Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Binafsi huwa sipendi mambo ya kuitukana serikali na wanasiasa lakini katika hali ya uchumi ilivyosasa kuna mpango kambambe ushapitishwa na HARUNA MASEBU na wenzake kuwa kila aliyechimba kisima cha maji nyumbani kwake atatozwa fees
This is unfair na nadhani its about time tukaanzisha petition online, facebook na kufanya kampeni za kimataifa kulipinga hili kwa nguvu zote.
Hwa watu juzi wamespend zaidi ya bilioni 90 kwenye sherehe za uhuru leo wanataka kuwanyanyasa wananchi wa kipato cha chini kunywa maji
Pia ninategemea waziri kivuli na viongozi wa upinzani kulibebea bango hili to the end.
This is unfair na nadhani its about time tukaanzisha petition online, facebook na kufanya kampeni za kimataifa kulipinga hili kwa nguvu zote.
Hwa watu juzi wamespend zaidi ya bilioni 90 kwenye sherehe za uhuru leo wanataka kuwanyanyasa wananchi wa kipato cha chini kunywa maji
Pia ninategemea waziri kivuli na viongozi wa upinzani kulibebea bango hili to the end.