Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,612
Visasi havijengi mkuuUkutane nao darasani sasa walivyo na mbwembwe kumbe wazee wa kumeza, kuna walimu wangu pale Mlimani nna hasira nao mpaka kesho, japo nnapanga kurudi hapo kuongeza elimu sijui nikikutana nao itakuaje maana wengi wana Phd sasahivi