Serengeti Beer Chafu

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
May 9, 2007
3,832
2,790
JF ni mtambo wa kurekebisha tabia za watu mbali mbali wakiwemo viongozi, watu maarufu, mashirika n.k.
Katika fursa hii pia ningependa kuelezea yaliyonisibu jana wakati nikiwa na marafiki zangu tukiburudika. Mimi ni mpenzi wa beer aina ya Serengeti. Lakini ni muda mrefu nimekuwa nikikumbana na maswahibu katika bia hii. Bia hii mara kwa mara imekuwa ikichanganywa mafuta ya taa. Tatizo ni kwamba inawezekana bia hii inahifadhiwa katika chupa ambazo hazijasafishwa ipasavyo. Ikiwa hili litaendelea kuna haja tufanye kampeni ya kuisusa bia hii kwani ni chafu, yaani SERENGETI BEER NI CHAFU!!!
 
Mghghghghg!!!

Sasa JF mtaifanya kuwa De-marketing Media na kisha wazalishaji wa bidhaa watafile cases ambazo zitachafua jina na kuharibu kabisa UPIGANAJI HALISI wa WanaJF.

Ya Vodacom, binafsi naunga mkono maana lengo ni kuupunguza utukufu utokanao na nguvu ya pesa tunayokamuliwa na Mafisadi. Kwa hii ya Beer nashauri TUVUTE BREAK KWANZA KIDOGO. Tunaanza kukosa vipaumbele kwa kutohitimisha mijadala.
 
Mghghghghg!!!

Sasa JF mtaifanya kuwa De-marketing Media na kisha wazalishaji wa bidhaa watafile cases ambazo zitachafua jina na kuharibu kabisa UPIGANAJI HALISI wa WanaJF.

Ya Vodacom, binafsi naunga mkono maana lengo ni kuupunguza utukufu utokanao na nguvu ya pesa tunayokamuliwa na Mafisadi. Kwa hii ya Beer nashauri TUVUTE BREAK KWANZA KIDOGO. Tunaanza kukosa vipaumbele kwa kutohitimisha mijadala
.

You are wrong Otumwale... Big Time!!! Upiganaji halisi ni pamoja na social issues na si political tu. Mimi ni mpenzi wa serengeti lager kufa... lakini for the past two/three months in vioja, uchafu, mapovu etc. I suspected in hujuma ila kwa wao kukaa kimya kunawamaliza. If JF is for politics alone, then we were misled kichizi
 
mara kwa mara uchafu kwenye vinywaji hutokana na kampuni shindani kutumia mbinu chafu kuharibu soko la mwenze, hivyo ukiona serengeti chafu laani TBL, ukiona za tbl chafu laani serengeti,
ukiona pepsi chafu laani coca na kadhalika, ni mbinu chafu ya marketing.
hata hii unayotumia hapa wewe pia ni mbinu chafu.
 
JF ni mtambo wa kurekebisha tabia za watu mbali mbali wakiwemo viongozi, watu maarufu, mashirika n.k.
Katika fursa hii pia ningependa kuelezea yaliyonisibu jana wakati nikiwa na marafiki zangu tukiburudika. Mimi ni mpenzi wa beer aina ya Serengeti. Lakini ni muda mrefu nimekuwa nikikumbana na maswahibu katika bia hii. Bia hii mara kwa mara imekuwa ikichanganywa mafuta ya taa. Tatizo ni kwamba inawezekana bia hii inahifadhiwa katika chupa ambazo hazijasafishwa ipasavyo. Ikiwa hili litaendelea kuna haja tufanye kampeni ya kuisusa bia hii kwani ni chafu, yaani SERENGETI BEER NI CHAFU!!!

Babu, ninawasiwasi kuwa wewe ni 'MPIGA DEBE' wa TBL pamoja na prodacti zao.
 
Mghghghghg!!!

