Sera za CHADEMA majimboni zinatekelezwa?

yaser

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
1,361
299
Wanajamvi mi naomba tu kuuliza, kwa sasa CHADEMA ndio chama kikuu cha upinzani hapa nchini Tanzania na kinakua na kupanuka kila siku.Naomba kuuliza toka uchaguzi uliopita mpaka leo hii wabunge wa CHADEMA wametekeleza ahadi zao?

Nauliza hivi kwa kua hawa jamaa wanampango wa kuchukua nchi,sasa kabla wananchi hawajaamua 2015 ni heri tungejua kwanza post ndogo tu za ubunge wameweza?
Naomba tuchangie kwa amani,vurugu na husda weka pembeni kama we ni mwanasiasa wa kweli!!!
 
CHADEMA ni waongeaji tu na si watendaji maana huku ubungo hali inatisha na huyo mbunge wetu kazi yake ni kupiga vijembe CCM
 
Wanajamvi mi naomba tu kuuliza, kwa sasa CHADEMA ndio chama kikuu cha upinzani hapa nchini Tanzania na kinakua na kupanuka kila siku.Naomba kuuliza toka uchaguzi uliopita mpaka leo hii wabunge wa CHADEMA wametekeleza ahadi zao?

Nauliza hivi kwa kua hawa jamaa wanampango wa kuchukua nchi,sasa kabla wananchi hawajaamua 2015 ni heri tungejua kwanza post ndogo tu za ubunge wameweza?
Naomba tuchangie kwa amani,vurugu na husda weka pembeni kama we ni mwanasiasa wa kweli!!!
kwa sasa nchi inaongozwa na chama cha mapunduzi wao ndio wakusanya kodi, na shughuli nyingine zinazohitaji utendaji, kazi ya wabunge ni kuwasilisha matatizo ya wananchi sehemu husika na sio watendaji,fungua akili yako fikiria kwa mapana kwa mfano jimbo linapokosa maji unategemea mbunge atoe fedha za mfukoni mwake alete maji?
kazi yake ni kwenda kuiambia serikali kupita wizara wananchi wa jimbo langu hawana maji.
utaweza kui-evaluate chadema pale watakapokuwa na wizara manake wizara ndio wenye fedha...
 
CHADEMA ni waongeaji tu na si watendaji maana huku ubungo hali inatisha na huyo mbunge wetu kazi yake ni kupiga vijembe CCM
ni hali gani inayotisha ubungo ambayo sisi wengine hatuioni? wewe ulitaka ndugu Mnyika afanye nini? kwanza huna akili timamu wewe! hivi pale anapozungumzia ufisadi TANESCO ameipiga vijembe CCM? au ulitaka mwendelee kuiba hayo mabilioni na kuyapeleka Uswisi? wezi wakubwa nyie
 
Wanajamvi mi naomba tu
kuuliza, kwa sasa CHADEMA ndio chama kikuu cha upinzani hapa nchini
Tanzania na kinakua na kupanuka kila siku.Naomba kuuliza toka uchaguzi
uliopita mpaka leo hii wabunge wa CHADEMA wametekeleza ahadi zao?

Nauliza hivi kwa kua hawa jamaa wanampango wa kuchukua nchi,sasa kabla
wananchi hawajaamua 2015 ni heri tungejua kwanza post ndogo tu za ubunge
wameweza?
Naomba tuchangie kwa amani,vurugu na husda weka pembeni kama we ni
mwanasiasa wa kweli!!!
Kani Chedema walishakusanya kodi kiasi gani? Maendeleo yako waulize wanaokutosa kodi
 
Kaka hawa Chadema hawtaki kuambiwa ukweli lakini mwisho wao umekaribia maana vigogo wao makao makuu maelewano hakuna.

Nilijuwa watakutukana na nimethibitisha hapo juu matusi ya wazi. Siasa ni kazi ya CCM.
CHADEMA wansubiri sifa na wakisemwa watukate. Bhaaass
 
Wanajamvi mi naomba tu kuuliza, kwa sasa CHADEMA ndio chama kikuu cha upinzani hapa nchini Tanzania na kinakua na kupanuka kila siku.Naomba kuuliza toka uchaguzi uliopita mpaka leo hii wabunge wa CHADEMA wametekeleza ahadi zao?

Nauliza hivi kwa kua hawa jamaa wanampango wa kuchukua nchi,sasa kabla wananchi hawajaamua 2015 ni heri tungejua kwanza post ndogo tu za ubunge wameweza?
Naomba tuchangie kwa amani,vurugu na husda weka pembeni kama we ni mwanasiasa wa kweli!!!

Tatizo ninaloliona katika nchi yetu ni kuwa tumeingia katika mfumo/ demokrasia ya vyama vingi bila kueleweshwa au hata kuweka mfumo wa kuwaelewesha watu wetu. Ni nani alikuambia kuwa Chama kisicho madarakani kinatekeleza sera zake? Ingekuwa hivi si ingekuwa vurugu katika nchi maana wangedai wakusanye mapato Yao na wasimamie taasisi za dola! Hata hivyo kutoelimika huku kunawafaidisha watawala amabo hawaoni umuhimu wa kuweka mfumo utakaowafumbua watu sambamba na demokarasia tunayodai kuifuata. Ninasema hivi kwa sababu nimeshasikia hata viongozi waandamizi wa vyama na serikali wakisema haya.
 
Back
Top Bottom