Sera ya CHADEMA "Kupunguza Matumizi ya Serikali yasiyo ya Lazima"

Mkuu Safari_ni_Safari; hivi uliamini kweli kwamba huyuhuyu betlehem alivyo "mnazi" wa ccm anaweza akaihama ccm? Never! Ni geresha zake tu kuwa alihama...
1. Sasa hata awe mwanachama wa TFF au hata mwanachama wa CHAKICHUDA, HIYO INAADHIRIJE HOJA YA MSINGI ILIYOKO JAMVINI?

2.Kwa uelewa wako, wanachama wa chadema wanatakiwa wawe na sifa zipi na tabia zipi?

3.Kwa kuwa mada ya msingi ina hoja, na wewe unasisitiza kwamba alieileta ni ccm? je! unachotaka kuiambia jamii ni kwamba kwa kawaida watu wenye hoja ni ccm?
 
betlehem, Kabla hujahamia upende huu nilikuwa sipendi kusoma uzi wako maana ulikuwa kwenye nguvu za giza, ulipohamia huku kwenye NURU nilifurahi sana na nikaanza kusoma thread zako kila unapo-post na kwa kweli ulikuwa mshauri mzuri sana kwa pande zote mbili nilikuona nabii "Mama jusi aliyewaonyesha pale Yesu alipozaliwa Betlehem ya Nazreth" Nashangaa umerudi tena kuleeeee kwenye nguvu za giza!!! Si kwamba wewe unanjaa kama wale wengine la hasha, ni kwasababu wa upande huo mmezoea hivyo na hamtakaa mkaacha! KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI?
 
Betlehem
Katika mfumo wa vyama vingi na kiserikali, yaliyomo kwenye ilani ya uchaguzi utekelezwa tu pale yanapopitishwa na kufanya sera na mipango ya serikali kwa kupitishwa na bunge. Mfano hai ni ilani ya Obama na chama chake cha democrat kule Marekani. Pamoja na nia nzuri na kwa kweli kwa wengi wetu sera nzuri, lakini anapigana kweli kweli ili ipitishwe na bunge kabla haijatekelezwa.

Ninashangaa kidogo watu wanaofikiria kuwa utekelezaji wa ilani za uchaguzi (na hasa kwa chama ambacho hakikutwaa dola) ni kujitolea binafsi. Kufanya hivyo bila utaratibu wa kueleweka Kiserikali, ni kuchochea ufisadi wa aina yake. Kufanya hivi hakutaleta tofauti inayotakiwa na ilani au sera husika.
 
betlehem, Kabla hujahamia upende huu nilikuwa sipendi kusoma uzi wako maana ulikuwa kwenye nguvu za giza, ulipohamia huku kwenye NURU nilifurahi sana na nikaanza kusoma thread zako kila unapo-post na kwa kweli ulikuwa mshauri mzuri sana kwa pande zote mbili nilikuona nabii "Mama jusi aliyewaonyesha pale Yesu alipozaliwa Betlehem ya Nazreth" Nashangaa umerudi tena kuleeeee kwenye nguvu za giza!!! Si kwamba wewe unanjaa kama wale wengine la hasha, ni kwasababu wa upande huo mmezoea hivyo na hamtakaa mkaacha! KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI?
mkuu. hudhani unaongozwa na nguvu za ushabiki zinazokufanya ushindwa kuona hoja za msingi ukiwa na fikra huru?
 
betlehem, Kabla hujahamia upende huu nilikuwa sipendi kusoma uzi wako maana ulikuwa kwenye nguvu za giza, ulipohamia huku kwenye NURU nilifurahi sana na nikaanza kusoma thread zako kila unapo-post na kwa kweli ulikuwa mshauri mzuri sana kwa pande zote mbili nilikuona nabii "Mama jusi aliyewaonyesha pale Yesu alipozaliwa Betlehem ya Nazreth" Nashangaa umerudi tena kuleeeee kwenye nguvu za giza!!! Si kwamba wewe unanjaa kama wale wengine la hasha, ni kwasababu wa upande huo mmezoea hivyo na hamtakaa mkaacha! KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI?

Sasa hapo kosa lake ni nini?
 
Betlehem
Katika mfumo wa vyama vingi na kiserikali, yaliyomo kwenye ilani ya uchaguzi utekelezwa tu pale yanapopitishwa na kufanya sera na mipango ya serikali kwa kupitishwa na bunge. Mfano hai ni ilani ya Afya ya Obama na chama chake cha democrat kule Marekani. Pamoja na nia nzuri na kwa kweli kwa wengi wetu sera nzuri sana, lakini anapigana kweli kweli ili ipitishwe na bunge kabla haijatekelezwa.

Ninashangaa kidogo watu wanaofikiria kuwa utekelezaji wa ilani za uchaguzi (na hasa kwa chama ambacho hakikutwaa dola) ni kujitolea binafsi. Kufanya hivyo bila utaratibu wa kueleweka Kiserikali, ni kuchochea ufisadi wa aina yake. Kufanya hivi hakutaleta tofauti inayotakiwa na ilani au sera husika na matokeo yake watu/wapiga kura wataona hiyo sera si sahihi.
 
Betlehem
Katika mfumo wa vyama vingi na kiserikali, yaliyomo kwenye ilani ya uchaguzi utekelezwa tu pale yanapopitishwa na kufanya sera na mipango ya serikali kwa kupitishwa na bunge. Mfano hai ni ilani ya Afya ya Obama na chama chake cha democrat kule Marekani. Pamoja na nia nzuri na kwa kweli kwa wengi wetu sera nzuri sana, lakini anapigana kweli kweli ili ipitishwe na bunge kabla haijatekelezwa.

Ninashangaa kidogo watu wanaofikiria kuwa utekelezaji wa ilani za uchaguzi (na hasa kwa chama ambacho hakikutwaa dola) ni kujitolea binafsi. Kufanya hivyo bila utaratibu wa kueleweka Kiserikali, ni kuchochea ufisadi wa aina yake. Kufanya hivi hakutaleta tofauti inayotakiwa na ilani au sera husika na matokeo yake watu/wapiga kura wataona hiyo sera si sahihi.
 
Back
Top Bottom