yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Wanajamvi mi naomba tu kuuliza, kwa sasa CHADEMA ndio chama kikuu cha upinzani hapa nchini Tanzania na kinakua na kupanuka kila siku.Naomba kuuliza toka uchaguzi uliopita mpaka leo hii wabunge wa CHADEMA wametekeleza ahadi zao?
Nauliza hivi kwa kua hawa jamaa wanampango wa kuchukua nchi,sasa kabla wananchi hawajaamua 2015 ni heri tungejua kwanza post ndogo tu za ubunge wameweza?
Naomba tuchangie kwa amani,vurugu na husda weka pembeni kama we ni mwanasiasa wa kweli!!!
Nauliza hivi kwa kua hawa jamaa wanampango wa kuchukua nchi,sasa kabla wananchi hawajaamua 2015 ni heri tungejua kwanza post ndogo tu za ubunge wameweza?
Naomba tuchangie kwa amani,vurugu na husda weka pembeni kama we ni mwanasiasa wa kweli!!!