Sema Kweli
Member
- Apr 12, 2013
- 53
- 20
Ndugu zangu wana jamvi leo nimehudhuri kwenye mkutano wa kampeni kata ya kaloleni ulio kuwa ukihutubiwa na naibu katibu mkuu wa chama hicho ndugu Mwigulu nchemba.
Nimebahatika kuwasikiliza watu wengi sana ila wengine siwakumbuki majina yao ila napenda hapa kusema kuwa kama ndio hali hii basi ccm wakubali kuwa wameishiwa na hawana tena jipya la kuwaeleza wanachi ili wapate kura zao.
Hapa nataka kusema mambo muhimu yaliyo kuwa yakizungumazwa ambayo kwa ukweli tukiendelea hivi basi niseme tu siasa za Tanzania zinako elekea sio ila tunapelekwa kwenye hali ya hatari.
Nilitarajia kuwa hawa jamaa ndio wenye serikali kwa maana hiyo wangekuwa wastaarabu na kama kuna mtu anae vunja sheria wangeweza kumripoti na hatua zingechukuliwa zidi yake lakini badala yake kilicho kuwa kina semwa ni Lema.......
Bwana mmoja badala ya kuzungumza mambo ya msingi anasema Lema alimuuwa bibi yake na ndio sababu alingangania kwenda jela kwani alikuwa hawezi kwenda kumzika kwani amemtoa kafara.
Hapa jiulize mahusiano ya jela msiba na uchaguzi huu wa diwani kwa hapa Mgombea sio Lema kwa maana hiyo kumzungumzia Lema hapa badala ya kusema nini kitafanywa na chama tawala.
Mwingine anasema Mbowe kampa Mbunge mimba Je kuna mahusiano gani na uchaguzi hapa au hakuna cha kusema?
Mengi sana yamesemwa ila kwa kuwa najua kuna wadau wengi yawezekana walikuwepo wanaweza kuongezea ila kubwa sana ambalo sikutegemea kwa kiongozi kama Mchemba ni pale alipo sema kuliko kuwachagua wapinzani ambao ilani yao haiko kwenye utekelezaji ni bora mkaa numbani kuliko kwenda kupiga kura kwa ni sawa na kujipotezea muda.
Wziri Medeye nae mkitaka kupata mikopo nileteeni diwani wa ccm na kazi ninayo mpa ni kuhakikisha una andika majina ya watu ambao nyumba zao hazina hati tuje tuwape hati ili waweze pata mikopo.
Kibaya kuliko yote nilikuwaga nikisikia kuwa kuna watu wa hatari sana wanao piga watu kwenye mikutano ya ccm ila leo nilijionea ambapo kama si ukimya na upole ulio onyeshwa na mtu mmoja alie kuwa karibu na mimi ninge shuhudia akiumizwa sana kwani tukiwa tumesimama mara akaja mtu mmoja mweusi mkubwa wa mwili kiasi akaanza kumwambia anaweza kumzuru na asifanye chochote kisa ni kwa kuwa jamaa yule alikuwa akisema mbona watu hawashangilii?hapo ndipo nia sikia huyu ni mjusi jina ambalo nimekuwa niklisikia mara kwa mara kuwa amekuwa akiwadhuru watu katika mikutano na sehemu mbali mbali hapa Arusha hapa ndipo siasa za ccm zilipo fika kwa sasa.:smash:
Nimebahatika kuwasikiliza watu wengi sana ila wengine siwakumbuki majina yao ila napenda hapa kusema kuwa kama ndio hali hii basi ccm wakubali kuwa wameishiwa na hawana tena jipya la kuwaeleza wanachi ili wapate kura zao.
Hapa nataka kusema mambo muhimu yaliyo kuwa yakizungumazwa ambayo kwa ukweli tukiendelea hivi basi niseme tu siasa za Tanzania zinako elekea sio ila tunapelekwa kwenye hali ya hatari.
Nilitarajia kuwa hawa jamaa ndio wenye serikali kwa maana hiyo wangekuwa wastaarabu na kama kuna mtu anae vunja sheria wangeweza kumripoti na hatua zingechukuliwa zidi yake lakini badala yake kilicho kuwa kina semwa ni Lema.......
Bwana mmoja badala ya kuzungumza mambo ya msingi anasema Lema alimuuwa bibi yake na ndio sababu alingangania kwenda jela kwani alikuwa hawezi kwenda kumzika kwani amemtoa kafara.
Hapa jiulize mahusiano ya jela msiba na uchaguzi huu wa diwani kwa hapa Mgombea sio Lema kwa maana hiyo kumzungumzia Lema hapa badala ya kusema nini kitafanywa na chama tawala.
Mwingine anasema Mbowe kampa Mbunge mimba Je kuna mahusiano gani na uchaguzi hapa au hakuna cha kusema?
Mengi sana yamesemwa ila kwa kuwa najua kuna wadau wengi yawezekana walikuwepo wanaweza kuongezea ila kubwa sana ambalo sikutegemea kwa kiongozi kama Mchemba ni pale alipo sema kuliko kuwachagua wapinzani ambao ilani yao haiko kwenye utekelezaji ni bora mkaa numbani kuliko kwenda kupiga kura kwa ni sawa na kujipotezea muda.
Wziri Medeye nae mkitaka kupata mikopo nileteeni diwani wa ccm na kazi ninayo mpa ni kuhakikisha una andika majina ya watu ambao nyumba zao hazina hati tuje tuwape hati ili waweze pata mikopo.
Kibaya kuliko yote nilikuwaga nikisikia kuwa kuna watu wa hatari sana wanao piga watu kwenye mikutano ya ccm ila leo nilijionea ambapo kama si ukimya na upole ulio onyeshwa na mtu mmoja alie kuwa karibu na mimi ninge shuhudia akiumizwa sana kwani tukiwa tumesimama mara akaja mtu mmoja mweusi mkubwa wa mwili kiasi akaanza kumwambia anaweza kumzuru na asifanye chochote kisa ni kwa kuwa jamaa yule alikuwa akisema mbona watu hawashangilii?hapo ndipo nia sikia huyu ni mjusi jina ambalo nimekuwa niklisikia mara kwa mara kuwa amekuwa akiwadhuru watu katika mikutano na sehemu mbali mbali hapa Arusha hapa ndipo siasa za ccm zilipo fika kwa sasa.:smash: