Serengeti: Baba afumwa akishiriki ngono na Binti yake wa miaka 11

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,482
9,242
Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chamoto, Ikwabe Gibogo (58) kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka (11).

Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Chacha Nyambuche amekiri mtuhumiwa kukamatwa Januari 23, 2021 usiku baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema na kumkuta nyumbani kwake amelala chini pamoja na mtoto huyo wote wakiwa hawajavaa nguo.

Mmoja wa majirani amesema mtoto huyo ameingiliwa kwa muda mrefu na baada ya kujiridhisha waliamua kutoa taarifa kwa kiongozi wa kitongoji na polisi walipofika waliwapa ushirikiano.

“Huyo mtoto hajaanza shule mpaka sasa, mama yao aliachana na baba yao baada ya kubaini anamuingilia mtoto wake mkubwa. Aliondoka na watoto wadogo kwenda Simiyu, hata hivyo, alifariki dunia ndipo mtuhumiwa akafuata watoto na kuja kuishi nao,” amesema jirani huyo kwa sharti la kutotajwa jina.
 
Huyu anatakiwa afugwe zizini na nguruwe. Akae banda moja na nguruwe mpaka kifo chake. Awekewe sehemu yake ya kula ila iwe chini kama nguruwe ili kumfanya ajione bado ana hadhi sababu anafanana na binadamu. Manguruwe yakiwa kwenye heat apewe kama atajisikia ayapande akisusa wapewe nguruwe wengine.
 
Haya mambo na mengine ndani ya familia ni mengi mno Tanzania, kiasi cha kuwa ni crisis. Utamaduni wetu wa kutolalamika, ukatili wa mama kambo, mashangazi na uncle vinaididimiza jamii ya Watanzania na kuzalisha taifa lisilo na ubora wa maadili.

Ungetarajia kuwepo na Wizara ya Ustawi wa Jamii yenye kuwezeshwa kwa hali ya juu kupambana. Ila maendeleo ni kujenga Salender bridge!
 
Dingi anakula alichokipanda ,noma sana
Watu kama hao si ndio mnawaitaga "baharia" sijui!

Maana umeandika kwa kumtukuza huyo firauni kana kwamba amefanya jambo la kishujaa sana!

Eti "dingi anakula"? ni sifa hiyo?

Wewe ni mjinga sana eti! Sijui kama unajua hilo?

I can smell your stupidity from miles away! I can see it between the lines!

Sijui mmekuzwa na kulelewa kwenye mazingira gani ya kutetea walawiti na wanajisi!? inatafakarisha!
 
Kichwa cha habari kinapotosha. Hapo ni kwamba baba anambaka binti yake. Huyo shetani anastahili adhabu kali sana. Mwenyezimungu atunusuru na hili balaa.
 
Stupid dad, mzungu mmoja ameongea huku😆 mzee sasa daaaa!!, mnatukatisha tamaa sisi tunaotafta bikra jamani🤪🤪🤪
 
58-11=... mtoto mwenyewe kampata uzeeni then anafanya ushenzi ww namna hii? Afungwe apasuke....
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom