Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

leo mkuu umeongea utafikiri sio gamba! wengi wanasema oooh! mikoa mingine itakuwa maskini na mingine tajiri, kwani saa hizi hakuna hiyo disparity? pia wananchi wataweza kudeal na viongozi wao parpendicular. big up sana mkuu
 
Jamani kuweni makini sana mnavyozungumzia states... it is easier to say Zanzibar state government, Tanganyika State Governement na Federal government of Tanzania.. kwa sababu historically they were independent state... kwa sasa sio muafaka kugawa taifa hili ambalo liko fully integrate na mipaka ni ishara tu ya kusaidia ****-manage... hivi mwanamume uliyezaliwa Moshi... ukakutana na Mhehe... Shinyanga na sasa Unaishi penda.. where will you pride be... tuache kujadili vitu as if the nation does not have story....

Tungekuwa states zinazoungana kama United State of America it could make sense... lakini sisi sio... we just need to continue improving our local government system ambayo already iko kwenye katiba ya nchi... sio kweli kwamba ni kitu kidogo... hata nyerere alipenda sana kulielezea hili... tuendee ku-evolve... taratibu serikali kuu, central government ijitoe every time local govenrment inavyoweza kuwa na capacity to manage... serikali iendelee na kuwa na role ya governance only.

To Tanzanians: not everything needs revolutions...

Tanzania ina mfumo wa majimbo lakini ina improve kwa system ya evolution wakati wenzetu wanataka iwe revolution... hizi ni adhari za kutawalia, kwamba we do not believe to have our own system rather lazima tu-copy....

Kasheshe, dhana nzima ya decentralization ni kupeleka madaraka yote ya tasnia husika kwenye local authority, kwa mfano umetoa mfano wa elimu (kama ni kweli), basi real decentralization ilitakiwa iendane na uwezo wa local Governments kujitengenezea sera za elimu zinazokidhi matakwa ya wananchi wa maeneo hayo, short of that hakuna decentralization.

Kumbuka kwamba He Who Influences the decisions has the real Power. Serikali kuu, in our case.Ndio maana nasema ours is primitive decentralization.
 
Weberoya,

This is where you get it wrong and absolutely wrong.... do not mix Distric Commissioner with Municipal Mayor.... They are there for different roles and they are real important.

1. Distric Commisioner --- Represent Central Government in discrit level and he is responsible for execution of central government responsibility at district level and he is the head of all central government organs at the level,... Mkuu wa polisi, mkuu wa usalama, and anything for central government.
2. Municipal Mayor: this is the one you talk about.... he is responsible for local government, at the time being is selected by madiwani, but you can decided to be selected by people direct... this is majimbo you are talking about... in short Tanzania has majimbo... but the majimbo in Tanzania are called halmashauri/Manispaaa..... .... thus why central govenment can decide to have two majimbo in one district....

Please jueni nchi yetu kabla ya kukurupuka. Huwezi kuwa na 100% Local Government au Majimbo at Majimbo/District level... lazima kuwe na central government organs to supervise those organs that are centrall managed.

Naomba utueleze ukweli hapa, kati ya Mayor na Balaza lake la Madiwani put together ni nani anamadaraka halisi ya kuongoza Halmashauri zetu when compared to Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye ni presidential appointee.

Naomba uwe muwazi kwa sababu, kwa namna ulivyoelezea hapa nachukulia kama umefanya makusudi kuacha kumzungumzia mkurugenzi wa halmashauri wakati unajua kabisa kwamba ile ni central government office in the central government authority. clear my doughts pls.
 
wadau nko kilosa ndan huku karibu na mikumi kwakweli tukisema wanavijiji wa huku waendelee kusubiri serikali kuu itawaboreshea miundombinu na makazi tunajidanganya ni miaka hamsini tangu uhuru lakn watu wanaishi katika lindi la umaskini licha ya kuwa na utajiri wa hali ya juu hakuna zahanati,shule ni za hvyo hta walimu wakiletwa huku lazma wagome kuja sera ya majimbo ni muhimu sna kwa maendeleo ya vijijini
 
You get it wrong once again... who appoint the distric commisioner... for now it is head of the state... but this can be discussed... in any case they will be people accountable to the central government and not to the local government. Ila ku-discuss this is not a problem... but ni uongo mkubwa hata kwa Mungu kusema tanzania haina utawala wa majimbo,,, wakati tume ya uchaguzi kila siku inatangaza mbunge wa jimbo x amefariki uchaguzi utafanyika x day.



Soma katiba ya sasa mkuu... imewekwa kwenye katiba... na kinachotokea serikali ya Tanzania inaendelea kuwaachia madaraka... this is what Kikwete is proud of ... evolving giving the the power...

Hili sio wazo jipya fuatilia vizuri serikali za mitaa zinavyoendeshwa na sheria zake... utaona serikali za majimbo ziko... sasa issue ya idadi, appointment these can be discussed...

Kwa mfumo wa sasa halmashauri zote ni majimbo... ila kwa definition yenu na CDM mnataka kurudisha provinces zile za ukoloni... wish you all the best...
Ila hili hamtakuwa wagunduzi b'se these idea are they and are working...

Unakumbuka kwa nini Waziri Mkuu aliambiwa amevunja katiba kwa kuwa na Tume ya Jiji ya Keenya? do you remember....

Wewe naona unaleta ubishi wa kitoto, hakuna anayetaka kuonekana kagundua nini, tunataka kuweka mfumo ambao tunaamini kwamba utaleta mabadiriko, ambayo yatakufaidisha wewe, Familia yako na vizazi vyako vijavyo. Na katika hili kwamba hata sasa kuna serikali za Majimbo sio issue, mfumo na majimbo yaliyopo sasa yameshindwa kutukomboa watanzania kutoka ujinga, misimu ya njaa, ukosefu wa huduma za afya, uchumi tegemezi, ukosefu wa ajira, ukosefu wa makazi bora n.k.

Who do you think need the Provincial Governance for the sake of Provincial Governance system? WHO? YOU!!
 
Wewe naona unaleta ubishi wa kitoto, hakuna anayetaka kuonekana kagundua nini, tunataka kuweka mfumo ambao tunaamini kwamba utaleta mabadiriko, ambayo yatakufaidisha wewe, Familia yako na vizazi vyako vijavyo. Na katika hili kwamba hata sasa kuna serikali za Majimbo sio issue, mfumo na majimbo yaliyopo sasa yameshindwa kutukomboa watanzania kutoka ujinga, misimu ya njaa, ukosefu wa huduma za afya, uchumi tegemezi, ukosefu wa ajira, ukosefu wa makazi bora n.k.

