Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Nndugu zanguni,
Kuna jambo nimeshindwa kulielewa kutoka kwa hawa jamaa wa chagadema. Wao kila kukicha stori zao ni chopa, chopa, chopa.. sijawahi kuwasikia wakisema watawafanyia nini watu wa Kalenga zaidi ya kusema watazunguka na chopa.
Chadema sasa wamegeuka kama watoto wadogo wa chekechea tu wakidhani kuwa watu wakiona chopa ndio watawazimia. Huu ni ujinga uliopitiliza, kiongozi wa siasa unatakiwa uwaambie wananchi utawafanyia nini ukichaguliwa sio kuzunguka na chopa.
Mimi nawafananisha Chadema na wacongo ambao hupenda kuvaa nguo za bei mbaya sana wakati nyumbani anakula ugali mkavu kwa dagaa wakavu...
JITAMBUE PAPAA
Kuna jambo nimeshindwa kulielewa kutoka kwa hawa jamaa wa chagadema. Wao kila kukicha stori zao ni chopa, chopa, chopa.. sijawahi kuwasikia wakisema watawafanyia nini watu wa Kalenga zaidi ya kusema watazunguka na chopa.
Chadema sasa wamegeuka kama watoto wadogo wa chekechea tu wakidhani kuwa watu wakiona chopa ndio watawazimia. Huu ni ujinga uliopitiliza, kiongozi wa siasa unatakiwa uwaambie wananchi utawafanyia nini ukichaguliwa sio kuzunguka na chopa.
Mimi nawafananisha Chadema na wacongo ambao hupenda kuvaa nguo za bei mbaya sana wakati nyumbani anakula ugali mkavu kwa dagaa wakavu...
JITAMBUE PAPAA