Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,508
- 44,620
Hatimae wale wadau wa Canal Sport, kilio chenu kimesikika sasa ligi ya Serie A itaanza kuonekana katika king'amuzi cha Canal Sport kwanzia mwezi huu wa 8 tarehe 24.
Kupitia Canal Sport sasa utapata ligi zifuatazo mubashara
Uefa Champions League
Uefa Europa League
EPL
La Liga
Serie A
Ligue 1
CAF Champions League
Tunafaidi uhondo wote huo kwa Tshs. 40,000/= (Elfu Arobaini) kwa mwezi tu. Tafuta wakala wake ufaidi uhondo, huko kwengine unaibiwa, toroka uje!
NB:
Mimi nimewashtua tu wadau wa soka, mimi siuzi hivyo ving'amuzi, nimeamua kutumia kauli mbiu, Kizuri kula na mwenzako.
Kupitia Canal Sport sasa utapata ligi zifuatazo mubashara
Uefa Champions League
Uefa Europa League
EPL
La Liga
Serie A
Ligue 1
CAF Champions League
Tunafaidi uhondo wote huo kwa Tshs. 40,000/= (Elfu Arobaini) kwa mwezi tu. Tafuta wakala wake ufaidi uhondo, huko kwengine unaibiwa, toroka uje!
NB:
Mimi nimewashtua tu wadau wa soka, mimi siuzi hivyo ving'amuzi, nimeamua kutumia kauli mbiu, Kizuri kula na mwenzako.