Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Wadau nawasalimuni!
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, miongoni mwa sera za CHADEMA Katika uchaguzi 2010,ilikuwa ni pamoja na kupunguza matumizi ya serikali yasiyokuwa ya lazima.Miongoni mwa matumizi ambayo chama kilisisitiza kwamba ni lazma yapunguzwe (kwa kuwa si ya lazima) ni pamoja na posho (sitting allowance ndani ya bunge) ambapo hoja ilikuwa kwamba; hela zitakazookolewa kutokana na ubanaji huo wa matumizi yasiyo ya lazma, ziwanusuru wananchi masikini.. Sasa mimi ningependa kujua kwa yeyote anayefahamu vizuri. mambo yafuatayo;
(a.) Je! wabunge wa CHADEMA walishaacha kuchukua posho hizo ili kuonesha mfano juu ya kile walichokiongea! kama wameaacha, ningependa kufahamu wameaacha tokea lini.
(b.) Kama hawajaacha, ningependa kufahamu ni kwa nini hawajaacha na ni lini wataacha na kwa nini kipindi hicho, au kama hawana mpango wa kuacha tena, ningependa kufahamu vile vile!.
(c.)Mwisho ninge furahi kama ningefahamu kama chama kitaingia na sera hiyo (miongoni mwa zingine) au ni miongoni mwa sera zitakazofanyiwa "editing" kuelekea uchaguzi 2015.
Nadhani hili si eneo la matusi, kwa hiyo kabla ya mtu kutukana, kwanza ajiridhishe ikiwa kuna ulazma wa kutukana.Vinginevyo, propaganda ya kwamba nimetumwa na CCM, Inaruhusiwa kutumika kwa anayetaka.
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, miongoni mwa sera za CHADEMA Katika uchaguzi 2010,ilikuwa ni pamoja na kupunguza matumizi ya serikali yasiyokuwa ya lazima.Miongoni mwa matumizi ambayo chama kilisisitiza kwamba ni lazma yapunguzwe (kwa kuwa si ya lazima) ni pamoja na posho (sitting allowance ndani ya bunge) ambapo hoja ilikuwa kwamba; hela zitakazookolewa kutokana na ubanaji huo wa matumizi yasiyo ya lazma, ziwanusuru wananchi masikini.. Sasa mimi ningependa kujua kwa yeyote anayefahamu vizuri. mambo yafuatayo;
(a.) Je! wabunge wa CHADEMA walishaacha kuchukua posho hizo ili kuonesha mfano juu ya kile walichokiongea! kama wameaacha, ningependa kufahamu wameaacha tokea lini.
(b.) Kama hawajaacha, ningependa kufahamu ni kwa nini hawajaacha na ni lini wataacha na kwa nini kipindi hicho, au kama hawana mpango wa kuacha tena, ningependa kufahamu vile vile!.
(c.)Mwisho ninge furahi kama ningefahamu kama chama kitaingia na sera hiyo (miongoni mwa zingine) au ni miongoni mwa sera zitakazofanyiwa "editing" kuelekea uchaguzi 2015.
Nadhani hili si eneo la matusi, kwa hiyo kabla ya mtu kutukana, kwanza ajiridhishe ikiwa kuna ulazma wa kutukana.Vinginevyo, propaganda ya kwamba nimetumwa na CCM, Inaruhusiwa kutumika kwa anayetaka.