Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,118
- 732
Mkuu hiv blood and oil s2 ilitokabreaking bad
blood and oil
narcos
el chapo
snowfall
gangland undercover
power
Mkuu hiv blood and oil s2 ilitokabreaking bad
blood and oil
narcos
el chapo
snowfall
gangland undercover
power
haikutoka mkuu kwa namna ilivyoisha sidhani kama kuna mpango wa kuongeza season nyingineMkuu hiv blood and oil s2 ilitoka
Punguza kukurupuka mkuu!!!!!Mkuu watu wa namna hii usitumie nguvu kubishana nae just ignore him/her siku ipite.
Hiyo sitazami hata kwa bahati mbaya.sijawahi hata itazama sababu ya genre yake..
Umelazimishwa??Hakuna ki2 humu....pumba tupu...sijaona cha maana...series zimebase upande m1....ambazo ni series za kichoko..
Sijawahi shawishika hata kidogoHiyo sitazami hata kwa bahati mbaya.
Sijaongea na Wewe!!!!! Tulia na nywele zako!!!!!Umelazimishwa??
Kwahiyo hoja yako n nn??Hakuna ki2 humu....pumba tupu...sijaona cha maana...series zimebase upande m1....ambazo ni series za kichoko..
Hata wewe nywele unazo,usitujazie nzi hapaSijaongea na Wewe!!!!! Tulia na nywele zako!!!!!
Mpuuzi tu huyo.Hii kweli home of great thinker.
Nawe muda wote uliotumia kuandika hili li article lako,kwann usingetumia huo muda kuongea na huyo Mungu wako,ambaye unaweza hata kuongea nae!Faida yake nn?? Muda unaoatumia kuangalia hzo series zako kwann usiutumie kusoma neno la MUNGU??
-Je kwa siku unaongea na MUNGU wako mara ngapi??
-kama huingei naye unamwabhdu nan chin ya jua??
-kama unamwabudu mungu wa mbiguni kwa n husemi naye???
Ni wakati wa kubadilika na kuujua ufaulme wa mbinguni kukiko kupoteza muda mwingi kufanaya mambk ya kidunia. Jeuri ya mwanadamu iko mikononi mwa MUNGU kama unabisha basi SHAURI yako.
Ni balaaVipi kuna mtu amefuatilia THE BRAVE????
Good docka ikoje bibieSure,naisubiri the brave,the good doctor,blindspot
Iko poa sana kina elizabeth keen na Redmond redntonSijawahi shawishika hata kidogo
Inamuhusu daktari mdogo ambae alipokuwa mdogo alipitia manyanyaso yanayompelekea kutokujiamini na msongo was mawazo,mean while ni daktari mzuri sana kwenye upasuaji,ana extra knowledge.. Anaajiliwa lakini kazini anakumbana na vikwazo kibaoGood docka ikoje bibie