pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,636
- 13,694
Nimekuwa nafuatilia sera za wanaotia nia kwa tiketi ya CCM ila haya aliyoongea Mzee wasira nimeshindwa kabisa kumuelewa.
Nimeanza kumsikia wasira tangu nikiwa mdogo akiwa ni waziri ktk awamu ya kwanza na ameendelea kuwa waziri tena mwandamizi ktk awamu mbalimbali. Cha kushangaza juzi alitoa sera zake na kilichonishangaza ametoa vipau mbele vyake as if hakuwahi kuwa ktk serikali husika!
Ameshindwa kuweka sera hizo ktk awamu alizotumikia na kuzitekeza na sasa anaita vipau mbele vyake! Nigemshauri huyu mzee hizi SERA zake ni bora azichapishe vizuri na AZIPELEKE KTK JUMBA LA MAKUMBUSHO zihifadhiwe huko kuliko kutuletea majukwaani kwani ni aibu tupu. Pia umri wake namshauri apumzike acheze na wajukuu.
Nimeanza kumsikia wasira tangu nikiwa mdogo akiwa ni waziri ktk awamu ya kwanza na ameendelea kuwa waziri tena mwandamizi ktk awamu mbalimbali. Cha kushangaza juzi alitoa sera zake na kilichonishangaza ametoa vipau mbele vyake as if hakuwahi kuwa ktk serikali husika!
Ameshindwa kuweka sera hizo ktk awamu alizotumikia na kuzitekeza na sasa anaita vipau mbele vyake! Nigemshauri huyu mzee hizi SERA zake ni bora azichapishe vizuri na AZIPELEKE KTK JUMBA LA MAKUMBUSHO zihifadhiwe huko kuliko kutuletea majukwaani kwani ni aibu tupu. Pia umri wake namshauri apumzike acheze na wajukuu.