Sasa JF mtaifanya kuwa De-marketing Media na kisha wazalishaji wa bidhaa watafile cases ambazo zitachafua jina na kuharibu kabisa UPIGANAJI HALISI wa WanaJF.

Ya Vodacom, binafsi naunga mkono maana lengo ni kuupunguza utukufu utokanao na nguvu ya pesa tunayokamuliwa na Mafisadi. Kwa hii ya Beer nashauri TUVUTE BREAK KWANZA KIDOGO. Tunaanza kukosa vipaumbele kwa kutohitimisha mijadala.
Hakuna tofauti yoyote kati ya kuishambulia Voda na uchafu wa Bia Serengeti.. Iwapo bia hiyo inauzwa chini ya viwango vya usafi ni vema wanywaji kukosoa na inaposhindikana kususa vilevile.. Usitake kunikumbusha wahenga na msemo wao wa
"Mkuki kwa nguruwe kwa Binadamu Mchungu"
 
Hii ni njama ya makaburu wa TBL kuimaliza Serengeti ambayo ni ya Watanzania na wahindi mafisadi. Mimi nakunywa serengeti na sijaona tatizo lolote, kama lipo nadhani ni njama hizo!
 
Hii ni njama ya makaburu wa TBL kuimaliza Serengeti ambayo ni ya Watanzania na wahindi mafisadi. Mimi nakunywa serengeti na sijaona tatizo lolote, kama lipo nadhani ni njama hizo!

Makaburu waliua kiwanda cha bia ya KIBO Moshi sasa wanataka waue tena kiwanda na bia ya Serengeti.
 
Makaburu waliua kiwanda cha bia ya KIBO Moshi sasa wanataka waue tena kiwanda na bia ya Serengeti.

Hawafai wale! Inabidi washitakiwa kwa Commission inayoshughulikia competition. Wanona soko lao limepungua na wamezoea monopoly wale! Serengeti imewapa hard time mpaka wakabadili chupa, na wakatengeneza bia ya ndovu lakini bado inawapiga bao, ndo maana wanaanza mchezo mchafu wa kuichafua bia yao. Hizo bia inawezekana zinajazwa mitaani!
 
Jamani ni kweli kwenye haka ka duka kangu ka kimangi yaani Kila Serengeti unayofungua imefloat.Asante Bubu kwa kuliona hili
 
Hawafai wale! Inabidi washitakiwa kwa Commission inayoshughulikia competition. Wanona soko lao limepungua na wamezoea monopoly wale! Serengeti imewapa hard time mpaka wakabadili chupa, na wakatengeneza bia ya ndovu lakini bado inawapiga bao, ndo maana wanaanza mchezo mchafu wa kuichafua bia yao. Hizo bia inawezekana zinajazwa mitaani!

Pia inawezekana kuwa Makaburu ndio wanaotengeneza hizo bia wanaweka uchafu wao halafu wanaweka NEMBO YA SERENGETI.
 
Haya mambo jamani ni kuyaangalia kwa undani wake sio kijuu juu namna hii...I happen kuwafanyia kazi moja hawa jamaa and walitoa malalamiko ya kupandikizwa kwa watu ili waihujumu kampuni kwa kuweka condoms kwenye chupa za hawa jamaa na hii inafanyika kwenye finishing section ambapo chupa zinaoshwa na bia kuwekwa kwenye chupa and kuna watu walishakosa kazi kwa hili, na ukizingatia Serengeti wanafungua plant nyingine moshi wapinzani wake lazima wafanye njia za kuwapunguza speed maana wenzao waliona kununua na kukifunga kiwanda cha kibo ni dili....moshi mpaka leo watu analaani sana kitendo kile.........hivi issue za fair competetion nchi hii zinafanya kazi kweli? how come mtu ananunua kiwanda halafu anakifunga jamani....mafisadi sio wanasiasa tu hata hawa wawekezaji
 
Du hii kali.If there is a way out hawa wahusika wataarifiwe mapema before things get of control probably its a rival company inafanya mbni chafu.Pole kwa masaibu yaliyo kukuta.
 
