Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,424
- 2,587
Wasalaam,
Huwa inashangaza kwa mtu msomi mwenye akili timamu anapoamua kwa makusudi kupotosha jambo lenye maslahi kwa umma, ambalo linatambulika vema kwa jamii husika.
CCM wameparamia kujibu hoja Lissu kuhusu sera ya majimbo eti tutarudi enzi za ukoloni, ukiisoma rasimu ya katiba ya Warioba suala la majimbo limependezwa na viongozi wake wachaguliwe na wananchi wa eneo husika tofauti na sasa ambapo wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wa halimashauri wanachaguliwa na MTU mmoja ambae ni mwenyekiti wa CCM.
Lengo la majimbo ni kuepusha matumizi mabaya ya madaraka, upendeleo, ukanda na ukabila na undugu kama inavyotumika leo hii na Chama cha Mapinduzi
Leo hii cheo cha Mkuu wa Mkoa au wilaya ni cheo cha hisani na huruma, ni cheo cha kuhongana na undugu.
Ova.
Maendeleo yana vyama
Huwa inashangaza kwa mtu msomi mwenye akili timamu anapoamua kwa makusudi kupotosha jambo lenye maslahi kwa umma, ambalo linatambulika vema kwa jamii husika.
CCM wameparamia kujibu hoja Lissu kuhusu sera ya majimbo eti tutarudi enzi za ukoloni, ukiisoma rasimu ya katiba ya Warioba suala la majimbo limependezwa na viongozi wake wachaguliwe na wananchi wa eneo husika tofauti na sasa ambapo wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wa halimashauri wanachaguliwa na MTU mmoja ambae ni mwenyekiti wa CCM.
Lengo la majimbo ni kuepusha matumizi mabaya ya madaraka, upendeleo, ukanda na ukabila na undugu kama inavyotumika leo hii na Chama cha Mapinduzi
Leo hii cheo cha Mkuu wa Mkoa au wilaya ni cheo cha hisani na huruma, ni cheo cha kuhongana na undugu.
Ova.
Maendeleo yana vyama