Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,044
- 158,740
Ndo anateseka?
Atulie tu, ni kufyekelea mbali mafurushi.
Ndo anateseka?
mkuu, huyo tayari zilishamruka. awahishwe hospital tuHapo alipomaliza kuua akaenda kucheki msosi kwa mama mkwe na kuendelea kula kama vile nothing happened ndio amenishangaza ukizingatia kuwa ni wa kike.
Ila bora mshikaji amekufa baada ya kupiga show.
Anyway, marehemu apumzike kwa amani na binti akapumzike jela.
Na hv mnalalaga km magogo..wanaume tukimaliza cha mwisho tusilale, tutachinjwa tuishe
She is lunatic masikini!Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Aprili 14, 2021 mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Nurdin Babu amesema tukio hilo limetokea jana Aprili 14, 2021 saa 4 usiku katika kitongoji cha Pengo kijiji cha Iseresere.
Amesema chanzo ni mgogoro wa ndoa na mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa hatua zaidi.
Diwani wa Majimoto, Johannes Masirori ambaye ni mjomba wa marehemu amesema Mbogo na Happy walifunga ndoa Machi 31, 2021 na kudai kuwa mwanamke huyo amekiri kufanya mauaji hayo.
"Kabla ya mauaji anadai kuwa mumewe alimlazimisha kufanya tendo la ndoa na baada ya kumaliza mwanaume alilala na yeye alipobaini amesinzia akachukua panga na kumkata mara tatu shingoni,” amesema.
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
Baada ya kugegedwa bila kupenda kisha shughuli pevu ya kuchomoa roho kweli alistahili kula"Akaenda kuchukua chakula akaanza kula....." Duh
Hapo tayari alikuwa ameshachanganyikiwaIla daa, umeua na waenda kula bila shida...
Watu wa Mara mnaroho ngumu.
Wazazi walilazimisha ndoa?
Hafungwi huyoHaoni kama amekosea kabisa, yaani hata wakimfunga atafurahi tu...inaonekana alilazimishwa sana
Oooh...!? Nyeti za kiume zinatakiwa china eeeh?. Kama ninazo mboro mbili si nikawauzie mojaToto jinga sana hilo, ila wilaya za Tarime na Serengeti hayo matukio ni kawaida kabisa kama biashara ya nyeti za kiume China.
Ndio ndoa hizo. Mtu anawaambia kabisa hampendi huyo mtu au anawaambia kabisa napigwa sana na kuteswa,bado wazazi mnang'ang'aniza tu nenda tu kwa mumeo ndio ndoa zilivyo,na sisi tuliishi hivyo. Binti ameamua kukatisha sasa,alikuwa hana namna nyingineSerengeti. Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai kuwa hampendi na hakuwa chaguo lake zikiwa zimepita siku 14 tangu walipofunga ndoa.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Aprili 14, 2021 mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Nurdin Babu amesema tukio hilo limetokea jana Aprili 14, 2021 saa 4 usiku katika kitongoji cha Pengo kijiji cha Iseresere.
Amesema chanzo ni mgogoro wa ndoa na mtuhumiwa anashikiliwa na polisi kwa hatua zaidi.
Diwani wa Majimoto, Johannes Masirori ambaye ni mjomba wa marehemu amesema Mbogo na Happy walifunga ndoa Machi 31, 2021 na kudai kuwa mwanamke huyo amekiri kufanya mauaji hayo.
"Kabla ya mauaji anadai kuwa mumewe alimlazimisha kufanya tendo la ndoa na baada ya kumaliza mwanaume alilala na yeye alipobaini amesinzia akachukua panga na kumkata mara tatu shingoni,” amesema.
Amesema baada ya kufanya kitendo hicho Happy alikwenda kwenye nyumba ya mkwewe na kuchukua chakula na kuanza kula.
"Ameulizwa na kusema bila hofu na kuwaonyesha panga alilokuwa ameficha..., tangu wamefunga ndoa wamekuwa katika mgogoro mkubwa. Happy alirudi kwao kwa madai kuwa hamtaki mumewe lakini huko kwao wakamlazimisha arudi kwa mumewe kwa maelezo kuwa hawawezi kurudisha ng'ombe waliochukua wakati wakimuozesha," amesema.
Masirori amesema wakati watu wakilia na kusikitika kutokana na tukio hilo, mtuhumiwa hakuwa na wasiwasi na aliwataka wasiojua wamtazame vizuri.
MWANANCHI
😂kichwa huwa kinachoka sana, hayo mambo yanahusiana na ubongo, ila tumeshapata solutionsNa hv mnalalaga km magogo..
Mtaisha kweli
HahahahaBora ww umefikiria kiume....nimekupenda bure..ukiwa hujanywa kumbe zinachaji
Wanawake wana asili ya ukauzu fulaniInawezekana, ndo maana baada ya kutekeleza mauaji akatafuta na msosi kabisa tena kwa mama wa marehemu. Na akagonga menu pasi na shaka na akashiba kabisa.
Mke/dem kukufanyia kitu mbaya rahisi sana kwa mwanaume,akikulilia timing hakukosiDompo
Hatari sana hii. bila shaka ni kanda maalum
Wanawake wana asili ya ukauzu fulani
Ova