Mimi nina muda mrefu nakunywa serengeti na sijaona tatizo. Ubora wake unakidhi matakwa ya mlaji. Tatizo la kutoa povu wakati inapofunguliwa haina maana kwamba hiyo beer ni mbovu. Mimi ni chemical engineer na ninajua sababu ya hilo puvu. Sababu yenyewe haina uhusiano na ubora wa kimiminika kilichomo ndani ya hiyo chupa, bali ni makosa ya kiufundi yaliyosababishwa na engineer (mhandisi) aliye-design ile chupa ndefu ya serengeti. Kwa kifupi ni kwamba, zile chupa mpya za serengeti zina shingo ndefu na nyembamba sana ukilinganisha na zile za TBL, kiasi cha kusababisha 'pressure kubwa' itokanayo na gesi ya carbon dioxide ambayo huchanganywa na beer kama preservative component wakati wa kutengeneza kiwandani. Hiyo pressure hutoka kwa force kubwa pale chupa inapofunguliwa na kuifanya beer 'ifoke' na povu juu. Hili ndilo tatizo kubwa la hii chupa na si kinywaji kilichomo ndani yake kama wana JF wengine wanavyodai.
 
Gud Bubu msema ovyo mesage delivered ,its true serengeti beer ni chafu last week nikiwa mjini moshi na rafiki yangu wa siku nyingi na mwana Jf ame experience the same same problem bia imechanganywa na mafuta taa,hatuwezi kupambana na mafisadi kama tuta neglet social issues,afya ni muhimu na ni moja ya silahaa ya kupambana na mafisadi
 
Gud Bubu msema ovyo mesage delivered ,its true serengeti beer ni chafu last week nikiwa mjini moshi na rafiki yangu wa siku nyingi na mwana Jf ame experience the same same problem bia imechanganywa na mafuta taa,hatuwezi kupambana na mafisadi kama tuta neglet social issues,afya ni muhimu na ni moja ya silahaa ya kupambana na mafisadi

Asante sana ogwalumapesa, inaelekea kweli kuna hujuma katika beer hii. Kuna baadhi ya wachangiaji wananiona kama ninataka kuiharibia kampuni husika lakini kwa taarifa tu ni kwamba mimi ni mpenzi wa bia hii, ila kutokana na matatizo niliyoyaona imebidi nisite kidogo kuitumia hadi hapo itakapo tolewa maelezo kuhusu mikakati ya kunusuru sisi watumiaji.
 
mimi Nina Muda Mrefu Nakunywa Serengeti Na Sijaona Tatizo. Ubora Wake Unakidhi Matakwa Ya Mlaji. Tatizo La Kutoa Povu Wakati Inapofunguliwa Haina Maana Kwamba Hiyo Beer Ni Mbovu. Mimi Ni Chemical Engineer Na Ninajua Sababu Ya Hilo Puvu. Sababu Yenyewe Haina Uhusiano Na Ubora Wa Kimiminika Kilichomo Ndani Ya Hiyo Chupa, Bali Ni Makosa Ya Kiufundi Yaliyosababishwa Na Engineer (mhandisi) Aliye-design Ile Chupa Ndefu Ya Serengeti. Kwa Kifupi Ni Kwamba, Zile Chupa Mpya Za Serengeti Zina Shingo Ndefu Na Nyembamba Sana Ukilinganisha Na Zile Za Tbl, Kiasi Cha Kusababisha 'pressure Kubwa' Itokanayo Na Gesi Ya Carbon Dioxide Ambayo Huchanganywa Na Beer Kama Preservative Component Wakati Wa Kutengeneza Kiwandani. Hiyo Pressure Hutoka Kwa Force Kubwa Pale Chupa Inapofunguliwa Na Kuifanya Beer 'ifoke' Na Povu Juu. Hili Ndilo Tatizo Kubwa La Hii Chupa Na Si Kinywaji Kilichomo Ndani Yake Kama Wana Jf Wengine Wanavyodai.