Who do you think need the Provincial Governance for the sake of Provincial Governance system? WHO? YOU!!

Any research done, so you can earn authority to critics the current system... simply tunapayuka... tu... hatuko makini na chochote..... wakati mwingine mnasema wizi etc.... come with study zinazoeleweka sasa hivi mapendekezo yanayokuja kama ya walevi tu kwenye baa...
 
You get it wrong once again... who appoint the distric commisioner... for now it is head of the state... but this can be discussed... in any case they will be people accountable to the central government and not to the local government. Ila ku-discuss this is not a problem... but ni uongo mkubwa hata kwa Mungu kusema tanzania haina utawala wa majimbo,,, wakati tume ya uchaguzi kila siku inatangaza mbunge wa jimbo x amefariki uchaguzi utafanyika x day.



Soma katiba ya sasa mkuu... imewekwa kwenye katiba... na kinachotokea serikali ya Tanzania inaendelea kuwaachia madaraka... this is what Kikwete is proud of ... evolving giving the the power...

Hili sio wazo jipya fuatilia vizuri serikali za mitaa zinavyoendeshwa na sheria zake... utaona serikali za majimbo ziko... sasa issue ya idadi, appointment these can be discussed...

Kwa mfumo wa sasa halmashauri zote ni majimbo... ila kwa definition yenu na CDM mnataka kurudisha provinces zile za ukoloni... wish you all the best...
Ila hili hamtakuwa wagunduzi b'se these idea are they and are working...

Unakumbuka kwa nini Waziri Mkuu aliambiwa amevunja katiba kwa kuwa na Tume ya Jiji ya Keenya? do you remember....

Wewe naona unaleta ubishi wa kitoto, hakuna anayetaka kuonekana kagundua nini, tunataka kuweka mfumo ambao tunaamini kwamba utaleta mabadiriko, ambayo yatakufaidisha wewe, Familia yako na vizazi vyako vijavyo. Na katika hili kwamba hata sasa kuna serikali za Majimbo sio issue, mfumo na majimbo yaliyopo sasa yameshindwa kutukomboa watanzania kutoka ujinga, misimu ya njaa, ukosefu wa huduma za afya, uchumi tegemezi, ukosefu wa ajira, ukosefu wa makazi bora n.k.

Who do you think need the Provincial Governance for the sake of Provincial Governance system? WHO? YOU!!
 
Naomba utueleze ukweli hapa, kati ya Mayor na Balaza lake la Madiwani put together ni nani anamadaraka halisi ya kuongoza Halmashauri zetu when compared to Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye ni presidential appointee.

Naomba uwe muwazi kwa sababu, kwa namna ulivyoelezea hapa nachukulia kama umefanya makusudi kuacha kumzungumzia mkurugenzi wa halmashauri wakati unajua kabisa kwamba ile ni central government office in the central government authority. clear my doughts pls.

Mkurugenzi hata awe na akili za namna gani, au awe ameteulia na Rais wa namna gani, hana uwezo wa kupitisha bajeti ya halmashauri ambayo ndio base ya utekelezaji wa shughuli za halmashauri... Mkurugenzi ni kama CEO ambaye hana mamlaka juu ya Board of Directors...

It is true kwamba uteuzi wa ukurugenzi una issue, na haya ndio mambo ya kuongelea katika kuweka mifumo mizuri... decentralization by EVOLUTION and not by REVOLUTION.
 
Kasheshe, dhana nzima ya decentralization ni kupeleka madaraka yote ya tasnia husika kwenye local authority, kwa mfano umetoa mfano wa elimu (kama ni kweli), basi real decentralization ilitakiwa iendane na uwezo wa local Governments kujitengenezea sera za elimu zinazokidhi matakwa ya wananchi wa maeneo hayo, short of that hakuna decentralization.

Kumbuka kwamba He Who Influences the decisions has the real Power. Serikali kuu, in our case.Ndio maana nasema ours is primitive decentralization.

Nadhani sisi sio wafuatiliaji wazuri... lakini Kikwete amejitahidi sana kwa hili.... ndio maana Tanzania ni miongoni mwa mataifa ya Africa ambayo yana-alocate huge budjet ratio kwenda LG: i'm not it is about 33% now.... So ukweli ni kwamba already.... Sera la local goverment ambayo sera ya majimbo ni moja wa mfano wako is already in place...

Kuhusu elimu... Waziri wa TAMISEMI: ana naibu specific kwa elimu.... now Mh. Majaliwa this tells you this things are happening...
 
madaraka yapi hayo mkuu? unaweza kutoa mfano mmoja wapo

Madaraka sawa, madaraka bila pesa siyo madaraka,ndiyo nasema hiyo imekaa kisiasa na please imefanya nini for the past 50 yrs??

Ninachosema mimi, zipange mipango yao, njia za mapato yao, zikusanye kodi, zipange matumizi ya kodi, zichaguliwe na wananchi...n.k!! leo hizo serikali zinapata fedha toka serikali kuu tena not equally!! serikali kuu zimetoka wapi?

hizi zilizotajwa hapa eti "
-(a) Kutekeleza kazi za Serikali za Mitaa katika eneo lake;(b) Kuhakikisha utekelezaji wa sheria na ulinzi wa wananchi; na(c) Kuimarisha demokrasi katika eneo lake na kuitumia demokrasi kuharakisha maendeleo ya wananchi''

a) kazi za serikali za mitaa ni zipi?
b) kuimarisha demokrasia?? really?

ulinzi na usalama sawa kabisa, hizo zingine mbili ziko kisiasa zaidi!! tuna vyama vingi sasa


Fungua bajeti yoyote recentely uangalie fungu la TAMISEMI you will have a clear answer of this; sisi wengine tunasoma kabla ya ku-critize au kucheza miziki ya wanasiasa....
 
madaraka yapi hayo mkuu? unaweza kutoa mfano mmoja wapo

Madaraka sawa, madaraka bila pesa siyo madaraka,ndiyo nasema hiyo imekaa kisiasa na please imefanya nini for the past 50 yrs??

