Mbega Mzuri
Member
- Aug 1, 2008
- 44
- 2
Wadau, nahitaji mchango wenu, kwa yeyote anayejua kuhusu Sera ya Kilimo na Mifugo nchini, je, imefanya kazi ipasavyo? Imewanufaishaje Watanzania hasa wale wa makundi yaliyosahaulika ama yanayogandamizwa katika jamii kama wanawake? Bei za mazao zinawiana na gharama halisi za kilimo? miundombinu na mambo mengine yako sawa?
Tafadhalini, nahitaji mnisaidie.
Tafadhalini, nahitaji mnisaidie.