Lusajo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 456
- 30
Nyani sikatai inabidi kufuata utawala wa sheria, lakini suala la kumuwezesha mzawa inabidi liwa la lazima. Sasa hivi tunaambiwa kwa South Africa ni wazalishaji wa tanzanite na wakati tanzanite inapatikana Tanzania, wanaondoka nazo na ndege moja kwa moja wewe unadhani hizo Tanzanite zinaijenga TZ au SA? I'm sorry lakini siwaamini white people (Niite rasist sitajali) wako very sneaky na haya mambo ya globalisation wameyaweka ili waweze kutunyonya tuu na sisi tuna-fall kwenye trap. yaani wanafanya mbinu nyingi sana watuweke tuamini hivyo ndivyo ilivyo na ndivyo inavyotakiwa. Kwani hujaona Uchumi wao unaporomoka wanakimbilia kwenye serikali na wakati wao ni mabepari, ila mwingine unaonekana mjamaa (na hiyo ni sumu ya maendeleo).Hivi kwa nini lakini kuwe na upendeleo? Kwa nini kusiwe na fursa sawa kwa wote nikiwa na maana kila mtu awe na nafasi inayolingana na mwingine katika kufanikiwa kimaisha na akishindwa basi hana mwingine wa kumlaumu isipokuwa yeye mwenyewe....
Kwa maoni yangu mimi naona cha muhimu hapa ni kuwa au kujenga nidhamu ya kufuata utawala wa sheria na utungaji wa sheria nzuri zisizo za kibaguzi zitakazoenda sambamba na utawala huo. Tutakapoliweza hilo naamini kabisa tutakuwa tumejenga misingi ya usawa wa fursa kwa wote bila kuangalia uzaliwa, rangi, dini, jinsia ya mtu na mambo mengine kama hayo.
Does that make sense, common sense that is?
Wengine ambao ni wahindi wana uraia wa nchi nyingi nyingi tuu na wamekaa kuibaiba tuu na ndio wanao-influence viongozi wetu wengi waibe (Of cource kila mtu lazima usingizie kitu) Lakini ndio hivyo, na wao wakiiba wanajenga huku ziliko familia zao. (Mfano Saddam alivyoiba alijenga wapi?) lakini kwa kweli inanisikitisha sana na jamaa hawana machungu kabisa na Bongo.