mluga
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 676
- 215
Wa zenji walikataa katu katu kampuni za beer kuzamini ligi ya Zanzibar, sasa leo Serengeti Beer wamedhamini pambano la mpira kati ya Wabunge na Wawakilishi kwa Mil 65, yaani mechi ya siku moja tu? na ni hawa hawa walikataa timu za Zanzibar zisifaidike na usdamini huu. sasa leo wawakilishi wamesahau haya maa wanataka pesa. Kweli Zenji kuna viongozi