well Said And That Is What We Are For... To Learn
 
Mimi nina muda mrefu nakunywa serengeti na sijaona tatizo. Ubora wake unakidhi matakwa ya mlaji. Tatizo la kutoa povu wakati inapofunguliwa haina maana kwamba hiyo beer ni mbovu. Mimi ni chemical engineer na ninajua sababu ya hilo puvu. Sababu yenyewe haina uhusiano na ubora wa kimiminika kilichomo ndani ya hiyo chupa, bali ni makosa ya kiufundi yaliyosababishwa na engineer (mhandisi) aliye-design ile chupa ndefu ya serengeti. Kwa kifupi ni kwamba, zile chupa mpya za serengeti zina shingo ndefu na nyembamba sana ukilinganisha na zile za TBL, kiasi cha kusababisha 'pressure kubwa' itokanayo na gesi ya carbon dioxide ambayo huchanganywa na beer kama preservative component wakati wa kutengeneza kiwandani. Hiyo pressure hutoka kwa force kubwa pale chupa inapofunguliwa na kuifanya beer 'ifoke' na povu juu. Hili ndilo tatizo kubwa la hii chupa na si kinywaji kilichomo ndani yake kama wana JF wengine wanavyodai.

Mkuu Kungurumweupe, heshima kwako. Ni kweli ulichosema kwamba pressure ya bia ile ni kwasababu ya wembamba wa mdomo wa chupa. Mimi ninachokiona ni kwamba hakuna uhusiano wowote na yale mafuta ya taa na hicho ulichosema tena kwa taarifa yako bia ninayozungumzia haijawekwa katika hizi chupa mpya ni chupa ile ya zamani. Cha msingi naomba muamini kwamba kama ni hujuma dhidi ya bia hii niipendayo basi hujuma hiyo ipo. Mafuta ya taa yanatokana na wembamba wa chupa????? LOL. Serengeti Breweries Chukueni hatua fanyeni mabadiliko kurekebisha hilo. Kama hamjawahi kupata taarifa basi HABARI NDIYO HIYO!!!!
 
Haya mambo jamani ni kuyaangalia kwa undani wake sio kijuu juu namna hii...I happen kuwafanyia kazi moja hawa jamaa and walitoa malalamiko ya kupandikizwa kwa watu ili waihujumu kampuni kwa kuweka condoms kwenye chupa za hawa jamaa na hii inafanyika kwenye finishing section ambapo chupa zinaoshwa na bia kuwekwa kwenye chupa and kuna watu walishakosa kazi kwa hili, na ukizingatia Serengeti wanafungua plant nyingine moshi wapinzani wake lazima wafanye njia za kuwapunguza speed maana wenzao waliona kununua na kukifunga kiwanda cha kibo ni dili....moshi mpaka leo watu analaani sana kitendo kile.........hivi issue za fair competetion nchi hii zinafanya kazi kweli? how come mtu ananunua kiwanda halafu anakifunga jamani....mafisadi sio wanasiasa tu hata hawa wawekezaji

Kuna jamaa mmoja pale kazi yake hata siijui. He is the most bogus man on earth. Kikwete alimteua kuwa Naibu Katibu Mkuu lakini akakataa kwa maana pale alipo anapata hela nyingi sana kutoka kwa Makaburu wanaoendesha TBL. Huyu ni fisadi mkubwa ila watu hawajamshitukia tu. Amekaa pale miaka zaidi ya kumi lakini kafanya nini ili kudhibiti ushindani hasi????? Mimi naamini kuna hujuma SBL na hujuma hii inabarikiwa na watu hao waliokabidhiwa Tume ya Ushindani Haki.
 
Back
Top Bottom