Ninachosema mimi, zipange mipango yao, njia za mapato yao, zikusanye kodi, zipange matumizi ya kodi, zichaguliwe na wananchi...n.k!! leo hizo serikali zinapata fedha toka serikali kuu tena not equally!! serikali kuu zimetoka wapi?

hizi zilizotajwa hapa eti "
-(a) Kutekeleza kazi za Serikali za Mitaa katika eneo lake;(b) Kuhakikisha utekelezaji wa sheria na ulinzi wa wananchi; na(c) Kuimarisha demokrasi katika eneo lake na kuitumia demokrasi kuharakisha maendeleo ya wananchi''

a) kazi za serikali za mitaa ni zipi?
b) kuimarisha demokrasia?? really?

ulinzi na usalama sawa kabisa, hizo zingine mbili ziko kisiasa zaidi!! tuna vyama vingi sasa



Du! Sisi wavivu sana yet tunapenda ku-conclude sana,,,, nimekuwekea sheria hapo.... soma kabla ya kujibu.... oooh loooh what generation is this?
 
madaraka yapi hayo mkuu? unaweza kutoa mfano mmoja wapo

Ninachosema mimi, zipange mipango yao, njia za mapato yao, zikusanye kodi, zipange matumizi ya kodi, zichaguliwe na wananchi...n.k!! leo hizo serikali zinapata fedha toka serikali kuu tena not equally!! serikali kuu zimetoka wapi?
Exactly this is the objective of local government a.k.a serikali za majimbo: Nakuhakikishia this things are happening... nitakupa mifano positive and negative showing there are actually two government working:-

1. Sakata la UDA, city council ndio iliyotaka au iliuza share za UDA maana zilikuwa chini ya LG not Central Government.
2. Sakata la Magufuli na mabango barabarani, alisema hivi... kwenye barabara za Tanroad (a.k.a za Central Government" hatutaki mabango ila kwenye barabara zenu a.k.a za LG, wekeni mabango hata katikati ya barabara.
3. Muulize Mbunge wako... kuna kikao cha kamati ya fedha ya halmashauri kila mwezi... kwa ajili ya ufuatilia ji wa mipanog yoa!
4. Narudia bajeti na vipaumbele vya bajeti za halmashauri zinafanya na kwenye baraza la madiwani na Mkurugenzi ni mtaalamu wao... kama kwenye serikali kuu kulivyo na katibu mkuu.

In short hakuna jipya wakuu... ni kuboresha ndio kunatakiwa kila mnalowishi liko kwenye progress now and it is only need you to followup with your diwani au mbunge to get it clearly.
 
Waberoya,

Majimbo au federation ni jambo linalotokana na msukumo wa kihistoria wa kijamii, kisiasa na kiuchumi wa jamii tofauti tofauti ndani ya taifa moja.Kimantiki na kiuhalisi Kuundwa kwa mfumo wa serikali ya majimbo hutokea tu pale inapoonekana serikali kuu itashindwa kuongoza kwa kuhodhi uhalali wa utawala moja kwa moja wa taifa husika.

Hapa Tanzania hamna msukumo wa mfumo huu kihistoria na hata sasa hamna msukumo kama huo toka kwa "mataifa" madogo madogo ndani ya Tanzania. Katika mlengo wowote wa kisiasa na ushabiki wa vyama pembeni Serikali ya JMT haijashindwa kuendesha tawala zake za mikoa mpaka tufike sehemu ya kusema lazima tu balkanize Tanzania yetu kati vijinchi vidogo vidogo vitano au kumi, narudia bado hatujafika hapo. Kubadilisha mfumo wa utawala wa nchi ni kitu kikubwa na kinahitaji wananchi kuhusishwa na isiwe ni msukumo wa watu wa kanda moja au wasomi wachache.

hatuwezi kusema mfumo uliopo wa serikali kuu ya kati ni mbovu kiasi cha kudidimiza maendeleo yetu. Tatizo ni utekekelezaji wa sera za kimaendeleo za CCM zilizotawaliwa na ubinfasi wa viongozi wake na mfumo wao wa kifisadi. Hili ni tatizo na bila kuondolewa hili majimbo hayataondoa kero zaidi ya kuzidisha ubinafsi wa viongozi wapya wa majimbo na kuradicalize ethno-nationalist sentiment katika taifa letu. Fikiria gavana wa jimbo la nyanda juu kusini atatoka wapi zaidi ya kabila kubwa la wanyakyusa wanaopiga kura kwa wingi na wenye umoja na elite katika jimbo hilo, hii itawafanya hawa wengine kama wakinga, wabena kuungana ili kujikinga na nyakyusa hegemony ili wapate gavana wao n.k hii ni hatari na ni changamoto hasi kwa maendeleo yetu

Kenya, Nigeria na wengine tayari wana "majimbo" yasiyo rasmi ni mantiki kwao kuyafanya rasmi kupitia katiba zao, kumbuka Nigeria isingeweza kutawalika bila majimbo ndiyo maana kabla ya uhuru 1960 wakaja na hii idea ya federation kabisa kuondoa kuingia kwenye migogoro mikubwa ya kiutawala.

Waberoya nafikiri we ni mzalendo zaidi ya shabiki wa itikadi za vyama, fikiria zaidi

Mharakati,
 


Unajua kuna kipimo cha ujinga na upumbavu lakini heri mjinga maana anaweza kueleweshwa na mpumbavu katu anajua ukweli ila anaupindisha kwa faida zake

Ridhwan Kikwete na wana CCM wenzie ni moja ya makundi dhaifu kiakili na kihuhalisia, huku kundi linguine la wenye ulemavu wa akili ni baadhi ya wanachadema ambao ni fuata mkumbo, wasiozijua seraza chama chao na hawawezi kuzitetea..poleni!


Faida za sera za majimbo


1. Faida za utawala

Sera za majimbo zinaweza kabisa kufananishwa na Decentralisation system, ambako maamuzi hufanywa na watu wa chini kabisa, kwa jambo husika na kwa wakati husika.

Wananchi wanapewa uwezo wa kujitafuatia uongozi wao, na hivyo kumjweka mtu ambaye anajua mazingira ya eneo hilo, shinda walizonanzo na way forward kuzitatua. Mtu huyu pengine anajua utamaduni wa eneo husika, tabia zao na kupanga mikakati ya kujikwamua kutokana na walivyo.

Kwa kifupi ita improve quality of decision kwa jambo loloye liwe kwa eneo husika kitu ambacho hakipo kwa sasa

2. Faida za uchumi

Mtu yeyote mjinga na asiyeelewa ni yule anayedhani au kufikiri kuwa kuna maeneo nchi hii ni maskini na mengine ni tajiri.

Kansa ya mawazo haya iko kwa viongozi wa CCM na serikali yao wakihubiri kuwa majimbo ni mifarakano na wengine watakuwa maskini
Sema jimbo gani ni maskini, nitakueleza wafanye nini kupata utajiri..

