Serekali Ya CCM Kipaumbele Chao kwa sasa Ni Lissu Sio Viwanda tena

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,837
Ccm walipokuwa wanaomba kura walinadi ilani yao na kipaumbele chao kilikuwa viwanda.
Cha kushangaza sasa hivi hii serekali ya Ccm kipaumbele chao kimegeuka ni Lissu na sio viwanda tena.
Endapo serekali hii ya ccm itaendelea kumfanya Tundu lissu ndio kipaumbele chao.Ifikapo 2020 hata kiwanda cha kukamua alizeti watakuwa hawajajenga.
 
Ccm walipokuwa wanaomba kura walinadi ilani yao na kipaumbele chao kilikuwa viwanda.
Cha kushangaza sasa hivi hii serekali ya Ccm kipaumbele chao kimegeuka ni Lissu na sio viwanda tena.
Endapo serekali hii ya ccm itaendelea kumfanya Tundu lissu ndio kipaumbele chao.Ifikapo 2020 hata kiwanda cha kukamua alizeti watakuwa hawajajenga.
Hatari sana wameshabadili kipaombele chao juu kwa juu
 
Back
Top Bottom