East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Hii ni Kwa walevi tu.
Nakumbuka TBL ziliva sana miaka ya nyuma.
Ila tangu Serengeti Breweries walete hiki l bia cha Serengeti Light aisee jamaa wanauza balaa.
Yaani ukienda bar utakuta zaidi ya nusu ni hako kabia. Halafu hakana harufu mbaya.
Hongera mpishi na mgunduzi wa hako kabia.
Nakumbuka TBL ziliva sana miaka ya nyuma.
Ila tangu Serengeti Breweries walete hiki l bia cha Serengeti Light aisee jamaa wanauza balaa.
Yaani ukienda bar utakuta zaidi ya nusu ni hako kabia. Halafu hakana harufu mbaya.
Hongera mpishi na mgunduzi wa hako kabia.