Hakuna kijiji, mkoa au wilaya maskini Tanzania haipo!!! Umaskini ukiwapo ni wa ubongo mdogo wa raia wa mahali hapo

Sera ya majimbo itaharakisha maendeleo kwani ita ‘motivate’ au ku’stimulate brain za watu wa eneo husika kuwaza na kufikiri kipi kifanyike kuleta maendeleo

Wataalamu wa sosholojia wanatanabaisha kuwa, jamii inayotengeneza sere zake, au kuamua mambo yake hufanya kazi kwa bidii ili maamuzi na malengo waliyoyaamua yafikiwe….kwa mfano sera ya kilimo kwanza haitaweza kufanikiwa kwa sababu haijaamuliwa na wananchi na haijaingia akilini au mioyoni mwao ..kwa nini ‘kilimo kwanza’ hata kama sera hii ni nzuri!!

Ni matatizo waliyoyapata akina Nyerere enzi hizo..wakati mpaka leo hii israel ina vijiji ya ujamaa kama alivyoanzisha Nyerere sisi vyetu havipo na kama vipo ni kibahati tu!!

Leo wengi hawajui wilaya ya Mbinga ndiyo tajiri kuliko zote Tanzania kwa kilimo cha kahawa, ufugaji na sasa wanapanda miti!!Nani anajua kuwa mkoa wa mtwara ni wa saba kuliingizia pato taifa?

Au hamjui kuwa wilaya za Ngaka, kiwira zina makaa ya mawe na liganga kuna chuma, nani asiyejua utajiri wa madini na kilimo morogogoro na mazao ya madawa mkoa wa Pwani?

Au nani asiyetamani kuona utajiri za zabibu Dodoma unavuka mipaka na kushindana na Israel ambayo inategemea zabibu kwa sana
Tanzania haina sehemu maskini, J

Juzi Mkongeumeongelewa sana, Mafuta na ziwa ni utajiri wa Kigoma na Rukwa inasifika kwa kilimo…semeni tujue wilaya maskini ni ipi?

Au haiumi kuona Lindi na Mtwara wana gesi ambayo inasafirishwa kuletwa DSM huku wao wakihangaika kucheza ngoma kwa kukosa kazi??

Haiumi kusikia Tanzania ni wazalishaji wakubwa wa dhahabu duniani uku wilaya husika ni maskini wakutupwa, au Almasi ya shinyanga ikiliwa kimya kimya!!! Kweli asali ya tabora na kijani cha Bukoba sio mtaji wa maendeleo ya taifa hili? Nani anabisha??

Sera hii italeta ushindani wa majimbo katika kuongeza kipato cha kaya, kijiji, kata, jimno na taifa!!

Dubai wameweza kuuweka mji wao kuwa sehemu ya kibiashara duniani sehemu ambayo ni jangwa kabisa!!

Kama kuna sehemu kuna jangwa, basi tutaweka DAR LIVE nyingi sana (Ridhwan tenda hiyoo dogo), na starehe nyingine zote ili watu wakipiga kazi ngumu wanaenda kupumzika na kujiburidisha sehemu ambazo zitakuwa haziwezekaniki..japo hamna hizo sehemu

3. Faida za kulinda utamaduni

Hakuna utumwa mbaya na wa kipekee kama kuacha tamaduni zetu, tumeiga wazungu mpaka wanatushangaa, vijana wetu wamekuwa kama mabinti, eti wanabana pua na MASCULINE behavior haipo!!

Malezi duni!!!
Kijana gani leo yuko tayari kupigana na kusema msitu huu wa baba yangu, na yuko tayari kuua simba na kulinda hadhi za kikoo, kifamilia, kikabila na hatimaye taifa??

Sera majimbo japo zimejikita ki-uchumi zaidi, lakini zina faida kubwa sana hata kiutamaduni

Utamaduni wa eneo husika huleta ubunifu wa eneo husika na kuongeza hadhi ya eneo hilo…leo hatuangalii nyimbo za wamasai ila tunanunuA MAKHIRIKHIRI kwa raha zooote huku tukijiona tumeendelea!

Kumbuka pia utamaduni hapa pia ni kurithisha vizazi vijavyo mambo ambayo kizazi cha sasa kinafanya, kama kulima, kufuga nyuki, kuchimba madini , kutengeneza vitu mbali mbali! kurithisha kizazi kijacho.......this is called informal education which is sometime far better than formal education!!

kuna faida gani kumaliza na degree uchwara ya uhandisi wa ujenzi na huwezi kazi wakati kuna fundi aliyejifunza tangu utotoni alianzia kubeba vifaa vya baba yake!!! anajua kila kitu kuliko injinia aliyekuwa na stress za bodi ya mikopo na shida za kukosa vifaa vya mafunzo??


4.
Faida ya kukusanya mawazo

Unapoona mwenzio kaendelea utajiuliza how? Kafanyaje? Maendeleo ya baadhi ya sehemu Fulani Fulani zitaleta ‘data collection’ na mawazo kuwa kwa nini wengine wameendela wanafanyaje fanyaje.

Sera za majimbo zinaweza kupelekea kubadilisha sera za uongozi wa taifa na kufikia kufanya maamuzi ambayo huwezi kuyajutia na una mifano yake.


5.
Kulinda Rasilimali za Taifa

Kumbuka ikiwa kama majimbo yatagawanywa na kuwa mfumo wa states….basi taifa la Tanzania lina weza kuitwa ‘United Sates of Tanzania’ majimbo ambayo yana dola ya local na kitaifa, kulinda maeneo husika.

Ukiwa na mali lazima ulinde mali…kutorosha vitu kama wanyama hakutakuwepo, kuiba michanga ya madini hakutakuwepo, kukata miti ovyo na kuuza kwa bei ya kutupa hakutakuwepo!!! Do I need to say more here??...no!


6.
Kujenga Taifa Imara na viongozi wazuri wa kitaifa


Tuna taifa dhaifu kwa sababu tuna viongozi dhaifu! Tuna viongozi dhaifu kwa sababu tuna taasisi dhaifu, tuna taasisi dhaifu kwa sababu tuna familia dhaifu!


Taasisi kama uongozi wa ngazi mbalimbali ukiwa makini unaleta viongozi makini, taasisi hata za kidini zinaweza kuchochea kupata viongozi wazuri na akina baba wazuri
Ikiwa tyuna kiognozi wa jimbo Fulani aliweka strategy za kupata maendelao na yakaoneka, je hawezi kuwa ndio candidate mzuri wa wizara husika na hata taifa??

Viongozi watakuwa judged na kazi zao za kwenye majimbo na tutakuwa na hakika ya kuwa atafanya jambo akiwa rais let say…sio kuwa na viongozi vimeo kama hawa wasasa ambao haujui katoka wapi, kafanya nini, anaweza nini, unashtukia tu kiongozi na kesho mnalia HAWEZI…kwani nani alisema anaweza??


