MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,087
- 2,269
Huu ubabe kwenye hii series ni balaa. Hapo mbele kidogo ukienda utakutana na myahudi anaitwa alfie .ni hatar kubwayap, nimeiangalia season 1 na ndio ilionifanya niwe na mzuka wa kuifuatilia mwendelezo wake.
huyu kaka yao anayeitwa arthur shelby ni zaidi ya mwehu pindi akishabwia cocaine.
hii series haifai kuangalia na mtu unayemuheshimu hususan season 2.
View attachment 1206662
season 3 loading--------