Serekali inastahili lawama katika migogoro juu ya wakulima na wafugaji

Augustino Fanuel Massongo

JF-Expert Member
Dec 23, 2016
1,279
665
Ndugu wanajamii, ni kwa muda mrefu sasa nchi yetu imekua ikishuhudia kuongezeka kwa migogoro kati ya wakulima na wafugaji, swali ambalo najiuliza binafsi Is a Maasai brotherhood above the laws? kwani jamii ya wafugaji wa kimaasi ime-SWEEP karibu sehemu kubwa ya nchi na kila sehemu ya nchi wakifika wao ndio kwa sehemu kubwa wamekuwa chanzo cha migogoro baina yao na jamii zingine hasa za wakulima.

Mara nyingi ukifuatilia hatua za utatuzi wa migogoro hii zinazochukuliwa na mamlaka husika za kiserekali utagundua kuwa hakuna nia ya dhati ya kumaliza tatizo hili na viongozi wengi wa mamlaka za kiserikali they are not SPIRITED to solve the matter na hivyo mara nyingi hutoa maamuzi through political and social approach huku wakikwepa ukweli uliowazi kuwa katika migogoro mingi ya aina hii jamii ya wafugaji wa kimaasai ndio chazo cha migogoro kwani kila mahali wanapofika hulazimisha malisho katika mazao ya wakulima na hata katika vyanzo vya maji nk,

Sasa serikali inapaswa kukumbuka kuwa socialwise vurugu ni hulka za wamaasi hivyo mtazamo wanaowapa hautakaa uwafanye waheshimu watu wengine hasa jamii za wakulima, upendeleo wa dhahiri wanaopewa wafugaji wa ki-maasai unanifanya nifikiri moyoni mwangu kuwa serikali haina nia ya dhati kuwalinda wakulma dhidi ya wafugaji wa kimaasii. Maisha ni zaidi ya mifugo.
 
Wafugaji kama kawaida yao huwa wako juu ya sheria.
Hata wafanye uhalifu gani, hutasikia mfugaji mhalifu amefikishwa mahakamani na kuadhibiwa kwa uhalifu wake alioufanya kwa wakulima.
Kamata-kamata inayofanyika huwa ni 'zuga' tu, baadaye wote wanaachiliwa.
Wafugaji wameshindikana...

Picha toka Daily News ya leo.
Ng'ombe wanalishwa kwenye shamba la mpunga...!!!

upload_2016-12-27_10-59-18.jpeg
 
"....Afrika ina matatizo mengi kwa sababu mbili tu, viongozi wasiotimiza majukumu yao na wananchi wanaochagua viongozi wasiofaa...."
Bill Clinton
 
itabidi wakulima watafute mbinu mbadala za kupambana na wafugaji...

kama serikali imeshindwa kuwatafutia wafugaji maeneo na utaratibu mzuri wa malisho... wakulima wajipange kwa vita...
 
Huwezi ukatatua tatizo kwa kuzipeleka tuhuma upande mmoja wa mgogoro pekee! Tunachotafuta hapa ni suluhu ya kudumu na sio kuja na hoja za kucriminilize jamii flani, ionekane kua ni ovu. Mwisho wa siku suluhu itakosekana kama tupo hapa ili kuifanya jamii flani ionekane ovu na nyingine innocent!
 
Mwisho wa siku suluhu itakosekana kama tupo hapa ili kuifanya jamii flani ionekane ovu na nyingine innocent!
What is criminal after all? je unakumbuka vurugu baina ya wakilima na wafugaji zilizowahi kutokea IKWIRiRI,DUMILA,CHALINZE,HANDENI na zinazoendelea hadi sasa huko MVOMELO nk zote kwa sehemu kubwa zinaripotiwa kuwahusisha wakulima wa maeneo husika na wafugaji wa jamii ya kimaasai? Sasa nani anawaonea reporters au? Brother endapo geographically mashamba ya wakulima yalikuwepo tangu asili na wafugaji wanafanya kuhamia sasa tena wanatoka katika maeneo ambayo wameyaharibu tayari wame-SWEEP na wakifika maeneo mapya wanalazimisha malisho hata katika mazao ya wakulima sasa hii sio CRIMINAL OFFENSE ? Sukumaland pia kuna wafugaji lakini mbona rate ya migogoro ni ndogo? ndio maana nikadiliki kusema kuwa vurugu ni HULKA ya wafugaji wa kimaasai.
 
