naomba mtaniwia radhi wana JF hii ni post yangu ya kwanza kbs hapa JF ingawa nilijiunga zamani kdg, napenda kujua kwa wale wanao jua mambo yaliyo chini ya kapeti, hivi shamsi vuai nahodha ameandaliwa shavu gani ndani ya selikali ya jamuhuri???maana naona zenji shein amemtema na sababu alinyimwa uraisi wa zenj na wana ccm wenzake nazan ameteuliwa ubunge na jah-kaya ila mpe shavu la uwaziri ktk selikali yake,kama ilivyo kwa bilal na shavu la umakamu...wenye newz naomba mtujuze tafadhali