jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Again, mfano ulioutoa ni irrelevant. Mwenye nyumba hajui ukitoka kwenye nyumba aliyokupangishia, unaenda kuonana na nani, unaenda kumlipa mtu gani, na wala hajui kuhusu miamala yako wala Safari zako. Tumia akili zaidi. Mfano wako ni wa hovyo kama kweli unataka kuutumia ili uweze ku justify upumbavu wa Tigo.Mpangaji mteja .Mwenye nyumba kutoa Siri zako hahitaji kibali Cha mahakama kuzitoa polisi
Laini za simu wewe mpangaji tu waweza wao au TCRA wakiamua wanakuzimia tu