7.
Mwingiliano wa watu


Uzuri wa sera hizi kwa sababu tunaongelea taifa moja, mtu ataishi sehemua mabayo anajua atazichanga. ‘atatoka’ atatengeneza fedha kulingana na akili zake na ujuzi wake!! Hili huleta maendeleo ya haraka kwa wenye akili! Sio wanaokalia majungu, kuchezabao na kuwaza uchawi!

Sera za majimbo kwa maendeleo ya Taifa, kumbuka kuna limitation zako au hasara zake, japo ni ndogo sana kw ataifa letu change sera za majimbo is not a matter of discussion…is a must!!

8. Kodi husika

Kodi inakatwa kulingana na eneo husika, kwa mfano kodi ya jimbo la Ontario nchini kanada iko tofauti na kodi ya British Columbia japo wako nchi moja, ukasanyaji wa kodi utakuwa rahisi na itafanya kazi iliyokusudiwaLeo hii kaodi zetu hatujui zinafanya nini na haujui umuulize nani! Aibu

9. Watu watapungua DSM (miji mikubwa) ha ha ha ha!!

I hate DSM but I am in!..ila nina kazi yangu na some prospects…ila naona watu wakitaabika, hawajui wafanye nini, hawana future, asubuhi tunajaziana foleni wengine wakiwa na decent jobs wengine hawana na cha ajabu ambao hawana kazi wanaishi maisha mazuri kabisa…sisi wafanya kazi tunakatwa kodi kubwa na ilimradi vituko tupu

Hawa wenyeji wengi waDSM ambao ni jobless ambao wanaweza kwenda elfu arobaini kwenye msiba wa kanumba siku ya kazi asubuhi..wakisikia wenzao mikoani wanazalisha na maisha yao yanaenda vizuri watarudi tu!!

Hata kama wasipoondoka hawa kwasababu wameishalemaa at least tutazuia watu kukimbilia mijini. Maisha ya bahati bahati , maisha yasiyo na muda wala malengo…maisha ambayo unatoka nyumbani saa kumbi na mbili na kufika kazini saa nne!!

Unafikia chai,kucheza karata kufacebook kidogo, lunch na unasinzia kidogo saa tisa unaanza kuangalia usafiri wa kurudi…asilimia 90 ya wafanya kazi wa serikalini ndio wanavyoishi!! Ha ha ha ha!


Watu hukimbilia mijini wakidhani ndiko kuna hela, sera ya majimbo itazuia hili! Japo hatari yake ni kuwa jimbo Fulani kukiwa kuzuri zaidi watu watakimbilia huko….

lakini kama wanazalisha is okay hakuna shida, siyo kama wakazi wa DSM wengi…hawaishi bali wanatafuta maisha!


10.
inatosha

wenu

Waberoya s. Waberoya

N.B huu sio uchambuzi wa sera rasmi ya chadema, maneno rasmi ya sera za chadema kuhusu hili , tafuta sera zake fika ofisi ya chadema iliyo karibu nawe utaipata, hapa nimeelezea tu kwa ufahamu wangu ubora wa sera hii, kumbuka pia kuwa mimi sio mwana chadema wala chama chochote cha siasa.



Wenyekuhama wende wapi?

Video – Muhadhara Lumumba tarehe 26/4/2012 '1′ | Mzalendo.net
 
Jamani kuweni makini sana mnavyozungumzia states... it is easier to say Zanzibar state government, Tanganyika State Governement na Federal government of Tanzania.. kwa sababu historically they were independent state... kwa sasa sio muafaka kugawa taifa hili ambalo liko fully integrate na mipaka ni ishara tu ya kusaidia ****-manage... hivi mwanamume uliyezaliwa Moshi... ukakutana na Mhehe... Shinyanga na sasa Unaishi penda.. where will you pride be... tuache kujadili vitu as if the nation does not have story....

Tungekuwa states zinazoungana kama United State of America it could make sense... lakini sisi sio... we just need to continue improving our local government system ambayo already iko kwenye katiba ya nchi... sio kweli kwamba ni kitu kidogo... hata nyerere alipenda sana kulielezea hili... tuendee ku-evolve... taratibu serikali kuu, central government ijitoe every time local govenrment inavyoweza kuwa na capacity to manage... serikali iendelee na kuwa na role ya governance only.

To Tanzanians: not everything needs revolutions...

Tanzania ina mfumo wa majimbo lakini ina improve kwa system ya evolution wakati wenzetu wanataka iwe revolution... hizi ni adhari za kutawalia, kwamba we do not believe to have our own system rather lazima tu-copy....

Where is the evolvement plan for everyone of us to know when is the next evolution step going to happen? Kwa sababu unapozungumzia uboreshaji lazima uwe ni uboreshaji unaoeleweka na sio ule unaosimamiwa na mahaba ya watu wachache, Kitu kimoja uelewe ni kwamba watanzania wasasa tumebadirika, we want to be involved in the Governance of of our affairs, ndio maana haya mambo unayoyaeleza hapa inawezekana yakawa yanaeleweka vizuri sana kwenye coridos za watawala, of course, kwa sababu ni zao la matakwa yao, lakini sio lazima yawe appreciated huku kwetu kwa common tanzanians, by the way yameshindwa kukidhi mahitaji yetu which is the Big Point, ambayo naona hauko tayari kuzungumza katika perspective hiyo.

Na hii ndio inasababisha CCM inakataliwa kila sehemu ya nchi yetu kwa kasi na haraka tofauti na mategemeo yenu, mmekaa mmeona sera mlizozitengeza ndio bora kuliko aina yoyote ile ya sera kutoka kwa watanzania wengine walio nje ya mfumo wenu, well, sera hizi zimeshindwa kudeliver what is next? More over, the common Tanzanian does notn even want to know how the Governance system operate, Anachokitaka ni kuona watoto wake wanakwenda shule na kupata elimu bora, kama elimu hiyo inasimamiwa na serikali ya Jimbo au Serikali kuu au Local Government THAT IS OUT OF THE POINT.
 
Waberoya,

Majimbo au federation ni jambo linalotokana na msukumo wa kihistoria wa kijamii, kisiasa na kiuchumi wa jamii tofauti tofauti ndani ya taifa moja.Kimantiki na kiuhalisi Kuundwa kwa mfumo wa serikali ya majimbo hutokea tu pale inapoonekana serikali kuu itashindwa kuongoza kwa kuhodhi uhalali wa utawala moja kwa moja wa taifa husika.

