbali wamejrbu kutafuta ikiwemo baba yake aliyespend 20 yrs kuresearch na alifariki kwa kupotea kutokana na issue hyo...
Ina season 1 imetoka april 2020 and soon season 2 itatoka.!! View attachment 1570157
Ahahah ipo kidgo sana! Nahis scene mojaMinyanduano ipo?
Kuna jamaa aliielezea hapa huko nyuma ndo kanifanya niitafute mzeeInakaugumu flani kuuelewa
Ngoja nikupe concept
Hii inausiana na maswala ya time travel, na familia 4 yaani (Khanwalds, nielsen, Tiedemans na dopplers)
, ambazo zipo connected kwenye cycle ya miaka 33, hapo inabidi ucheze na hiyo miaka Sasa 2019, 1986, 2053, na kusafiri ndani hiyo miaka iliwezeshwa na chama ch Siri Cha time Traveller winden kinaitwa sicmundus kilichogundua paths kwenye, Hilo cave,
Mkuu komaa na siries nikikuhadithia hautainjoi inabidi uangalie mwenyewe.
Dark ni mashine kubwa sana kutoka kwa Wajerumani. Hiyo ngoma nilivyomaliza kuangalia season 1 tu, moja kwa moja nikaiweka katika list ya classic TV series ambazo nimewahi kuzitazama.Kwangu Mimi katika series Bora za Netflix zenye story nzuri, za muda wote tangu niangalie series zao na kukufanya ushangae na kujiuliza mda wote Basi ni MONEY HEIST & DARK....
Hii Dark nilidownload season zote 3 nikaweka kiporo nikaanza nayo kuanzia alhamisi ya wiki iliyopita hadi leo nipo S03e07 si mchezo mzee hadi unasema hii ndo series sasa ya mtu mzima kukaa na kuangalia sio series hata mtoto mdogo akikaa unajua mwisho wa siku itaishia wapi.... Hapa netflix na wajerumani wamecheza Sana naipa 9/10 kwa upande wangu. 👏👏🙌🙌
The Wire sio series ya kukufanya usingizi usipotee!? Hauko serious mzee!Ulivyoipamba humu nikajua bonge la kitu kumbe kawaida!Imepoa,sio siries ya kukufanya usingizi upotee!
Inaboa,kwa mtu anayeelewa series asipoteze mda kudownload the wire,atajikuta na matarajio makubwa kumbe series ya kawaida!The Wire sio series ya kukufanya usingizi usipotee!? Hauko serious mzee!
It's very hard kwa mtu anayeangalia series to never like the wire.. it's not about quality of the pictures but the mastery of telling the story from a milion perspectives, paired with greaat acting.. in modern television that's a Monalisa of the TV shows. But again taste is personal.. and you are first person (that I know) to ever find the wire boring ..Inaboa,kwa mtu anayeelewa series asipoteze mda kudownload the wire,atajikuta na matarajio makubwa kumbe series ya kawaida!
Kuna mwingine hapo juu naye kaona kama nilivyoona mimi!Story imepoa,ikielekea kuchangamka basi scene inayofuata inaipoza!Kiufupi nimejilazimisha mpaka nimemaliza seasons 3 kwa tabu sana!Nimeishia hapo hapo!It's very hard kwa mtu anayeangalia series to never like the wire.. it's not about quality of the pictures but the mastery of telling the story from a milion perspectives, paired with greaat acting.. in modern television that's a Monalisa of the TV shows. But again taste is personal.. and you are first person (that I know) to ever find the wire boring ..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Treadstone ni kali nyie.