VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
Nianze kumpa hongera waziri wa Viwanda Mh.Mwijage kwa kuwapa moyo Watanzania kwa kufafanua kwa lugha nyepesi dhana ya kiwanda.
TIC igeni kwa wenzenu Uganda,wametoa machapisho na mchanganuo mtaji,mahitaji,faida kwa fursa karibu zote Uganda.is Kilimo,ufugaji,usafirishaji,,viwanda, biashara nk
Wekezeni pia katika media zetu,TV,radio,magazeti,wapo busy na udaku,umbea usio na Tija kwa Taifa.
Msisubiri kila kitu muambiwe na JPM!
TIC igeni kwa wenzenu Uganda,wametoa machapisho na mchanganuo mtaji,mahitaji,faida kwa fursa karibu zote Uganda.is Kilimo,ufugaji,usafirishaji,,viwanda, biashara nk
Wekezeni pia katika media zetu,TV,radio,magazeti,wapo busy na udaku,umbea usio na Tija kwa Taifa.
Msisubiri kila kitu muambiwe na JPM!