Hapa Tanzania hamna msukumo wa mfumo huu kihistoria na hata sasa hamna msukumo kama huo toka kwa "mataifa" madogo madogo ndani ya Tanzania. Katika mlengo wowote wa kisiasa na ushabiki wa vyama pembeni Serikali ya JMT haijashindwa kuendesha tawala zake za mikoa mpaka tufike sehemu ya kusema lazima tu balkanize Tanzania yetu kati vijinchi vidogo vidogo vitano au kumi, narudia bado hatujafika hapo. Kubadilisha mfumo wa utawala wa nchi ni kitu kikubwa na kinahitaji wananchi kuhusishwa na isiwe ni msukumo wa watu wa kanda moja au wasomi wachache.

hatuwezi kusema mfumo uliopo wa serikali kuu ya kati ni mbovu kiasi cha kudidimiza maendeleo yetu. Tatizo ni utekekelezaji wa sera za kimaendeleo za CCM zilizotawaliwa na ubinfasi wa viongozi wake na mfumo wao wa kifisadi. Hili ni tatizo na bila kuondolewa hili majimbo hayataondoa kero zaidi ya kuzidisha ubinafsi wa viongozi wapya wa majimbo na kuradicalize ethno-nationalist sentiment katika taifa letu. Fikiria gavana wa jimbo la nyanda juu kusini atatoka wapi zaidi ya kabila kubwa la wanyakyusa wanaopiga kura kwa wingi na wenye umoja na elite katika jimbo hilo, hii itawafanya hawa wengine kama wakinga, wabena kuungana ili kujikinga na nyakyusa hegemony ili wapate gavana wao n.k hii ni hatari na ni changamoto hasi kwa maendeleo yetu

Kenya, Nigeria na wengine tayari wana "majimbo" yasiyo rasmi ni mantiki kwao kuyafanya rasmi kupitia katiba zao, kumbuka Nigeria isingeweza kutawalika bila majimbo ndiyo maana kabla ya uhuru 1960 wakaja na hii idea ya federation kabisa kuondoa kuingia kwenye migogoro mikubwa ya kiutawala.

Waberoya nafikiri we ni mzalendo zaidi ya shabiki wa itikadi za vyama, fikiria zaidi

Mharakati,

Wewe unazungumzia hili swala katika perspective moja tu, tena kwa taarifa yako, hizo background unazozingumzia ni sababu ya kutosha kabisa kuifanya nchi isijiingize katika mfumo wa serikali za Majimbo, Nigeria iliingia kwenye mfumo wa serikali za majimbo kwa faida ya waingereza na mfumo huo ukashadidiwa na wanasiasa uchwara ambao walikuwa wanaangalia fursa za kujipatia vyeo na madaraka zaidi ya kuangalia umoja wa kitaifa wa nchi yao.

Anachozungumzia waberoya hapa, pamoja na sera ya CHADEMA ni kupeleka madaraka makubwa zaidi kwa wananchi, na haisemi kutengeneza states kama unavyosema wewe, Mabaraza ya Madiwani yapewe nguvu zaidi tofauti na sasa, Wabunge wapate fursa ya kushiriki kwenye maamuzi ya kimaendeleo kwenye majimbo yao kwa nguvu zaidi tofauti na sasa ambapo relevance yao haipo,ondoa wakuu wa mikoa na wilaya na majukumu yao wapewe wabunge au mameyor ambao wamechaguliwa na wananchi na hivyo utendaji wao unategemewa kureflect interets za wapiga kura wao.

Sioni ni kwanini hatuoni hatari ya kuibuka sentiments za kibaguzi kwenye namna Mikoa yetu ilivyoundwa, nani anaweza akatuambia hapa the logic behind the geographical bounderies of our regions, districts, na majimbo ya uchaguzi? kuna ushahidi au uhakika gani kwamba mapande mapande haya ya maeneo hayawezi kurutubisha ubaguzi kwa misingi ya kikabila au dini ila serikali za majimbo zinaweza?

Kwanza kuogopa au kuhofia ubaguzi kwa misingi ya dini au kabila ni uoga dhidi ya utu.
 
Du! Sisi wavivu sana yet tunapenda ku-conclude sana,,,, nimekuwekea sheria hapo.... soma kabla ya kujibu.... oooh loooh what generation is this?

Sheria ndio nini Ndugu yangu kasheshe? tunasheria ngapi za kidhalimu nchi hii? tumefuta sheria ngapi katika nchi hii? na ni sheria ngapi mpya zinatengenewa kila mwaka katika nchi hii? ni nini kinachokufanya ufikirie sheria ndio FACT?

Wewe unaita wenzako wavivu kwa sababu hawajasoma vitu ulivyosoma wewe sio? unauhakika gani kwamba vitu ulivyosoma wewe ndio KWELI NA SADIKI? Unaelewa walioandika maandiko uliyosoma wewe walikuwa wanania ya kukulazimisha wewe kuelewa nini? unauhakika gani kwamba maandiko yao yalikuwa complete in every aspect? wewe unasoma kitu kimoja na kukimbilia hapa kututisha kwamba umesoma? na hata kama umesoma sana na unafanya reserach sana SO WHAT?

wengine tunazungumza kutoka kwenye real life experience yetu wenyewe na sio ya watu wengine, kwamba nikasome sheria inayotengeneza Local Government Authority alafu inisaidie nini? ninajua kutoka kwenye practice namna serikali zote mbili kuu na hii ya mitaa zinavyofanya kazi, ninajua kwamba kati ya Mkurugenzi wa Halmashauri na baraza la madiwani ni Mkurugenzi wa Halmashauri ndio mwenye mamlaka ya kuamua halmashauri inaendeshwa namna gani? Serikali hii imeshindwa kuniwezesha sangarara kupata huduma bora za afya, imeshindwa kutengeneza mfumo bora wa elimu kwa watanzania wengi nikiwamo mimi, ndugu zangu, jamaa na rafiki zangu.

Unataka nikasome au niresearch nini kuelezea ukweli huu. Au nia yenu tusiongee?? Matokeo ya aina ya maisha ninayoishi ni conclusion ya kutosha kusema kwamba the current system of Governance has failed. Acha kujitia aibu, tuko kwenye mchakato wa kubadirisha Katiba wewe unakuja kutuambia tukaangalie ubora wa muundo wa serikali yetu kwenye sheria, nini kikubwa kati ya sheria na Katiba??
 