Usipoweka miundombinu kwa ajili ya Ku contain wafugaji matatizo hayataisha. Malisho yasitawishwe, malambo na mabwawa yachimbwe na kutunzwa, majosho yajengwe na wafugaji washirishwe katika haya yote. Kutenga ardhi kwa ajili ya wafugaji na wakulima is a very temporary measure. Malisho yakiisha watahamia maeneo ya wakulima. HiKi ndicho kinachoendelea.
Ukiwaona wafugaji wengi ni watumwa wa mifugo na maisha yao ni duni sana. Bila serikali kufanya niliyopendekeza hapo huu tatizo hili halitaisha. Tatizo likiisha nchi yote itakuwa jangwa. Haitofaa kwa kilimo wala ufugaji, kwani hatutakuwa na cha kugombania.
 
The key word is having special treatments above land usage laws not only that but it seems Masai has entitlements to violate others rights, destroy crops and cause injuries too; if anyone dares to stand on his somewhat destructive mission.

Masai ni tatizo kwakweli
 
Address the route course.As the best of my knowledge and believe.Pastrolists dwell from one place to another as the results of being dispossed from their original land...think of Tarangire, Serengeti, Lake Manyara,Bassotu plantation,Simiyu,Mikumi and mashrooming of games controlled areas which are places originally occupied by pastral societies.Unajua kwa asili panya ni chakula cha paka.Sasa tumewaua panya karibu wote na paka imewabidi wahamie mahotelini kujinusuru.Unagikiri Mfugaji afanyaje?.
 
Umegusa sehemu ya tatizo QSS. Nimeandika pia uzi mpya juu ya sehemu ya kiini cha migogoro hii, sikuwa nimesoma uzi huu awali.

Sera ya siasa ni Kilimo ni sehemu kubwa ya kiini cha tatizo. Kwa hiyo tnahitaji sera mbadala itakayoweka urari sawia. tunahitaji pia mabadiliko ya kikatiba kumpa mkulima na mfugaji haki sawa katika miliki wa rasilimali za ardhi.

Tunahitaji sera ya uwekezaji inayolenga kujenga uchumi wa mtanzania kwanza.
 
Ufugaji ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine. Kwa nini wawekezaji wanazurura na mifugo yao ambayo ndiyo mitaji yao ya asili bila kupewa ardhi kama wawekezaji wa madini na gesi?
 
Wakavamie na la Lowassa, Mkapa na Sumaye. Hawa wanasiasa wamejimilikisha maeneo makubwa halafu hakuna la maana wanalofanya huku wananchi wanateseka
 
Ndugu wanajamii, ni kwa muda mrefu sasa nchi yetu imekua ikishuhudia kuongezeka kwa migogoro kati ya wakulima na wafugaji, swali ambalo najiuliza binafsi Is a Maasai brotherhood above the laws? kwani jamii ya wafugaji wa kimaasi ime-SWEEP karibu sehemu kubwa ya nchi na kila sehemu ya nchi wakifika wao ndio kwa sehemu kubwa wamekuwa chanzo cha migogoro baina yao na jamii zingine hasa za wakulima.

Mara nyingi ukifuatilia hatua za utatuzi wa migogoro hii zinazochukuliwa na mamlaka husika za kiserekali utagundua kuwa hakuna nia ya dhati ya kumaliza tatizo hili na viongozi wengi wa mamlaka za kiserikali they are not SPIRITED to solve the matter na hivyo mara nyingi hutoa maamuzi through political and social approach huku wakikwepa ukweli uliowazi kuwa katika migogoro mingi ya aina hii jamii ya wafugaji wa kimaasai ndio chazo cha migogoro kwani kila mahali wanapofika hulazimisha malisho katika mazao ya wakulima na hata katika vyanzo vya maji nk,

Sasa serikali inapaswa kukumbuka kuwa socialwise vurugu ni hulka za wamaasi hivyo mtazamo wanaowapa hautakaa uwafanye waheshimu watu wengine hasa jamii za wakulima, upendeleo wa dhahiri wanaopewa wafugaji wa ki-maasai unanifanya nifikiri moyoni mwangu kuwa serikali haina nia ya dhati kuwalinda wakulma dhidi ya wafugaji wa kimaasii. Maisha ni zaidi ya mifugo.
Iundwe Task Force ihusishe viongozi wenye asili ya wafugaji na wakulima , watu wa ardhi, nk. Waandae practical startegy ya kumaliza mgogoro huu! Mh. Magufukli wewe ni mfuatiliaji mzuri naamini utalifanyia kazi hili!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom