Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,467
- 3,381
Hii ni dhahiri kuwa, Kwa Africa na Tanzania, kuwapata viongozi wenye focus na maisha ya watu wao ilivvyo ngumu kupatikana.
Sera ya CCM ya kuwalambisha Asali wote wenye vidomodomo na kiherehere, imetuomyesha jinsi watu hao malengo yao si kuwatetea wananchi, Bali kutafuta furusa za kwao na upigaji tuu, na kwamba, ikiwa watatosherezwa matumbo yao, hawako tayari tena kujihusisha na kutetea wananchi!
Tangu tusikie yule mwenzetu aliyeko nje akutane na mlambisha asali na kutangaza kulipwa haki zake zote, amebadirika na kuwa mpole kana kwamba watanzania aliokuwa akiwapigania maisha yao yamekuwa bora na mazuri na kwamba umasikini wa watanzania umeisha!
Viongozi wetu wote wa Upinzani Kwa sasa wote wamekula asali na wamekaa kimya huku wananchi wakishuhudia kupaa Kwa bei za bidhaa zote na kuwa na maisha magumu zaidi tangu Uhuru
Kwa hali ilivyo, tangu kuundwa Kwa CCM, Kwa miaka hii, ndio tunashuhudia kuwa na CCM iliyoshindwa kila pahala,
CCM ya walaji na inayotengeneza tabaka kubwa kati ya walionacho na wasiokuwa nacho Kwa sababu ya Sera zake mbovu na zilizoshindwa!
Na Kwa kuwa CCM imelijua hili kuwa haiwezi kabisa kuwakwamua wananchi, inachokifanya ni kuangalia kila mtu anayepiga kelele ili kuwaamusha wananchi kwamba mnaliwa, basi atatafutwa ili tu apate asali yake na atulie!
Kwa miaka michache iliyopita, CCM haikuwa na hii Sera ya kulambisha asali wapinzani, embu angalia zile kelele zilizokuwa zikiimbwa kila kona ya nchi na hata nje ya nchi.
Kwani kumetokea nini sasa?
Wananchi wamekuwa na maisha mazuri kuliko awali.
Kumebadirika nini? Ufisadi umeisha? Rushwa imekoma? Uzembe maofisini umekoma? Vyama vya siasa vinafanya siasa Kwa sasa? Wananchi wanapata huduma bora sasa?
Katiba imeshaandikwa na kupitishwa sasa?
Ndege kununuliwa Kwa cash, hakupo tena?
Sasa kimetokea nini
Nani tena asimame kuwapinga CCM na Sera zao mbovu za kuwafiris wananchi Kwa tozo za ajabuajabu na kuhimiza wananchi kuhusu katiba mpya ikiwa hawa wengine wanakula asali.?
Sera ya CCM ya kuwalambisha Asali wote wenye vidomodomo na kiherehere, imetuomyesha jinsi watu hao malengo yao si kuwatetea wananchi, Bali kutafuta furusa za kwao na upigaji tuu, na kwamba, ikiwa watatosherezwa matumbo yao, hawako tayari tena kujihusisha na kutetea wananchi!
Tangu tusikie yule mwenzetu aliyeko nje akutane na mlambisha asali na kutangaza kulipwa haki zake zote, amebadirika na kuwa mpole kana kwamba watanzania aliokuwa akiwapigania maisha yao yamekuwa bora na mazuri na kwamba umasikini wa watanzania umeisha!
Viongozi wetu wote wa Upinzani Kwa sasa wote wamekula asali na wamekaa kimya huku wananchi wakishuhudia kupaa Kwa bei za bidhaa zote na kuwa na maisha magumu zaidi tangu Uhuru
Kwa hali ilivyo, tangu kuundwa Kwa CCM, Kwa miaka hii, ndio tunashuhudia kuwa na CCM iliyoshindwa kila pahala,
CCM ya walaji na inayotengeneza tabaka kubwa kati ya walionacho na wasiokuwa nacho Kwa sababu ya Sera zake mbovu na zilizoshindwa!
Na Kwa kuwa CCM imelijua hili kuwa haiwezi kabisa kuwakwamua wananchi, inachokifanya ni kuangalia kila mtu anayepiga kelele ili kuwaamusha wananchi kwamba mnaliwa, basi atatafutwa ili tu apate asali yake na atulie!
Kwa miaka michache iliyopita, CCM haikuwa na hii Sera ya kulambisha asali wapinzani, embu angalia zile kelele zilizokuwa zikiimbwa kila kona ya nchi na hata nje ya nchi.
Kwani kumetokea nini sasa?
Wananchi wamekuwa na maisha mazuri kuliko awali.
Kumebadirika nini? Ufisadi umeisha? Rushwa imekoma? Uzembe maofisini umekoma? Vyama vya siasa vinafanya siasa Kwa sasa? Wananchi wanapata huduma bora sasa?
Katiba imeshaandikwa na kupitishwa sasa?
Ndege kununuliwa Kwa cash, hakupo tena?
Sasa kimetokea nini
Nani tena asimame kuwapinga CCM na Sera zao mbovu za kuwafiris wananchi Kwa tozo za ajabuajabu na kuhimiza wananchi kuhusu katiba mpya ikiwa hawa wengine wanakula asali.?