Unajua kuna kipimo cha ujinga na upumbavu lakini heri mjinga maana anaweza kueleweshwa na mpumbavu katu anajua ukweli ila anaupindisha kwa faida zake

Ridhwan Kikwete na wana CCM wenzie ni moja ya makundi dhaifu kiakili na kihuhalisia, huku kundi linguine la wenye ulemavu wa akili ni baadhi ya wanachadema ambao ni fuata mkumbo, wasiozijua seraza chama chao na hawawezi kuzitetea..poleni!


Faida za sera za majimbo


1. Faida za utawala

Sera za majimbo zinaweza kabisa kufananishwa na Decentralisation system, ambako maamuzi hufanywa na watu wa chini kabisa, kwa jambo husika na kwa wakati husika.

Wananchi wanapewa uwezo wa kujitafuatia uongozi wao, na hivyo kumjweka mtu ambaye anajua mazingira ya eneo hilo, shinda walizonanzo na way forward kuzitatua. Mtu huyu pengine anajua utamaduni wa eneo husika, tabia zao na kupanga mikakati ya kujikwamua kutokana na walivyo.

Kwa kifupi ita improve quality of decision kwa jambo loloye liwe kwa eneo husika kitu ambacho hakipo kwa sasa

2. Faida za uchumi

Mtu yeyote mjinga na asiyeelewa ni yule anayedhani au kufikiri kuwa kuna maeneo nchi hii ni maskini na mengine ni tajiri.

Kansa ya mawazo haya iko kwa viongozi wa CCM na serikali yao wakihubiri kuwa majimbo ni mifarakano na wengine watakuwa maskini
Sema jimbo gani ni maskini, nitakueleza wafanye nini kupata utajiri..

Hakuna kijiji, mkoa au wilaya maskini Tanzania haipo!!! Umaskini ukiwapo ni wa ubongo mdogo wa raia wa mahali hapo

Sera ya majimbo itaharakisha maendeleo kwani ita ‘motivate’ au ku’stimulate brain za watu wa eneo husika kuwaza na kufikiri kipi kifanyike kuleta maendeleo

Wataalamu wa sosholojia wanatanabaisha kuwa, jamii inayotengeneza sere zake, au kuamua mambo yake hufanya kazi kwa bidii ili maamuzi na malengo waliyoyaamua yafikiwe….kwa mfano sera ya kilimo kwanza haitaweza kufanikiwa kwa sababu haijaamuliwa na wananchi na haijaingia akilini au mioyoni mwao ..kwa nini ‘kilimo kwanza’ hata kama sera hii ni nzuri!!

Ni matatizo waliyoyapata akina Nyerere enzi hizo..wakati mpaka leo hii israel ina vijiji ya ujamaa kama alivyoanzisha Nyerere sisi vyetu havipo na kama vipo ni kibahati tu!!

Leo wengi hawajui wilaya ya Mbinga ndiyo tajiri kuliko zote Tanzania kwa kilimo cha kahawa, ufugaji na sasa wanapanda miti!!Nani anajua kuwa mkoa wa mtwara ni wa saba kuliingizia pato taifa?

Au hamjui kuwa wilaya za Ngaka, kiwira zina makaa ya mawe na liganga kuna chuma, nani asiyejua utajiri wa madini na kilimo morogogoro na mazao ya madawa mkoa wa Pwani?

Au nani asiyetamani kuona utajiri za zabibu Dodoma unavuka mipaka na kushindana na Israel ambayo inategemea zabibu kwa sana
Tanzania haina sehemu maskini, J

Juzi Mkongeumeongelewa sana, Mafuta na ziwa ni utajiri wa Kigoma na Rukwa inasifika kwa kilimo…semeni tujue wilaya maskini ni ipi?

Au haiumi kuona Lindi na Mtwara wana gesi ambayo inasafirishwa kuletwa DSM huku wao wakihangaika kucheza ngoma kwa kukosa kazi??

Haiumi kusikia Tanzania ni wazalishaji wakubwa wa dhahabu duniani uku wilaya husika ni maskini wakutupwa, au Almasi ya shinyanga ikiliwa kimya kimya!!! Kweli asali ya tabora na kijani cha Bukoba sio mtaji wa maendeleo ya taifa hili? Nani anabisha??

Sera hii italeta ushindani wa majimbo katika kuongeza kipato cha kaya, kijiji, kata, jimno na taifa!!

Dubai wameweza kuuweka mji wao kuwa sehemu ya kibiashara duniani sehemu ambayo ni jangwa kabisa!!

Kama kuna sehemu kuna jangwa, basi tutaweka DAR LIVE nyingi sana (Ridhwan tenda hiyoo dogo), na starehe nyingine zote ili watu wakipiga kazi ngumu wanaenda kupumzika na kujiburidisha sehemu ambazo zitakuwa haziwezekaniki..japo hamna hizo sehemu

3. Faida za kulinda utamaduni

Hakuna utumwa mbaya na wa kipekee kama kuacha tamaduni zetu, tumeiga wazungu mpaka wanatushangaa, vijana wetu wamekuwa kama mabinti, eti wanabana pua na MASCULINE behavior haipo!!

Malezi duni!!!
Kijana gani leo yuko tayari kupigana na kusema msitu huu wa baba yangu, na yuko tayari kuua simba na kulinda hadhi za kikoo, kifamilia, kikabila na hatimaye taifa??

Sera majimbo japo zimejikita ki-uchumi zaidi, lakini zina faida kubwa sana hata kiutamaduni

Utamaduni wa eneo husika huleta ubunifu wa eneo husika na kuongeza hadhi ya eneo hilo…leo hatuangalii nyimbo za wamasai ila tunanunuA MAKHIRIKHIRI kwa raha zooote huku tukijiona tumeendelea!

Kumbuka pia utamaduni hapa pia ni kurithisha vizazi vijavyo mambo ambayo kizazi cha sasa kinafanya, kama kulima, kufuga nyuki, kuchimba madini , kutengeneza vitu mbali mbali! kurithisha kizazi kijacho.......this is called informal education which is sometime far better than formal education!!

kuna faida gani kumaliza na degree uchwara ya uhandisi wa ujenzi na huwezi kazi wakati kuna fundi aliyejifunza tangu utotoni alianzia kubeba vifaa vya baba yake!!! anajua kila kitu kuliko injinia aliyekuwa na stress za bodi ya mikopo na shida za kukosa vifaa vya mafunzo??


4.
Faida ya kukusanya mawazo

Unapoona mwenzio kaendelea utajiuliza how? Kafanyaje? Maendeleo ya baadhi ya sehemu Fulani Fulani zitaleta ‘data collection’ na mawazo kuwa kwa nini wengine wameendela wanafanyaje fanyaje.

Sera za majimbo zinaweza kupelekea kubadilisha sera za uongozi wa taifa na kufikia kufanya maamuzi ambayo huwezi kuyajutia na una mifano yake.


5.
Kulinda Rasilimali za Taifa

Kumbuka ikiwa kama majimbo yatagawanywa na kuwa mfumo wa states….basi taifa la Tanzania lina weza kuitwa ‘United Sates of Tanzania’ majimbo ambayo yana dola ya local na kitaifa, kulinda maeneo husika.

Ukiwa na mali lazima ulinde mali…kutorosha vitu kama wanyama hakutakuwepo, kuiba michanga ya madini hakutakuwepo, kukata miti ovyo na kuuza kwa bei ya kutupa hakutakuwepo!!! Do I need to say more here??...no!


6.
Kujenga Taifa Imara na viongozi wazuri wa kitaifa


Tuna taifa dhaifu kwa sababu tuna viongozi dhaifu! Tuna viongozi dhaifu kwa sababu tuna taasisi dhaifu, tuna taasisi dhaifu kwa sababu tuna familia dhaifu!


Taasisi kama uongozi wa ngazi mbalimbali ukiwa makini unaleta viongozi makini, taasisi hata za kidini zinaweza kuchochea kupata viongozi wazuri na akina baba wazuri
Ikiwa tyuna kiognozi wa jimbo Fulani aliweka strategy za kupata maendelao na yakaoneka, je hawezi kuwa ndio candidate mzuri wa wizara husika na hata taifa??

Viongozi watakuwa judged na kazi zao za kwenye majimbo na tutakuwa na hakika ya kuwa atafanya jambo akiwa rais let say…sio kuwa na viongozi vimeo kama hawa wasasa ambao haujui katoka wapi, kafanya nini, anaweza nini, unashtukia tu kiongozi na kesho mnalia HAWEZI…kwani nani alisema anaweza??


7.
Mwingiliano wa watu


Uzuri wa sera hizi kwa sababu tunaongelea taifa moja, mtu ataishi sehemua mabayo anajua atazichanga. ‘atatoka’ atatengeneza fedha kulingana na akili zake na ujuzi wake!! Hili huleta maendeleo ya haraka kwa wenye akili! Sio wanaokalia majungu, kuchezabao na kuwaza uchawi!

Sera za majimbo kwa maendeleo ya Taifa, kumbuka kuna limitation zako au hasara zake, japo ni ndogo sana kw ataifa letu change sera za majimbo is not a matter of discussion…is a must!!

8. Kodi husika

Kodi inakatwa kulingana na eneo husika, kwa mfano kodi ya jimbo la Ontario nchini kanada iko tofauti na kodi ya British Columbia japo wako nchi moja, ukasanyaji wa kodi utakuwa rahisi na itafanya kazi iliyokusudiwaLeo hii kaodi zetu hatujui zinafanya nini na haujui umuulize nani! Aibu

9. Watu watapungua DSM (miji mikubwa) ha ha ha ha!!

I hate DSM but I am in!..ila nina kazi yangu na some prospects…ila naona watu wakitaabika, hawajui wafanye nini, hawana future, asubuhi tunajaziana foleni wengine wakiwa na decent jobs wengine hawana na cha ajabu ambao hawana kazi wanaishi maisha mazuri kabisa…sisi wafanya kazi tunakatwa kodi kubwa na ilimradi vituko tupu

Hawa wenyeji wengi waDSM ambao ni jobless ambao wanaweza kwenda elfu arobaini kwenye msiba wa kanumba siku ya kazi asubuhi..wakisikia wenzao mikoani wanazalisha na maisha yao yanaenda vizuri watarudi tu!!

Hata kama wasipoondoka hawa kwasababu wameishalemaa at least tutazuia watu kukimbilia mijini. Maisha ya bahati bahati , maisha yasiyo na muda wala malengo…maisha ambayo unatoka nyumbani saa kumbi na mbili na kufika kazini saa nne!!

Unafikia chai,kucheza karata kufacebook kidogo, lunch na unasinzia kidogo saa tisa unaanza kuangalia usafiri wa kurudi…asilimia 90 ya wafanya kazi wa serikalini ndio wanavyoishi!! Ha ha ha ha!


Watu hukimbilia mijini wakidhani ndiko kuna hela, sera ya majimbo itazuia hili! Japo hatari yake ni kuwa jimbo Fulani kukiwa kuzuri zaidi watu watakimbilia huko….

lakini kama wanazalisha is okay hakuna shida, siyo kama wakazi wa DSM wengi…hawaishi bali wanatafuta maisha!


10.
inatosha

wenu

Waberoya s. Waberoya

N.B huu sio uchambuzi wa sera rasmi ya chadema, maneno rasmi ya sera za chadema kuhusu hili , tafuta sera zake fika ofisi ya chadema iliyo karibu nawe utaipata, hapa nimeelezea tu kwa ufahamu wangu ubora wa sera hii, kumbuka pia kuwa mimi sio mwana chadema wala chama chochote cha siasa.
Mkuu Waberoya mbona ulikuja na mtiririko mzuri tena unajitoa kwenye ulingo wa CHADEMA????? Kiukweli sera za majimbo zitainua uchumi wa nchi yetu, hata China tunayoisifia kiuchumi decitions zinafanywa kwenye jimbo husika!!! Yatubidi Watanzania tutoke kwenye maamuzi ya maendeleo ya jimbo au mkoa kufanywa Dar na kazi zifanyike Karagwe!!!! Nadhani wengi tumekuelewa kuwa hiyo sio kugawa nchi bali ni madaraka mikoani au majimboni kuharakisha maendeleo!!!!

 
Naamini kabisa kuwa hawa wanaopinga sera ya majimbo ni kwa kuwa imeanzishwa na chadema, na wale wanaounga mkono vivyo hivyo. Yaani hawahawa wanaoipinga leo, ingekuwa imeanzishwa na ccm, wangeunga wasingepinga, na hawahawa wanaoungu mkono leo, ingekuwa imeanzishwa na ccm wangeikataa katakata!
Sangara...FACT ni zaidi ya sheria. Huo ni zaidi ya ukweli. Big up! Tutumie sasa katika kufanya maamuzi ya hili...tuache uchadema na uccm wote ni upuuzi tu! Pia, tusijenge hoja za mbona nchi fulani wameweza au wameshindwa, ni hoja za kitoto! Muhimu ni kujiuliza, sera hiyo inaweza kuendana na mazingira yetu, mahusiano yetu, tamaduni zetu, na nyakati tulizonazo...kama ndio basi tuibariki, lakini kama sivyo, na ilaaniwe.
Mungu wetu anaita.
 
Back
Top Bottom